FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread


Kipindi cha mwishoni walitukamia sana hadi pumzi zikatuishia 😀
 
Sijui nini shida maana siku hizi sisi ndio tumekua watu wa kutafuta droo au tukishinda tunashinda kimazabe mazabe tu
Huku kuruhusu magoli hasa mwanzoni mwanzoni mm sikupendi.... Unakuta baadaye mnakumbana na milima miwili, ku-equaliser na kutafuta ushindi... Halafu kama madogo wanakamia ndo mambo yanakuwa ovyo zaidi...
I don't know how many cleansheets do we have this season...
 
Kweli cleansheet imekua ni msamiati ambao ata tumesahau maana yake ni nini sasa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…