Press ya leo kasema anaimani na base iliyopo ndio iliyotufikisha hapo, japo hata change sura ya timu ila atafanya usajili kidogo na jicho likiwa kule B squad, sasa anaangalia B squad huku madogo wengine hawapi muda akina denis na Dembele.
Mzee yule basi tuu.. Hadi semedo ana hati hati ya kuuzwa.
King ndio hivyo tena haitazidi misimu mi 3