Hahahahaaa
Hapa Chuma ndio kilikuwa kinatoka..kwa Kasi ya Rocket za Bwana Elon Musk!!Amenifurahisha sana kipa yule.Akalala kwanza na kuanza kuongea ongea maneno nafikiri ni kujilaumu kwa nini Beki umeachia Moto huo uje kwangu?? Wakati mambo yalikuwa poa tu eeee..Huyo jamaa daah MESSI MESSI..
Jiwe kakaza ndio maana tunakimbia kilomita nyingi mtaani kupata chochote.
But nashukuru king Messi kanirudisha kiringeni.
Ronaldo....14 goals Barcelona.....13 goals........ Yaani barcelona ukijumlisha magoli yote waliyofunga UEFA pamoja na Messi wao bado hawamfikii Ronaldo..... hahaha....Barcelona ni timu mbovu mno..
View attachment 733690
Yeri Minna walimnunua wa nn sijuiSquad list
#BarçaRoma
Ter Stegen, N. Semedo, Piqué, I. Rakitic, Sergio, Denis Suárez, A. Iniesta, Suárez, Messi, O. Dembélé, Cillessen, Paulinho, Paco Alcácer,Jordi Alba, S. Roberto,
André Gomes, Umtiti, Vermaelen
Ni back up! Hata juzi hapo aliomba mazungumzo na kocha kuhusu hali yake lakn kocha kamwambia anajua umuhimu wake lakn saizi tuko kwenye hatua ngumu ndo mana anatumia wachezaji waliozoeana uwanjani. Anajua saizi si muda wa kutengeneza kikosi ni muda wa kupambanaYeri Minna walimnunua wa nn sijui
Ronaldo....14 goals Barcelona.....13 goals........ Yaani barcelona ukijumlisha magoli yote waliyofunga UEFA pamoja na Messi wao bado hawamfikii Ronaldo..... hahaha....Barcelona ni timu mbovu mno..
View attachment 733690
Tukutane nusu fainali/Fainali. Then hii kauli yako ndiyo utajuwa inamfaa nani msimu huu.Ronaldo....14 goals Barcelona.....13 goals........ Yaani barcelona ukijumlisha magoli yote waliyofunga UEFA pamoja na Messi wao bado hawamfikii Ronaldo..... hahaha....Barcelona ni timu mbovu mno..
View attachment 733690
Valverd alimwambia kuwa "anamkubali sana, sema kwa sasa msimu ulipofika si mahala pakufanyia majaribio". So next season hope atapewa airtime za kutosha tu Mkuu.Yeri Minna walimnunua wa nn sijui
Yaan hata mie nashangaa sana, hata bench hawekwiYeri Minna walimnunua wa nn sijui
tukukutane wapi wakati mnatolewa na Roma....labda la ligaTukutane nusu fainali/Fainali. Then hii kauli yako ndiyo utajuwa inamfaa nani msimu huu.
Ahaaa sawa! Nilikuwa nimesahau kama Roma wanatutoa kwa kauli yako hata kabla ya mchezo.tukukutane wapi wakati mnatolewa na Roma....labda la liga
tukukutane wapi wakati mnatolewa na Roma....labda la liga
Mkuu ukibisha na chiziHuwa mnaongea sana madrid ikishinda, na akifunga ronaldo ndio kabisaa mpaka mnaropoka 😀😀😀😀
Barca 4-0 Roma
Sisi hatukopi na kupesti. Tunacheza mpira uwanjaniTuone kama na Barca watashinda 3 mtungi.
Padri naona unakuja umevaa bikiniTuone kama na Barca watashinda 3 mtungi.