Waambiwe ili waishie kufanya dubbing tu kwny beintea na ue upuuz mwngne cjui majin cjui naajinWanaudhi sana, inabidi kuwaambia tu sasa maana hakuna namna, inatisha Zawadi waliyotuletea kutuonesha kutangaza waache
Umtiti leo sio kawaida amechoma sana ,Maestro Iniesta kaharibu sana nae leo ,lakini wametupatia ushindi na ni binadamu making mistakes is part of our life and the end justifies the means -TumeshindaSamuel Umititi wa leo alipooza sana, Sergio Roberto yuko vizuri sana anajituma mno.
Pongezi pia kwa Pique kacheza vizuri sana.
Ni kweli mkuu.Umtiti leo sio kawaida amechoma sana ,Maestro Iniesta kaharibu sana nae leo ,lakini wametupatia ushindi na ni binadamu making mistakes is part of our life and the end justifies the means -Tumeshinda
unaweza ukabadili lugha ya matangazo kwa kutumia remote unabonyeza AUDIO then unachagua lugha ya kiingerezaWanaudhi sana, inabidi kuwaambia tu sasa maana hakuna namna, inatisha Zawadi waliyotuletea kutuonesha kutangaza waache
Ahsante mkuuunaweza ukabadili lugha ya matangazo kwa kutumia remote unabonyeza AUDIO then unachagua lugha ya kiingereza
Shukran mkuuunaweza ukabadili lugha ya matangazo kwa kutumia remote unabonyeza AUDIO then unachagua lugha ya kiingereza
pamoja mkuuShukran mkuu
Shukran sana tena sana sana sana sana
Mkuu uko sahihi lkn kwa dunia ya saizi hakuna namba tisa ambae tunaweza sema ana mzidi Suarez kiasi kikubwasuarez lazima atafutiwe mtu wa kumpa pressure pale mbele amekuwa mzito sana aisee lazima tukubali......
Ni kweli performance ilikuwa tia maji tia majiUshindi Wa 2/0 ugenini sio wa kubeza. Hiyo team siyo lipuli au njombe mji au mbao ya Mza.
Point 3 with clean sheet. Good record japo performance haijawafurahisha.
Wewe sio mpenzi wa team yetu. Nenda timu yako.Kocha ni mpumbavu mno kweli Denis niwa kusugulishwa na Alex Vidal au paco?
HahaaaaWewe sio mpenzi wa team yetu. Nenda timu yako.
Kuna option ya kuchagua lugha,usipate shida kiongozi,ila Mimi nilishawahama kitambo sanaWanaudhi sana, inabidi kuwaambia tu sasa maana hakuna namna, inatisha Zawadi waliyotuletea kutuonesha kutangaza waache
Ahsante sana, lkn kiukweli wanaharibu radha ya mpira yaani kuna mda unaona wanahangaika hawajui nini nikiadndeleaKuna option ya kuchagua lugha,usipate shida kiongozi,ila Mimi nilishawahama kitambo sana