FC Barcelona (Barça or Blaugrana) | Special Thread

Kuna na mwenzie wa kuitwa Paco Alcacer huyu jamaa simwelewagi kabisa uwanjani kama game iliopita niliona anazurura tu uwanjani hajulikani ata number ngapi kwenye ile match
Hivi Denis Suarez kwann hachezi
 
Barca wanatakiwa kushinda tena sio kushinda tu bali kushinda ushindi mzuri, game iliopita wamesuluhu na timu ya kawaida tu tena nyumbani,

Game ya leo wanatakiwa kushinda ushindi wa maana tu yani wakizingua watanipa wasi wasi sana hiyo game ya UEFA na Chelsea mana Chelsea ni timu kubwa japo haipo vizuri sana kwa sasa ila watapata ujasiri kutokana na historia yao na sisi
 
Mkuu hii match imeshaisha
 
Wajitahidi basi wapate ata magoli ya kutosha mkuu, huyo Mess nae afunge sasa na sisi tutambe basi
Yaah ni kweli, na yanakuja tu kipindi hiki cha pili. Sema inabidi afanye mabadiliko Ineista atoke aingie Cotinho
 
Yaah ni kweli, na yanakuja tu kipindi hiki cha pili. Sema inabidi afanye mabadiliko Ineista atoke aingie Cotinho
Poa ngoja tuone inakuaje hapa mana takwimu za game mpaka sasa zinatisha sana lolote linaweza kutokea. Furaha yetu ni ushindi mzuri
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…