Barca wanatakiwa kushinda tena sio kushinda tu bali kushinda ushindi mzuri, game iliopita wamesuluhu na timu ya kawaida tu tena nyumbani,
Game ya leo wanatakiwa kushinda ushindi wa maana tu yani wakizingua watanipa wasi wasi sana hiyo game ya UEFA na Chelsea mana Chelsea ni timu kubwa japo haipo vizuri sana kwa sasa ila watapata ujasiri kutokana na historia yao na sisi