Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,490
- 2,661
dunga amelewa madarakaSwali kwa Job:
Kwani wanahabari ni wabunge mpaka uwapeleke kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge?
Ushauri wangu ni:
Job soma kanuni ya 2 ya Kanuni za Bunge. Kanuni zenu zinatumika kuendesha Bunge na si NCHI. Hazituhusu sisi. Si SHERIA za Nchi.
Bunge si Mahakama. Halina MAMLAKA la kumuhukumu mtu yeyote. Job anataka kuingilia MAMLAKA ya Mahakama. Kama wanahabari wamevunja SHERIA awapeleka Mahakamani. Kanuni za Maadili za Bunge hawezi kuzitumia kuwahukumu wanahabari. Bunge si MAHAKAMA!"
Wakili msomi Fatma Karume
View attachment 1829916
Atupe na mfano wa hukumuKamati ya maadili inaweza kumhukumu mtu asiyekuwa mbunge kwa lolote?
Majibu tafadhali kwako wewe ambaye si kondoo.
Kwani makonda walimfanyajePascal mayalla muungwana sana mi nisingeenda
Kwani makonda walimfanyaje
Makonda ni bwege tu yule falaKwani makonda walimfanyaje
Hivi ukiitwa halafu uko Dar na ukawa huna nauli ya kwenda Dar inakuwaje?Alienda tu kwakuwa kipindi cha mwendazake, hata askofu angeweza kuitwa kwa mufti na kusomewa shitaka kwa kauli aliyoitoa kanisani!!
Alisoma PCB kidato Cha Tano na sita akapata Division fourTangu lini ndugai alifata sheria na kanuni!!
Hayopo sawa mentally angalia mashavu yaleHivi kwanini Ndugai ana uwezo mdogo sana ?
na huwezi kuamini eti Pascal ana degree ya sheriaSo walivyomuita Pascal Mayalla bungeni hawakuwa na haki ya kufanya vile?
Masikini! Kweli huyu jamaa anahitaji somo. Ndiyo maana anakanyaga katiba aliyoapa kuilinda. Hajui hata matumizi ya kanuni za bunge analoliongoza.Swali kwa Job:
Kwani wanahabari ni wabunge mpaka uwapeleke kwenye Kamati ya Maadili ya Bunge?
Ushauri wangu ni:
Job soma kanuni ya 2 ya Kanuni za Bunge. Kanuni zenu zinatumika kuendesha Bunge na si NCHI. Hazituhusu sisi. Si SHERIA za Nchi.
Bunge si Mahakama. Halina MAMLAKA la kumuhukumu mtu yeyote. Job anataka kuingilia MAMLAKA ya Mahakama. Kama wanahabari wamevunja SHERIA awapeleka Mahakamani. Kanuni za Maadili za Bunge hawezi kuzitumia kuwahukumu wanahabari. Bunge si MAHAKAMA!"
Wakili msomi Fatma Karume
View attachment 1829916
Naona wewe ndiye NdugaiPaschal Mayala aliwahi kuitwa kwenye kamati kwani alikua Mbunge?
CAG aliwahi kuitwa kwenye kamati, kwani yeye alikua mbunge?
Fatuma aache kujibu hoja kimipasho, ajibu kama mtaalamu wa sheria, je kisheria bunge linaweza kumuita nani na nani kwenye makati ama hawaruhusiwi kumuita mtu yoyote asie mbunge kwenye kamati.
Sasa kumwambia Ndugai asome kifungu gani inatusaidia nini sisi tusieolewa sheria?
Ni kichaa,ana faili Mirembe.Hivi kwanini Ndugai ana uwezo mdogo sana ?
AndunjeHivi kwanini Ndugai ana uwezo mdogo sana ?
Na kule kuitwa kwa aliyekuwa mkuu wa mkoa na baadae kukimbilia ubunge na kuukosa hiyo ilikaaje! au kwao ni sawa?Hawakuwa na haki hiyo
Kuna vingine zaidi ya Antibiotics.Mbona anatumia Antibiotics mkuu ?
Kuliko kuwashambulia tu wadau, si uweke hiyo/hizo kanuni zinazompa Spika hayo mamlaka ya kumuita mbele ya kamati mtu yeyote!! Maana naona mazungumzo matupu tuJifunze zaidi, ongeza maarifa zaidi.
Kanuni za bunge zinampa spika mamlaka ya kumuita mtu yoyote kwenye kamati na ukigoma kwenda unapelekwa kwa pingu.
Kabla hujabisha kitu ujitahidi kua ana angalau taairfa chache, usibishe tu uonekane unabisha ndio maana unaonekana kondoo ama nyumbu.