Katiba, sheria na kanuni zinapaswa kuitikiana. Na hasa sheria na kanuni kuakisi na kufanikisha nia njema ya kifungu cha katiba. Inakuaje kanuni kutungwa na waziri au watu wachache wanaoweza kujipendelea?
Na tena yapasa bunge ndilo limalizane na sheria na kanuni zake sio Serikali! Kwani bunge ni wananchi au wawakilishi wa wananchi. Serikali ni mtekelezaji sawa kampuni la tenda Fulani. Inakuwaje kampuni inajitungia sheria na kanuni za bosi mwananchi mwenye kutoa tenda?
Na tena yapasa bunge ndilo limalizane na sheria na kanuni zake sio Serikali! Kwani bunge ni wananchi au wawakilishi wa wananchi. Serikali ni mtekelezaji sawa kampuni la tenda Fulani. Inakuwaje kampuni inajitungia sheria na kanuni za bosi mwananchi mwenye kutoa tenda?