Waambie hao. Na waelewe.Ni sawa unachosema,pia usitumie matusi tumia maneno mazuri ama ukoo wenu wote ndivyo mlelewa na wazazi na mababu zenu ndicho mlichobahatisha kurithi tokea kwa ancestors wenu.
Ishu iko ivi Kama dhambi ni dhambi mbona mmeikomalia iyo tu.
Hujui hata kumuingilia MTT wa kike akiwa mdogo kiumri ni dhambi kubwa unamuharibu kisaikolojia.
Mie navyojua hakuna wa kuweza kumbadili binadamu mwenzako Bali Aliye juu.
Pia hizi Mambo zilitabiliwa ,dunia itajaa uchafu Sana itakuwa chukizo mbele za Aliye juu. Ataagiza shamba lifyekwe uchafu uchomwe apande mbegu mpya.kikubwa jitahidi uwe msafi shamba siku likifyekwa uachwe ukiwa Kama wa mfano.
Hakikisha unafuata torati ya Musa mkuu.
Kila la heri.
Nimeielewa anataka kuwe na sheria inayoruhusu mapenzi ya jinsia moja.Hivi hoja ya fatuma umeielewa lakini? Wee ndo uliyetaka kuelezaa ukweli ila kuna sehemu umekwama, nafikiri ukielewa vyema hoja yake, utapata jibu na muongozo sahihi.
Apate wapiJiulizeni mpaka leo ana miaka 50 plus ila hana mme wala mtoto.
Mimi huwa namtaniaga tu Nyani Ngabu, kumbe ni gay? 😂🤣🤣🤣Mashoga na Wasagaji wako huru sana katika nchi hii.
Wapo na wanajulikana hadi wanaume wanaitwa Anti.
Na hakuna walipo bughudhiwa.
Mfano mzuri ni Yeye Fatuma, na kijana mmoja anaitwa Nyani Ngabu, kama sikosei.
Wanajulikana siku nyingi sana na wanaishi maisha ya furaha na amani kabisa.
Hawajawahi kubughudhiwa miaka yote hii kwakuwa wanafanya chumbani mwao na kwasiri
kabisa.
Kama ishu ni kutaka kupewa haki ya kuthaminiwa vitendo vyao kwamba waruhusiwe kuingia Makanisani na Misikitini huku wamekumbatiana na kubusiana hii hatulitaki.
Kama haki za kisheria Kila Jamii ina haki na sheria kwa Mujibu wa Ustawi wa Jamii Zao.
Jamii yetu hii ina wajibu wa kuzaliana, na kulea vizaji vyake, kwa desturi tulizo rithi toka kwa Asili, iliyo tuweka juu ya Ardhi na Mbingu hii inayotukuza na kutulea.
Customary Law is THE Only natural source of Community, Municiple and definitely International Law.
Una pepo la ushoga wewe. Kila mada za kishoga hukosekani. Utaongea wee hadi unaishia kujijibu mwenyewe. Kumamake.Afu n mwanasheria? Kumbe ulifeli mwenyewe na sio kosa la lectures, poleeeeeeh
sijafeli mzee, nina masters na sasaivi karibia namalizia Phd. usihangaike na hilo, kabishane na mashoga wenzio huo. pimbi we.Afu n mwanasheria? Kumbe ulifeli mwenyewe na sio kosa la lectures, poleeeeeeh
huwa hukosekani kwenye mada za kutetea mashogaAfu n mwanasheria? Kumbe ulifeli mwenyewe na sio kosa la lectures, poleeeeeeh
Ni shoga huyohuwa hukosekani kwenye mada za kutetea mashoga
She is 💯 % right.
Actually, she’s 110% right.
Why in the hell would you care what two grown ups do in the privacy of their own abode?
Why?
Even Devils never do that.every country has its norms and traditions, not even animals do that
Hao watu wakiruhusiwa wanasumbua balaa.Noma sana, n
Tatizo la hawa LBGT+ sijui hata kuwatamka siwezagi,wakishapewaga haki wafanye kimpango wao hawaridhikagi
Wanataka sasa kila binadamu aone tendo lao ni kama kitu cha kawaida,kesho tu wataanza kampeni na maandamano barabarani wakitaka uchafu wao ufundishwe mashuleni.
Kiukweli hata ukiwapa haki ile Stigma haiwezi ondoka sababu ni uchafu wao ni against nature,na wakishaanza notice stigma wanaanza lalamika wanaonewa au kunyanyapaliwa utadhani wanalofanya ni jambo la kawaida
Hebu fikiria umemualika jamaa yako kwenye harusi yako au tafrija alafu anakuja na bahasha wake full kukumbatiana na kujibusu mbele ya watoto wako na familia,whaaat a shame
Anything Mungu aliekikata hakitokaa kichukuliwe kawaida,hata waje na campeni kama CCM.
Astaghfiru lah.Mwanasheria Msomi Fatma Karume amepinga kitendo cha kuwaandama na kuwasaka watu wanaojihusisha na mapenzi ya jinsia moja akisema kitendo hicho ni kuwanyima haki ya kuishi kwa amani.
Kupitia ukurasa wake wa twitter Fatma Karume amesema sheria inayokataza ushiriki wa mapenzi ya jinsia moja ( Sodomy) imepitwa ni sheria kandamizi. Wakili msomi huyo amesema kitu ambacho watu wazima wanaamua kufanya kwa hiyari yao faragha ni haki yao hawatakiwi kutokea viongozi wa kuingilia.
Wakati hayo yakiendelea Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam amewataka watu wanaotumia akaunti ya Fatma Karume waache mara moja wakati Fatma Karume mwenyewe alishakiri kupitia WhatsApp kuwa hiyo akaunti ya twitter ni akaunti yake halisi.View attachment 918087View attachment 918088View attachment 918090
Ni anapenda kunyonyana visimi na wanawake wenzake. Nasikia ni wa Salama Jabri. 🤣Apate wapi
Hao ni Mawakala wa Cults za Kishirikina Kama Freemasonry na nyinginezo.
Lengo lao Jamii isizaliane na kuongezeka na kustawi.
Wanajisikia vibaya sana kama watu wa jinsia mbili wameoana na kujenga familia bora.