Fatma Karume: Sheria inayokataza mapenzi ya jinsia moja imepitwa na wakati

Waambie hao. Na waelewe.
 
Hivi hoja ya fatuma umeielewa lakini? Wee ndo uliyetaka kuelezaa ukweli ila kuna sehemu umekwama, nafikiri ukielewa vyema hoja yake, utapata jibu na muongozo sahihi.
Nimeielewa anataka kuwe na sheria inayoruhusu mapenzi ya jinsia moja.
Sheria ya zamani inayokataza Ushoga na Usagaji zimepitwa na wakati.

Yaani watu wasagane na kufirana na watambulike kisheria ili vyombo vya umma viwaozeshe na kuhalarisha hayo mahusiano kama zinavyofanya Nchi zilizohalarisha Ushoga.

Hivyo waruhusiwe kujitangaza na kutamba hadharani kadri wanavyotaka bila kunyanyapaliwa na mtu yeyote.

Wakitaka kumtongoza Shehe au Mchungaji watoto wa shule au watu wengine iwe sawa tu.

Si ndio hivyo Wewe, Fatuma, na Nyani, mnapigania usiku na mchana ?

Ua sio hivyo.
Tueleweshe basi Mnataka nini hasa wakati kama kufanya mnafanya bila bughudha sikuzote.
 
Mimi huwa namtaniaga tu Nyani Ngabu, kumbe ni gay? 😂🤣🤣🤣
 
Kamali yenyewe watu wazima wanaruhusiwa kucheza, lkn si hadharani.
Sembuse wafiraji ndiyo waruhusiwe hadharani!!?
 
Noma sana, n
Hao watu wakiruhusiwa wanasumbua balaa.
Tutatongozwa na kupapaswa kila kona bila kujali heshima zetu.

Zitaibuka Clubs za Mashoga kila kona.
Wanakatika mchana kweupee peee shanga nje nje.
Ole wako umkaripie ni kesi mahakamani na jaji mwenye ndo Fatuma lazima ufungwe.

Yaani Mashoga wanajishebedua kipita wanawake.
Mitaani ni ugomvi tu na wanawake kugombea Mabwana.
Sehemu za starehe zitakuwa hazikaliki kabisa.
Maandamano yao ndo usiseme,
Maandamano ya kuruhusiwa kuozeshwa kanisani hadi Kanisa la Anglikana la Marekani likalazimishwa kukubali kuwaozesha.
Si ni halari yao tena.
Sasa hapo na Mabasha nao wanatongoza kila mtu, kwani mwanamume itakuwa halari kutongozwa na huwezi kumshitaki popote.
Si Shoga amekutaka utalalamika nini sasa.
Ushoga unaendana na Unywaji pombe uliokithiri, ulawiti, Ubakaji, uvutaji madawa nk.
Usiombe hao jamaa waruhusiwe kisheria.
Balaa lao sio dogo.
 
ushoga ufundishwe mashuleni
 
Eee Mwenyiezi Mungu, uliye Umba Mbingu na Nchi, tunakuomba sana utuepushe na hili janga la kuhalarisha Ushoga katika Jamii yetu na Nchi yetu.

Ulituumba na ukatupa Kanuni za kuishi sisi wenyewe na Majirani zetu kama ilivyokupendeza wewe Mwenyewe, maana bila kanuni hakuna maisha bora.

Hata wanaotengeneza Magari wanatoa kanuni za kudumu na wanaziita Manual istructions, kwa hayo magari na vyombo vingine wanavyo tengeneza Binadamu wako, la sivyo yataharibika mapema tu, sembuse sisi Watu tuishi bila kanuni zako?

Sisi Binadamu wa kawaida ni vigumu kuzuia hili janga kwakuwa wenye pesa nguvu na umaarufu wamelishikia Bango, hadi Nchi zenye nguvu sana zimeshindwa kuzuia.

Naomba hivyo katika Jina lako Kuu sana kupita majina yote.

Kwakuwa Ufalme ni wako na Nguvu na Utukufu hata Milele.
Aaamin.
 
Astaghfiru lah.
 
Apate wapi
Hao ni Mawakala wa Cults za Kishirikina Kama Freemasonry na nyinginezo.
Lengo lao Jamii isizaliane na kuongezeka na kustawi.

Wanajisikia vibaya sana kama watu wa jinsia mbili wameoana na kujenga familia bora.
Ni anapenda kunyonyana visimi na wanawake wenzake. Nasikia ni wa Salama Jabri. 🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…