Hopefully wote mtakuwa salama. Nisiwachoshe na mimi msinichoshe.
Leo asubuhi bwana nilikuwa bored sana na idle as of tangu nime retire, i just decided kupumzika nyumbani na familia. Basi bwana nikajikuta nipo YouTube naangalia video mbalimbali, kuangalia hivi kidogo nakuta clouds wako live na session yao ya live interview wamei-name as in “Breakfast ya Kiroho” na Dr Benson Bagonza.
Basi bwana, nikaanza kuiangalia as in huwa navutiwa sana na maandiko ya huyo askofu ninayokutana nayo mitandaoni. Zikapigwa nondo hapo za katiba na maoni mbalimbali yanayohusu uongozi na demokrasia kwa ujumla.
Well, back to the point. Kwenye hio interview alikuwepo pia Wakili msomi Fatma Karume, na kiukweli kabla ya leo, i really loved and adored the woman, nilikuwa namuona very smart, from knowing kwamba amekulia ikulu, spent time with JK Nyerere na michango yake mbalimbali anayoitoa kule twitter.
Sasa kumbe waliosema “in a room full of smart people, it's better you get to listen more than talking” hawakukosea kabisa. Leo Fatma kwenye ile interview amefanyiwa pamoja na Dr Bagonza ni kama wametuonyesha how stupid and kilaza she is. Yaani vi-hoja vidogo yeye vinamshupaza shingo, uso, macho hadi nuru inakosekana. Anabishana mno kuliko point anazozitoa. Yeye she thinks that ana vingi vya kuifundisha jamii kuliko what jamii has to teach it to her, which is very weird. Yaani Bagonza was very calm, anaongea point zinazoeleweka, habishani na interview inaeleweka, opposite kabisa to what she was doing.
Anyways, that was my observation and my personal perception. Naelewa pia kwamba uwezo wa mtu kichwani can't be measured kwa maneno lakini that lady ain't much in critical thinking. She can just debate, shout and blurbing well.
Link ya hio interview hii hapa
Leo asubuhi bwana nilikuwa bored sana na idle as of tangu nime retire, i just decided kupumzika nyumbani na familia. Basi bwana nikajikuta nipo YouTube naangalia video mbalimbali, kuangalia hivi kidogo nakuta clouds wako live na session yao ya live interview wamei-name as in “Breakfast ya Kiroho” na Dr Benson Bagonza.
Basi bwana, nikaanza kuiangalia as in huwa navutiwa sana na maandiko ya huyo askofu ninayokutana nayo mitandaoni. Zikapigwa nondo hapo za katiba na maoni mbalimbali yanayohusu uongozi na demokrasia kwa ujumla.
Well, back to the point. Kwenye hio interview alikuwepo pia Wakili msomi Fatma Karume, na kiukweli kabla ya leo, i really loved and adored the woman, nilikuwa namuona very smart, from knowing kwamba amekulia ikulu, spent time with JK Nyerere na michango yake mbalimbali anayoitoa kule twitter.
Sasa kumbe waliosema “in a room full of smart people, it's better you get to listen more than talking” hawakukosea kabisa. Leo Fatma kwenye ile interview amefanyiwa pamoja na Dr Bagonza ni kama wametuonyesha how stupid and kilaza she is. Yaani vi-hoja vidogo yeye vinamshupaza shingo, uso, macho hadi nuru inakosekana. Anabishana mno kuliko point anazozitoa. Yeye she thinks that ana vingi vya kuifundisha jamii kuliko what jamii has to teach it to her, which is very weird. Yaani Bagonza was very calm, anaongea point zinazoeleweka, habishani na interview inaeleweka, opposite kabisa to what she was doing.
Anyways, that was my observation and my personal perception. Naelewa pia kwamba uwezo wa mtu kichwani can't be measured kwa maneno lakini that lady ain't much in critical thinking. She can just debate, shout and blurbing well.
Link ya hio interview hii hapa