hyusuph
JF-Expert Member
- Dec 5, 2013
- 1,655
- 692
Uwanja wa ndege Mwanza kuna tatizo la (ndege hai) wengi maana hata ile ndege ya jeshi ilipata ajari kisa ndege hai kaingia kwenye injini ya ndege
Asa kwann hao ndege wasidhibitiwe ikiwezekana hata kuwa restisha in peace ili kudhibiti roho za watu