Kozo Okamoto
JF-Expert Member
- Oct 14, 2013
- 3,391
- 1,546
Da! hakuna usafiri na uogopa kama ndege, ktk maisha yangu ndege nimepanda mara 2 tena kwa matatizotu sivinginevyo, pole sana
unapokuwa juu karibu na mbinguni let say 25,000+ feet above see level,unamuomba Mungu akushikilie tu ufike salama.hakuna kingine zaidi ya hicho.