Ndege ya fastjet iliyotarajiwa kuondoka saa 4.30pm imeahirishwa inasemekana imeondoka Mwanza at 2pm na ndo inasubiriwa ije ndo iondoke sijui saa ngapi.
Abiria tunapiga miayo tu hapa airport. Bora ndege zetu zianze kazi tufunguliwe na mnyororo wa mateso wa fastjet.
Abiria tunapiga miayo tu hapa airport. Bora ndege zetu zianze kazi tufunguliwe na mnyororo wa mateso wa fastjet.