Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 46,407
- 102,444
- Thread starter
- #41
Yeah fast wame poteza concept yao ya nyuma.Fast 1-4 zilikua nzuri ila kuanzia fast 5 ladha halisi ya fast and furious ilianza kupotea. Kwangu naenda na Mission impossible.
👉Mission ana Jitahidi sana