Kw hiyo unashiriki uovu siyo ?1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda
2. Ukibakiza vichenji chenji wape
3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie
4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa
5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na kama ukisikia kuna Kazi yoyote (hasa za Kawaida tu) waunganishe / watafutie
6. Usiwe na Kiherehere Kingi cha Kuwachomesha kwa Polisi mpaka labda itokee sana na imebidi
7. Ukiwa nao Maskani unapiga Story Mbili Tatu penda mara kwa mara kuingizia Mambo ya Kiimani ( hasa ya Mwenyezi Mungu ) na jinsi ya kuwa Mwema hapa duniani na kutubu ili kuyaanza Maisha mapya na mema
Ukiyafanya haya mambo Makuu Saba (7) Tajwa hapa nakuhakikishia kuwa hata ukiwa unaishi nao Mtaani unaweza hata Kukaa miaka 20 wasikufanye lolote lile na ukashangaa.
Kwa KEROZENE kuandika haya (hivi) sisemi kuwa nawapenda au nawaunga mkono hawa Wahalifu bali nimejaribu tu kuwapeni Mbinu ya Kisaikolojia ya kuweza Kuishi nao na Kuwakabili pia bila ya wao Kukudhuru kwa lolote / chochote.
Nina Mtu hapa Majuzi kati Usiku mida ya Saa 7 Gari yake ilimsumbua na alikuwa Safarini hivyo akabidi aje Kulala Ghettoni Kwangu na akiwa njiani na Kukutana nao akiwa na Simu zake Mbili za thamani na Hela mfukoni walipomuweka Mtu kati ili Kumdhuru huku wakimhoji akasema anakuja kwangu KEROZENE na kilichofuatia wakaachana na Mpango wao huo na kumsindikiza hadi Ghettoni Kwangu na Kunigongea kisha nikaamka na wakanikabidhi Mgeni wangu huku Wawili wakisema watalilinda Gari lake mpaka Asubuhi hivyo asiwe na Wasiwasi.
Tulipoamka Asubuhi na kuanza harakati za Kushughulikia Gari lake Jamaa yangu alipowaona akatoa Tsh 10,000/= kama Asante yake Kwao na kwa Mshangao Jamaa waliikataa na kumwambia wakiipokea hiyo Hela itakuwa ni kama vile wananilipisha Mimi Kaka yao wa Mtaa kwani huwa nawasaidia mno wakiwa na Shida.
Baada ya Jamaa yangu kuona Tukio lile na nikamuelezea Mishe zao zote za Kimatukio Mtaani (Mitaani) ameshawatafutia Watatu kati yao Kazi katika DalaDala zake na sasa wamebaki kama Wanne baada ya wengine pia Kuwaunganisha katika Mishe za Ujenzi, Uvuvi na Ulinzi.
Tuwasaidie na kamwe tusiwadidimize!
Gharama za pombe ulizowanunulia miaka yote ungetafuta chumba ushuani
Hapana, kazi ya bastola ni kubatiza na kusilimisha... gadeim!Ukiwa na bastola kazi yako kuua tu ,rabish
Ili dawa zao zisifanye kazi wewe jaza ndoo ya maji na uiweke wazi wakipulizia dawa inafyonzwa na maji. Hivyo inamaliza nguvuMtaani juzi hapa wameiba kwa jamaa fulani hivi.
Wamepuliza dawa ndani usiku wakavunja wakaiba kila kitu isipokuwa kitanda tuu jamaa alicholalia na familia yake.
Hatari sana asee unapuliza dawa hivyo ya nusu kaputi unaweza kuwalaza watu mazima.
Wamemaliza kuiba wakajisaidia haja zote hapo wakaondoka kwa imani kwamba jamaa asiwaloge
8. Wape 0713 kabisa Kila unapokutana nao1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda
2. Ukibakiza vichenji chenji wape
3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie
4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa
5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na kama ukisikia kuna Kazi yoyote (hasa za Kawaida tu) waunganishe / watafutie
6. Usiwe na Kiherehere Kingi cha Kuwachomesha kwa Polisi mpaka labda itokee sana na imebidi
7. Ukiwa nao Maskani unapiga Story Mbili Tatu penda mara kwa mara kuingizia Mambo ya Kiimani ( hasa ya Mwenyezi Mungu ) na jinsi ya kuwa Mwema hapa duniani na kutubu ili kuyaanza Maisha mapya na mema
Ukiyafanya haya mambo Makuu Saba (7) Tajwa hapa nakuhakikishia kuwa hata ukiwa unaishi nao Mtaani unaweza hata Kukaa miaka 20 wasikufanye lolote lile na ukashangaa.
Kwa KEROZENE kuandika haya (hivi) sisemi kuwa nawapenda au nawaunga mkono hawa Wahalifu bali nimejaribu tu kuwapeni Mbinu ya Kisaikolojia ya kuweza Kuishi nao na Kuwakabili pia bila ya wao Kukudhuru kwa lolote / chochote.
Nina Mtu hapa Majuzi kati Usiku mida ya Saa 7 Gari yake ilimsumbua na alikuwa Safarini hivyo akabidi aje Kulala Ghettoni Kwangu na akiwa njiani na Kukutana nao akiwa na Simu zake Mbili za thamani na Hela mfukoni walipomuweka Mtu kati ili Kumdhuru huku wakimhoji akasema anakuja kwangu KEROZENE na kilichofuatia wakaachana na Mpango wao huo na kumsindikiza hadi Ghettoni Kwangu na Kunigongea kisha nikaamka na wakanikabidhi Mgeni wangu huku Wawili wakisema watalilinda Gari lake mpaka Asubuhi hivyo asiwe na Wasiwasi.
Tulipoamka Asubuhi na kuanza harakati za Kushughulikia Gari lake Jamaa yangu alipowaona akatoa Tsh 10,000/= kama Asante yake Kwao na kwa Mshangao Jamaa waliikataa na kumwambia wakiipokea hiyo Hela itakuwa ni kama vile wananilipisha Mimi Kaka yao wa Mtaa kwani huwa nawasaidia mno wakiwa na Shida.
Baada ya Jamaa yangu kuona Tukio lile na nikamuelezea Mishe zao zote za Kimatukio Mtaani (Mitaani) ameshawatafutia Watatu kati yao Kazi katika DalaDala zake na sasa wamebaki kama Wanne baada ya wengine pia Kuwaunganisha katika Mishe za Ujenzi, Uvuvi na Ulinzi.
Tuwasaidie na kamwe tusiwadidimize!
Wewe Ni kibaka?Ukiwa na bastola kazi yako kuua tu ,rabish
Mteja ufugiki hata kidogo mm nahisi mleta mada anawazungumzia wale wanetu masela wavinyaji 🤣🤣Hahahah labda kama sio wajunki, wale usizoeane nao sababu wanakupiga kazi anytime wakiwa alosto watakuibia tu!
Nakuunga mkono kwenye hoja zako zote isipokuwa hiyo namba 3.3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulia
Eeh wale madogo wa maskani kweli ila mjunki lazma akuuze, yani haji yeye ila anakulengesha kwa toops😅Mteja ufugiki hata kidogo mm nahisi mleta mada anawazungumzia wale wanetu masela wavinyaji 🤣🤣
Tatizo asilimia kubwa ya vibaka ni waraibu wa madawa ya kulevya. Unapokuwa mtumiaji wa madawa ya kulevya hata uwe na busara kiasi gani, ukipigwa na alosto tu unaweza mkaba hata mama yako mzazi.
Kama ukichunguza wengi wao huwa na maono makubwa sana na uwezo mkubwa mno wa kujenga hoja pale wanapokuwa hawana alosto. Unamuona kabisa ana majuto ya dhati juu ya tabia yake. Ila akipigwa na alosto utu wake wote hupotea.
Kibaka ana mithilika na mnyama pori, unaweza mfuga, ukamlisha na kumtunza lakini siku moja tu ile instinct yake ya unyamapori ikiingia anakumaliza.
Eeh wale madogo wa maskani kweli ila mjunki lazma akuuze, yani haji yeye ila anakulengesha kwa toops😅
tunamjua kama tumemzaa, kila akija na ID mpya anajulikana.Genta kaja kivingine maamaeee