Lyetu
JF-Expert Member
- Feb 11, 2018
- 1,116
- 2,958
Kwangu Mimi naona ukishafanya hayo uliyosema unakuwa umefadhiri vibaka.
Huo upuuzi wao unapaswa kupingwa na kila aliye na akili timamu haiwezekani mtu atafute kwa jasho wewe ukae uchochoroni uchukue tu kirahisi. Aisee mi labda nisimiliki chuma ntawalaza wengi tu watao jaribu kuleta ujinga kwenye jasho langu
Huo upuuzi wao unapaswa kupingwa na kila aliye na akili timamu haiwezekani mtu atafute kwa jasho wewe ukae uchochoroni uchukue tu kirahisi. Aisee mi labda nisimiliki chuma ntawalaza wengi tu watao jaribu kuleta ujinga kwenye jasho langu