Fanya yafuatayo ukitaka usivamiwe sana na vibaka au hata wakuokoe kwenye hatari

Kwangu Mimi naona ukishafanya hayo uliyosema unakuwa umefadhiri vibaka.

Huo upuuzi wao unapaswa kupingwa na kila aliye na akili timamu haiwezekani mtu atafute kwa jasho wewe ukae uchochoroni uchukue tu kirahisi. Aisee mi labda nisimiliki chuma ntawalaza wengi tu watao jaribu kuleta ujinga kwenye jasho langu
 
Nah, I'll never do this kind of shit.

Mwizi ni Mwizi tu sababu tayari yeye alishaamua kuona kudhuru wengine ni jambo la kawaida hivyo kumuogopa na kumsaidia sio kitu sahihi.
Njia pekee ya kumsaidia ni kumfanya aache wizi na sio kujipendekeza kwake ili akuache huku akiendelea kufanya uovu kwa wengine.
Kumsaidia ni kumreport polisi akitoka awe raia mwema au kumpa kipigo mpaka ajute kwanini aliamua kuwa mwizi.

Au kama kila mtu akiwa hivi kama wewe basi wizi hautoisha na wataona fahari kuendeleza hizo tabia mbovu sababu wanajua watu watajipendekeza kwao kwa uoga hivyo wao kuwa na power kwenu.

Kuishi namna hii ni uoga wa maisha yaani unaishi jinsi jamii inavyotaka na sio unavyotaka wewe now huo ni utumwa wa kisaikolojia wa kujitakia.

Maisha ni mafupi mno kuishi jinsi kima fulani anataka sababu ya uoga na kuogopa vitu ambavyo huna uhakika navyo kama vitatokea.
Na wanasema asilimia 99 ya vitu unavyoviogopa vitatokea havitatokea so hapa ni kujipa tabu, stress zisizo na msingi na kujichosha bure na kupoteza muda tu kufanya maisha yako na mambo yako ya maana ya maendeleo.
Unless na wewe unaendana na hao wezi walivyo na ndio maana unaweza kukaa kijiweni kuongea pumba na wezi. ndege wafananao huruka pamoja.

Iko hivi, mimi naishi ninavyotaka kama siku utaibiwa basi utaibiwa au kama hautaibiwa basi hautoibiwa na hakuna cha kufanya kuzuia hicho hicho kitu especially kama hujui kitatokea au lah.

Mimi katika maisha yangu nina kanuni moja yanapokuja mambo ya fujo, ukilianzisha ni eidha nikupige au tupigane au wewe unipige mimi na kama ukishindwa kunipiga basi mimi nitakupiga wewe.
Ukiondoa majambazi wenye silaha za moto siku mwizi au kibaka atakapo jaribu kuvunja ndani kwangu basi nondo lazima ihusike na ni lazima mmoja aende chini hakuna kulialia na bila shaka hatorudia tena.
Kabisa Mkuu umenena
 
Kwangu Mimi naona ukishafanya hayo uliyosema unakuwa umefadhiri vibaka.

Huo upuuzi wao unapaswa kupingwa na kila aliye na akili timamu haiwezekani mtu atafute kwa jasho wewe ukae uchochoroni uchukue tu kirahisi. Aisee mi labda nisimiliki chuma ntawalaza wengi tu watao jaribu kuleta ujinga kwenye jasho langu
Correct Mkuu
 
1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda

2. Ukibakiza vichenji chenji wape

3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie

4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa

5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na kama ukisikia kuna Kazi yoyote (hasa za Kawaida tu) waunganishe / watafutie

6. Usiwe na Kiherehere Kingi cha Kuwachomesha kwa Polisi mpaka labda itokee sana na imebidi

7. Ukiwa nao Maskani unapiga Story Mbili Tatu penda mara kwa mara kuingizia Mambo ya Kiimani ( hasa ya Mwenyezi Mungu ) na jinsi ya kuwa Mwema hapa duniani na kutubu ili kuyaanza Maisha mapya na mema

Ukiyafanya haya mambo Makuu Saba (7) Tajwa hapa nakuhakikishia kuwa hata ukiwa unaishi nao Mtaani unaweza hata Kukaa miaka 20 wasikufanye lolote lile na ukashangaa.

Kwa KEROZENE kuandika haya (hivi) sisemi kuwa nawapenda au nawaunga mkono hawa Wahalifu bali nimejaribu tu kuwapeni Mbinu ya Kisaikolojia ya kuweza Kuishi nao na Kuwakabili pia bila ya wao Kukudhuru kwa lolote / chochote.

Nina Mtu hapa Majuzi kati Usiku mida ya Saa 7 Gari yake ilimsumbua na alikuwa Safarini hivyo akabidi aje Kulala Ghettoni Kwangu na akiwa njiani na Kukutana nao akiwa na Simu zake Mbili za thamani na Hela mfukoni walipomuweka Mtu kati ili Kumdhuru huku wakimhoji akasema anakuja kwangu KEROZENE na kilichofuatia wakaachana na Mpango wao huo na kumsindikiza hadi Ghettoni Kwangu na Kunigongea kisha nikaamka na wakanikabidhi Mgeni wangu huku Wawili wakisema watalilinda Gari lake mpaka Asubuhi hivyo asiwe na Wasiwasi.

Tulipoamka Asubuhi na kuanza harakati za Kushughulikia Gari lake Jamaa yangu alipowaona akatoa Tsh 10,000/= kama Asante yake Kwao na kwa Mshangao Jamaa waliikataa na kumwambia wakiipokea hiyo Hela itakuwa ni kama vile wananilipisha Mimi Kaka yao wa Mtaa kwani huwa nawasaidia mno wakiwa na Shida.

Baada ya Jamaa yangu kuona Tukio lile na nikamuelezea Mishe zao zote za Kimatukio Mtaani (Mitaani) ameshawatafutia Watatu kati yao Kazi katika DalaDala zake na sasa wamebaki kama Wanne baada ya wengine pia Kuwaunganisha katika Mishe za Ujenzi, Uvuvi na Ulinzi.

Tuwasaidie na kamwe tusiwadidimize!
Hii ni sawa kabisa,kwani ni watu nao wanahitàji upendo ,kwani wengine wameingia huko kwa mkumbo wa marafiki wanashindwa kuchomoka.
 
1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda

2. Ukibakiza vichenji chenji wape

3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie

4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa

5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na kama ukisikia kuna Kazi yoyote (hasa za Kawaida tu) waunganishe / watafutie

6. Usiwe na Kiherehere Kingi cha Kuwachomesha kwa Polisi mpaka labda itokee sana na imebidi

7. Ukiwa nao Maskani unapiga Story Mbili Tatu penda mara kwa mara kuingizia Mambo ya Kiimani ( hasa ya Mwenyezi Mungu ) na jinsi ya kuwa Mwema hapa duniani na kutubu ili kuyaanza Maisha mapya na mema

Ukiyafanya haya mambo Makuu Saba (7) Tajwa hapa nakuhakikishia kuwa hata ukiwa unaishi nao Mtaani unaweza hata Kukaa miaka 20 wasikufanye lolote lile na ukashangaa.

Kwa KEROZENE kuandika haya (hivi) sisemi kuwa nawapenda au nawaunga mkono hawa Wahalifu bali nimejaribu tu kuwapeni Mbinu ya Kisaikolojia ya kuweza Kuishi nao na Kuwakabili pia bila ya wao Kukudhuru kwa lolote / chochote.

Nina Mtu hapa Majuzi kati Usiku mida ya Saa 7 Gari yake ilimsumbua na alikuwa Safarini hivyo akabidi aje Kulala Ghettoni Kwangu na akiwa njiani na Kukutana nao akiwa na Simu zake Mbili za thamani na Hela mfukoni walipomuweka Mtu kati ili Kumdhuru huku wakimhoji akasema anakuja kwangu KEROZENE na kilichofuatia wakaachana na Mpango wao huo na kumsindikiza hadi Ghettoni Kwangu na Kunigongea kisha nikaamka na wakanikabidhi Mgeni wangu huku Wawili wakisema watalilinda Gari lake mpaka Asubuhi hivyo asiwe na Wasiwasi.

Tulipoamka Asubuhi na kuanza harakati za Kushughulikia Gari lake Jamaa yangu alipowaona akatoa Tsh 10,000/= kama Asante yake Kwao na kwa Mshangao Jamaa waliikataa na kumwambia wakiipokea hiyo Hela itakuwa ni kama vile wananilipisha Mimi Kaka yao wa Mtaa kwani huwa nawasaidia mno wakiwa na Shida.

Baada ya Jamaa yangu kuona Tukio lile na nikamuelezea Mishe zao zote za Kimatukio Mtaani (Mitaani) ameshawatafutia Watatu kati yao Kazi katika DalaDala zake na sasa wamebaki kama Wanne baada ya wengine pia Kuwaunganisha katika Mishe za Ujenzi, Uvuvi na Ulinzi.

Tuwasaidie na kamwe tusiwadidimize!
Sasa shida yote hiyo ya nn.. ishi uwezavyo kwa kifupi binadamu hatabiriki. Ata uwafanyie nn bado kuna watu watakuchukia t
 
Uliyoyaandika ni sawa na kusema "mtoto wako hata akiwa anavunja vyombo ndani kila siku makusudi/anatukana majirani usimtandike ila mnunulie pipi na umuonye kwa maneno ya upole ili asikasirike"

Oyaah hapa mtaani tuliwachakaza kinoma walipigika balaa zamani kulikua na vijiwe vya wahuni kama vinne sahivi vimevunjwa vyote maana ilikua mtu akikabwa au akivunjiwa nyumba kinawekwa kikao na tunawapigia msako huko huko kijiweni tulishawachoma moto wawili mchana kweupe maana sisi ni wengi kuliko wao ilifika hatua wengine wakakimbia had mkoa.

Sahiv mtaan vimebaki vijiwe vya alkasus tu.
 
Hata kwa sisi wadada inatuhusu hii mkuu? Kupiga story na kibaka kweliasije akakuchenjia dk 0
Unaweza usikae nae kupiga story ila ukipita usiwavimbie.

Wakati fulani nilikua na kasehemu nauza pombe Mwananyamala. Pembeni ya frame yangu kulikua na kituo cha bodaboda. Wale bodaboda nilivyofika nikazoeana nao haraka kwa sababu nilikua nawatuma mara nyingi halafu siku moja moja nawapatia pombe walikua wananikubali sababu walikua wananiona wa tofauti halafu naishi nao kawaida. Katika hao kuna wengine walikua vibaka kabisaaaa. Mmoja alinihadithia kabisa namna wakienda kuiba mpaka wanabaka ila nilikua namshauri sana sana.

Ila tu waliniahidi kwamba kamwe sitokaa nikaibiwa pale na mpaka naondoka lile eneo nilikua nafunga kufuli moja tuu. Kwa kifupi walikua wananilinda na waliniambia Kino yote mpaka Sinza wanajua vibaka wao siku nikiibiwa niwaambie wanirejeshee vitu vyangu.


Wakati mwingine sio kwamba unasapoti tabia zao ila kama unajua huwezi kupambana nao bora uwe mpole maisha yaende
 
kuna siku walinipiga cm kwenye daladala.

kesho yake husb akawafata kijiweni kwao akawaambia " jana mida ya asbh mmechukua cm ya wife kwenye daladala naomba muirudishe"

cha ajabu haikufika saa10 jioni, cm ikarudishwa na msamaha nikaombwa,
na zaidi nikahakikishiwa usalama wangu popote ntakapo pita.

kuna muda wajuba ni watu poa sana
 
Hahaha!pande gani mkuu maana nishaskia case kama hyo
Mtaani juzi hapa wameiba kwa jamaa fulani hivi.
Wamepuliza dawa ndani usiku wakavunja wakaiba kila kitu isipokuwa kitanda tuu jamaa alicholalia na familia yake.
Hatari sana asee unapuliza dawa hivyo ya nusu kaputi unaweza kuwalaza watu mazima.
Wamemaliza kuiba wakajisaidia haja zote hapo wakaondoka kwa imani kwamba jamaa asiwalog
 
Yan inaonesha wew n mshamba Sana endelea kujidanganya endelea kujitekenya na kucheka mwenyew wale watu hawaaminiki yan hawaaminiki wakishavuta na wakishatumia madawa s wenzako tena hao tena wakijua unawajua na umewatambua n hatar Sana
 
1. Penda Kujichanganya nao kupiga stori ukiwa na muda

2. Ukibakiza vichenji chenji wape

3. Ukijua wanavuta Bangi au Pombe siku ukiwa nazo mfukoni wanunulie

4. Ukisikia Mmoja wao kakamatwa onyesha hata kinafiki tu kuwa unampambania Kumtoa

5. Wakosoe kwa kuwajenga na siyo kwa Kuwadhalilisha na kama ukisikia kuna Kazi yoyote (hasa za Kawaida tu) waunganishe / watafutie

6. Usiwe na Kiherehere Kingi cha Kuwachomesha kwa Polisi mpaka labda itokee sana na imebidi

7. Ukiwa nao Maskani unapiga Story Mbili Tatu penda mara kwa mara kuingizia Mambo ya Kiimani ( hasa ya Mwenyezi Mungu ) na jinsi ya kuwa Mwema hapa duniani na kutubu ili kuyaanza Maisha mapya na mema

Ukiyafanya haya mambo Makuu Saba (7) Tajwa hapa nakuhakikishia kuwa hata ukiwa unaishi nao Mtaani unaweza hata Kukaa miaka 20 wasikufanye lolote lile na ukashangaa.

Kwa KEROZENE kuandika haya (hivi) sisemi kuwa nawapenda au nawaunga mkono hawa Wahalifu bali nimejaribu tu kuwapeni Mbinu ya Kisaikolojia ya kuweza Kuishi nao na Kuwakabili pia bila ya wao Kukudhuru kwa lolote / chochote.

Nina Mtu hapa Majuzi kati Usiku mida ya Saa 7 Gari yake ilimsumbua na alikuwa Safarini hivyo akabidi aje Kulala Ghettoni Kwangu na akiwa njiani na Kukutana nao akiwa na Simu zake Mbili za thamani na Hela mfukoni walipomuweka Mtu kati ili Kumdhuru huku wakimhoji akasema anakuja kwangu KEROZENE na kilichofuatia wakaachana na Mpango wao huo na kumsindikiza hadi Ghettoni Kwangu na Kunigongea kisha nikaamka na wakanikabidhi Mgeni wangu huku Wawili wakisema watalilinda Gari lake mpaka Asubuhi hivyo asiwe na Wasiwasi.

Tulipoamka Asubuhi na kuanza harakati za Kushughulikia Gari lake Jamaa yangu alipowaona akatoa Tsh 10,000/= kama Asante yake Kwao na kwa Mshangao Jamaa waliikataa na kumwambia wakiipokea hiyo Hela itakuwa ni kama vile wananilipisha Mimi Kaka yao wa Mtaa kwani huwa nawasaidia mno wakiwa na Shida.

Baada ya Jamaa yangu kuona Tukio lile na nikamuelezea Mishe zao zote za Kimatukio Mtaani (Mitaani) ameshawatafutia Watatu kati yao Kazi katika DalaDala zake na sasa wamebaki kama Wanne baada ya wengine pia Kuwaunganisha katika Mishe za Ujenzi, Uvuvi na Ulinzi.

Tuwasaidie na kamwe tusiwadidimize!
Huo muda wa kuzoeana nao nautolea wap? Nipo busy na mamb yang ya msingi
 
Labda tumetofautiana mitaa, huku kwetu hatukabwi na wazawa wa eneo letu

Ni vibopa kutoka mitaa sita huko vinakuja survey mida mibovu, na machizi wa huku wanaji mix mitaa ya huko ambayo hawafahamiki

Street tunaishi kiniga, ukijidai unaleta falsafa za kisomi huku au ni mtu wa kuji isolate sana na watu basi unakua kwenye radar za watemi

Mimi ni mpenzi wa draft, kiukweli huu mchezo umenisaidia sana kujenga mahusiano mazuri na watu wa rika nyingi na wenye tabia tofauti tofauti kiasi cha kunifanya nijue mengi.

Kwenye kijiwe cha draft hapakosi wahuni na ni rahisi sana kujenga chemistry na wadau kupitia draft hata kama ni mgeni wa eneo hilo.

Kuna siku nilichelewa mida ya night mtaa umepoa nikawa najisogeza kuelekea gheto, ili niwahi kufika nikaamua kupita chocho

Lakini ile chocho ndio hemaya ya vibaka, watu wote wanajua eneo hilo ni maarufu kwa maskani ya watemi

Nikajisemea ili nipite hili eneo inabidi ni behave kihuni, nikarudi nyuma kuangalia duka ambalo liko wazi nikanunua sigara kali nikaiwasha

Nikapiga mlege natembea najivuta kwa kupepesuka nilipokaribia eneo lao nikawa naongea kihuni afu kwa sauti ya kilevi, "oya mazee hapo road kuna doka limepaki mamwela kibao wametanda, mi ningeweza kuamsha peke yangu sema nikaona dusko siwezi nikawakataa wanangu afu sema nini shikeni na huu mjiti (nikawarushia ile sigara kali moja ambayo sijaiwasha)

Wakasema "fresh mwanangu bora umetusanua ngoja tuamshe"

Afu nikawapita

So wahuni automatically walijua mimi ni mwenzao, na kwakua eneo wanalokuja kukaba, vibaka wanatoka pande tofauti tofauti wakadhani mimi ni kibaka mpya kumbe fix tu
 
Hiyo namba 4 ni hatari....unaweza kutwa kakamatwa kwa dawa za kulevya utashangaa na ww unaunganishwa kwenye kesi
 
Back
Top Bottom