Family Pressures.. Ushauri Pls!!

Family Pressures.. Ushauri Pls!!

Do you have someone you love, l mean like real love? Maana it is easy kuamua kuzaa na mtu unayempenda kuliko kuzaa tu for the sake of it.
 
Berrita nashukuru for your input ila tatizo ni hapo nilipo bold. It's not as easy as you think. Kwa mfano Right now if you ask me unataka mtoto at this moment or next year the answer is a definate NO! However I can't say that for sure down the road, eg in 5 years.

Input yangu imeelemea katika wewe kujikubali kuwa uncompromising na selfish. sio wote wamebarikiwa kutaka uzazi na kuufurahia. isije ukalazimisha ikaleta vinyemelezi vya matatizo yakasababisha chuki kwa mama yako au mbaya zaidi kwa mtoto. upo miaka 30 kati. miaka mi5 ijayo ukakuwa unagonga 40 au unakaribia. so unataka upo 50 una mtoto wa miaka 10? bora tu ukubali ukweli kuliko kuulazimisha.
 
Nemo maamuzi ya kutoolewa inaweza kuwa sio tatizo
binafsi ningeshauri kuwa na mtoto kuna wakati unapata furaha unapomwangali hata unapotembea naye kwenda kwa marafiki au sehemu yoyote.
kuna rafiki yangu marehemu sasa hakutaka kuolea na wala kuwa na mtoto lakini alipofikisha umri fulani alitamani kamaa angekuwa mtoto na sio kwamba alikuwa na shida ya kutopata mtoto la hasha ni maamuzi na ilifka kipindi akawa anaomba watoto wa marafiki waende kushinda kwake nakumbuka aliwahi kusema "natamani ningekuwa na mtoto angekuwa na umri fulani ningefanya hivi na vile " kama unaweza fanya sasa dada
 
Last edited by a moderator:
..but angali, ujana maji ya moto little while yanapoa! kwa nini usiolewe? wanayosema ndugu zako ni sahihi baada ya muda utapoteza uwezo wa kuzaa! ukifikia hapo ndo utatafuta mtoto wa ku-adopt au ni aje? au una tatizo linalokusonga? liseme...

Hilo pia ni jambo ambalo limenitatiza...yaani baada ya kufikisha miaka 30 bado binti anahisi ana muda tena??

Muda wa uzazi usio na complications unayoyoma...after 35 years inakuwa taabu tupu..

Babu DC!!
 
Bossman, that's not a guarantee, my friend.

Kuna wazazi wako hivyo hadi unashangaa kwa nini walizaa. They just don't give a damn. Wao ni kujirusha tu. Mtoto hajaliwi hata kidogo.

So ni bora wasizae ?
 
However selfish and uncompromising you are
ukizaa utabadilika...


Sasa huyo mtoto atamtoa kwa mtu gani kama hayuko tayari kugawa hata share yake moja ili awe na mtu wa kumsaidia kupata mtoto....

I think being selfish and uncompromising...if she really means it, are the highest levels when it comes to sharing your life with others!!

Babu DC!!
 
You worry, you die. You dont worry, you die.
Why bother with the worries?
Relevance yake hapa, wapo waloolewa wakajuta. Wapo wasioolewa wanajuta. Wapo waliopata watoto wakajuta, na waliokosa kuzaa wakajuta pia. Follow ypur heart, a gal can change her mind anytime she wants. Unaweza ukasema hapa hautaki kuolewa, next week akatokea mtu akakusweep off your feet na by nwxt xmas ukawa na mume na mtoto. Sio dhambi kuwaza na kuamua sasa, na kubadili maamuzi kesho.

Umewaza vyema kwenye.kitu kimoja, once you have kids there is no going back! Ever! You will hussle and worry about them until you die (si unaona mamako anahangaika na wewe saa hizi?). Its a scary moment for most of us. Usifanye kuwaridhisha watu. Give it time, ukiona wenzio wana watoto wao huenda ukavutiwa.
 
Hayatuhusu. This is your private business. We dont want gossip in this forum.

Mkuu take sometime to familiarize yourself with words before using them..........anyhow here is some useful definition for next time

Gossip -Casual or unconstrained conversation or reports about other people, typically involving details that are not confirmed as being true.
 
Zion Daughter
Ohh my goodness,,,,,,,,,,,,,,,,this is exactly what my sister argued for!!! Ahsante kwa ushauri

Ur welcome..Its my prayer that ubadilike... I like seeing people living happily!!
Take care kwa kuwa the clock is ticking now!!
 
Sasa huyo mtoto atamtoa kwa mtu gani kama hayuko tayari kugawa hata share yake moja ili awe na mtu wa kumsaidia kupata mtoto....

I think being selfish and uncompromising...if she really means it, are the highest levels when it comes to sharing your life with others!!

Babu DC!!


Most people wanao ji 'brand kuwa wako wabaya namna fulani'
wengi wao deep down hawako hivyo...
ni 'defensive mechanism' tu....
 
So ni bora wasizae ?

Kuna watu kweli ni bora wasingezaa tu. Manake, kwa nini uzae halafu usiwajibike na matokeo yake mwanao apate mateso yasiyo na kujitakia? Kuna watoto wana shida hapa duniani hadi mtu unajisemea ni bora tu wasingezaliwa.

Jaribu kutembelea orphanage siku moja halafu uulizie backgrounds za watoto walio hapo. Unaweza kulia aisee.
 
Mtoto ni kitu kingine bwana, nakushauri kama huwezi kucompromise hata kidogo na kuolewa basi zaa.

They bring new n wonderful meaning in our lives. You are never lonely when you have a kiddo. Do it to youself, sio kwa pressure.

Kuna bibi yetu mmoja hakujaliwa kuzaa ktk uzee wake alitunzwa na cousin wangu mmoja (mtoto wa dada yake huyo bibi); siku zote hadi anafariki alikuwa ni mtu wa kujihisi tu na kusononeka.

Msikilize mama yako tafadhali, amepitia ujana na anajua yote anayopaswa kujua.


Ahsante Kaunga. This is a very thoughful and insightful comment. Cheers!
:cheer2: .
 
Sasa huyo mtoto atamtoa kwa mtu gani kama hayuko tayari kugawa hata share yake moja ili awe na mtu wa kumsaidia kupata mtoto....

I think being selfish and uncompromising...if she really means it, are the highest levels when it comes to sharing your life with others!!

Babu DC!!

very true babu! Na huenda ndio sababu she is still as single! Ajabu anajitambua, watu walio selfish and uncompromising huwa hawajijui na wanaona wanaonewa all the times!
 
Mdogo wangu Zion Daughter,

Nakubaliana na wewe...ila kwa maelezo ya huyu dada (ambayo naamini ndiyo ukweli toka ndani mwake), ana qualities ambazo kama hayuko tayari kubadilika basi itakuwa ngumu kwake kuingia kwenye ndoa au kuwa na mtoto bila ndoa!!

Hivi kwa yale aliyoyasema, itatokea nini endapo toddler wake atavunja chupa ya perfume yake (a very expensive frangrance kama Channel 5)??

Nadhani hii ni case ngumu sana,

Babu DC!!

Kuna uwezekano mkubwa kuwa akizaa au akishika mimba tu atabadilika(kama alivosema The boss) na yeye mwenyewe atajishangaa...
 
Kuna watu kweli ni bora wasingezaa tu. Manake, kwa nini uzae halafu usiwajibike na matokeo yake mwanao apate mateso yasiyo na kujitakia? Kuna watoto wana shida hapa duniani hadi mtu unajisemea ni bora tu wasingezaliwa.

Jaribu kutembelea orphanage siku moja halafu uulizie backgrounds za watoto walio hapo. Unaweza kulia aisee.

when i visit an orphanage, i cry na kuishia kuumwa kichwa na kula kwa stress (bila a big ice cream ama big milkshake i wont be able to think straight!). Huwezi kuamini mtu anaweza kureject kiumbe mwenye a bright smile and big bright eyes! Dah!
 

The Boss

That's what everybody says. A kid will do a 180 on me , and totaly change me!


How Nemo 'the cute fish' became so selfish and uncompromising?
 
Last edited by a moderator:

The Boss

That's what everybody says. A kid will do a 180 on me , and totaly change me!
hofu yangu ni pale utakapotafuta mwanaume tu wa kuzaa nae. Na ukipata mtoy ukataka kugeuka 180 degrees na kuwa mama na pengine kutamani familia mathubuti. Na mzazi mwenzio yeye akashindwa kugeuka. Ningekuwa wewe ningejishughulikia attitude yangu kwanza kuhusu stable relationship. Halafu nikiiweza hiyo ndipo niwaze mtoto.
 
when i visit an orphanage, i cry na kuishia kuumwa kichwa na kula kwa stress (bila a big ice cream ama big milkshake i wont be able to think straight!). Huwezi kuamini mtu anaweza kureject kiumbe mwenye a bright smile and big bright eyes! Dah!

No joke, it is heart-wrenching.
 
I respect ur life style!! so nashindwa kutoa advice! coz umesha conclude kwamba hutaki kuolewa so nikushauri nini then?!


Stamina
My Dear , Life is not always about being someone's wife or hubby. Nor should it be looked at differently for people who choose otherwise. Issue ya mtoto je?
 
Back
Top Bottom