That said Ndoa to me is
- Not accepting my a man's infidelity in the name of uvumilivu- Id rather be uncompromising
Hizi habari za "oohhh ataenda atarudi mie ndio mke halali", "hata mfanyaje sijui nikonae ndani, and blah blah is just not my cup of tea
Some marriages are a JOKE!
kwa upande wangu mimi,being a mother is the best thing that ever happened to me.zamani nilikuwa sipo close na watoto.nilipopata wangu,imekuwa tofauti kabisa,nikachagua kazi ambayo na deal na watoto na nashukuru naipenda kazi yangu.nina amini utakapokuwa na mtoto itakuwa tofauti.ila kwa sisi wanawake kuna kitu umri,ni kweli ikifika age flani.kuhusu suala la mtoto usahau.ila ki ukweli mambo ya kupewa pressure kuhusu ufanye nini sio jambo zuri kabisa.fanya kitu ile roho yako inapenda.
watoto wenyewe wa siku hizi hawachelewi kuwa 'liability'. Usitegemee malipo kwa mtoto maana anaweza fanya tofauti na matarajio.
don't startKumbe na wewe una watoto?
Habari zenu wanajamii?
Mimi kwa wasifu ni: ke, mid thirties,no kids, never been married
Positives: Easy going, friendly, "Ok" looking, very independent**
Negatives: Selfish,Uncompromising, Impatient , semi- feminist**.
Lately my family, especially my sister has been on my case re: my "unmarried" status. Ohh umri
umekwenda, ohh utajuta, ona watoto wa family friends na familia zao, ohh una muhuzunisha mama, and blah blah blah. Personally I could careless about mawazo ya wanandugu hawa except for my mother. I love her to pieces and would not want to be a source of disappointment in her life. Nilivyo ongea naye, yeye alichosema ni kuwa kama sitaki kuolewa at least nizae. She thinks huko baadae nitajutia haya maisha ya kipekee, especially ikiwa bila ya mtoto hata mmoja.
So far my biggest worry is mtoto is for life. Sasa wajameni, nemo mimi nisiyeweza haya maisha ya kuhudumia mtu mzima na ndevu zake aka ndoa nitawezaje kuwa responsible for mtoto who is a total dependant? Je wenzangu mna deal je na hizi pressure za familia kung'ang'ana na ndoa or meddling in your life? Na wale wazazi both single and married maisha na gharama za kulea ni aje?
PS: Sorry in advance kwa wale wanaokerwa na language mix
don't focus on the fail marriages angalia za wale waliomudu. if I considered all the people waliofail in life i would not have been who I am today. do your best and let god handle the rest. pia kama unataka mtoto bila ndoa the sperm donor may be a possibility. dont have such a pessimistic view of kids/marriageBAK
Muchly appreciated for this very solid advice. Ila naomba ni fanunue kuhusu swala la ndoa. I have nothing against it na pia hata mimi ningependa kupata chereko chereko na mwenza wa maisha. That said Ndoa to me is
I cant stress how many close people (women I used to respect), I have seen being treated like ,,,,,,,,,,,,,,,,,,losing their dignity and respect in the name of the so called ndoa. I know watu watanirukia or sio ndoa zote, or blah blah but show me 1 on solid man and I'll show you 10 that are,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,. Hizi habari za "oohhh ataenda atarudi mie ndio mke halali", "hata mfanyaje sijui nikonae ndani, and blah blah is just not my cup of tea
- Not accepting my a man's infidelity in the name of uvumilivu- Id rather be uncompromising
- Not a** kissing wakwe, and a bunch of people in the name of adabu na heshima- Id rather selfishly be myself
- Not cooking, house cleaning and labouring for a grown man in the name of mke mwema - Id rather be called a feminist
PS: Pole if I seem to rant but duh! Some marriages are a JOKE!
Kiranga
Nigangamaneje jamani? If I could change I would. Do you not agree that a kid in some way is the next best thing, kama mtu usipokuwa na familia
Do you have someone you love, l mean like real love? Maana it is easy kuamua kuzaa na mtu unayempenda kuliko kuzaa tu for the sake of it.
Habari zenu wanajamii?
Mimi kwa wasifu ni: ke, mid thirties,no kids, never been married
Positives: Easy going, friendly, "Ok" looking, very independent**
Negatives: Selfish,Uncompromising, Impatient , semi- feminist**.
Lately my family, especially my sister has been on my case re: my "unmarried" status. Ohh umri
umekwenda, ohh utajuta, ona watoto wa family friends na familia zao, ohh una muhuzunisha mama, and blah blah blah. Personally I could careless about mawazo ya wanandugu hawa except for my mother. I love her to pieces and would not want to be a source of disappointment in her life. Nilivyo ongea naye, yeye alichosema ni kuwa kama sitaki kuolewa at least nizae. She thinks huko baadae nitajutia haya maisha ya kipekee, especially ikiwa bila ya mtoto hata mmoja.
So far my biggest worry is mtoto is for life. Sasa wajameni, nemo mimi nisiyeweza haya maisha ya kuhudumia mtu mzima na ndevu zake aka ndoa nitawezaje kuwa responsible for mtoto who is a total dependant? Je wenzangu mna deal je na hizi pressure za familia kung'ang'ana na ndoa or meddling in your life? Na wale wazazi both single and married maisha na gharama za kulea ni aje?
PS: Sorry in advance kwa wale wanaokerwa na language mix
Habari zenu wanajamii?
Mimi kwa wasifu ni: ke, mid thirties,no kids, never been married
Positives: Easy going, friendly, "Ok" looking, very independent**
Negatives: Selfish,Uncompromising, Impatient , semi- feminist**.
Lately my family, especially my sister has been on my case re: my "unmarried" status. Ohh umri
umekwenda, ohh utajuta, ona watoto wa family friends na familia zao, ohh una muhuzunisha mama, and blah blah blah. Personally I could careless about mawazo ya wanandugu hawa except for my mother. I love her to pieces and would not want to be a source of disappointment in her life. Nilivyo ongea naye, yeye alichosema ni kuwa kama sitaki kuolewa at least nizae. She thinks huko baadae nitajutia haya maisha ya kipekee, especially ikiwa bila ya mtoto hata mmoja.
So far my biggest worry is mtoto is for life. Sasa wajameni, nemo mimi nisiyeweza haya maisha ya kuhudumia mtu mzima na ndevu zake aka ndoa nitawezaje kuwa responsible for mtoto who is a total dependant? Je wenzangu mna deal je na hizi pressure za familia kung'ang'ana na ndoa or meddling in your life? Na wale wazazi both single and married maisha na gharama za kulea ni aje?
PS: Sorry in advance kwa wale wanaokerwa na language mix
Jiulize hivi....Hivi ingekuwaje mama yako angekataa kuolewa? Angekataa kukuzaa ungeujua wapi huu ulimwengu? Ungepata wapi hii habari ya kujivuna yote haya? Watu wenye kujipenda zaid wenyewe wachoyo na wabinafsi ufalme wa Mungu sio wao, basi ungeipenda hiyo hali ungeenda kuwa Sista ijulikane umeutoa mwili wako dhabihu kwa Bwana,hiyo ni njema pia, kama umekataa kutimiza agizo la Mungu la kuzaa na kuongeza dunia basi timiza hilo agizo la Mungu kwa Kuzaa watoto wa kiroho,yaani ujitoe mwili wako kikamilifu kwa Mungu ufanye kazi yake na maisha yako yote umwishie yy. Oh it will be the best reward toward God and the whole world.