Zahra White
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 598
- 574
Million 5 Au 6 kwa siku si haba.
Watu kibao figo zao zimefeli na bado wanaishi kwa msaada wa dialysis machine.Figo zikishaanza kufeli , zikieni tu kwa watu maana ni stage ya hatari.
Mungu ampe kheri huko aliko.
Yap Dialysis ni moja ya treatment za wagonjwa wa figo,ni very expensive!!Wanamfanyia dilalicis nini!
Nlikutana na mzee mmoja alikuwa anafanyiwa pale opposite na tmj hospital alinambia ilibidi auze jumba lake ili apate fedha ajitibu..na hajui matibabu hyo yataisha lini?
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Kinaisha mkuu,Ruge yupo S.A zaidi ya miezi minne na kila siku tiba Tsh 5m bado gharama za watu wanaomtunza huko na za kuishi S.AMmh hatari hiyo,hata chumba cha pesa kinaisha?
Wewe kwa makadrio yako jamaa anaingiza bei gani kwa siku?Kabisa..5 millions per day!!! Parefu sana. Ruge ana stahili sapoti ya wananchi. Allah amfanyie wepesi
Hata kama anaingiza milioni mia kwa siku still bado ni hela nyingi sana hiyo
Kabisa, Mwl Nyerere hakukosea ule usemi wakeUgonjwa hauna tajiri wala masikini, tajiri anaweza kufa akaacha pesa masikini akafa kwa kukosa pesa. Ugonjwa usikie tu kwa wenzako, ugonjwa unatafuna pesa kuliko starehe. Mungu msaidie huyu mja wako Ruge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiba za Figo ni Gharama sana hata kama una fedha zimejaa kwenye chumba zitaisha!! Changia ulicho nacho mkuu!!