Kanali G
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 9,901
- 14,379
Mungu akamguseAna tatizo la Figo.
Get well soon Ruge.
Mungu akamguseAna tatizo la Figo.
Get well soon Ruge.
Eeh Mungu wa Eliya, naomba umguse Ruge kwa mkono wako wa uponyaji...Amen!
Halo ndugu, pole kwa kuguswa kwanza, haya matibabu yanajumuisha matibabu ya kwanza yalioanzia India kabla ya kuugua tena na kupelekwa south Africa. Hivyo hizo hela zishatumika na bado nyingine zahitajika kwa sababu hali ya mgonjwa bado ni tete.Mungu amjalie bwana Ruge apone haraka..lkn kitendo cha kuja kutuomba michango bila kutueleza mgonjwa anaumwa nn,hiki hakikubaliki kabisaa!
Halafu gharama zinazotajwa mbona gharama kubwa sana..!?? Kwa nn anatibiwa kwa gharama kubwa kiasi hicho. Maana tunaambiwa anatumiwa milioni 5 mpaka 6 kwa siku. Clouds waache utapeli,yaani hata kuumwa tu Ruge nayo wanaifanya fursa!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo wala siyo kitu cha kuuliza..Baada ya ugomvi ule na baadaye kupatanishwa kirahisirahis lazima kunakitu aliwekewa.Ni kweli kwamba alipewa sumu!??
Mkuu hebu muogope Mungu kwanza..kumbuka clouds walikuwa kimya siku zote za ugonjwa means walifanya siri wakiamini watamudu gharama na atapona. Mpaka wameamua kusema inamaana hali imekuwa mbaya na peke yao hawawez kuaford ndio maana wameamua kuliweka hadharani ili wananchi wachangie, sasa hyo fursa inatoka wapiMungu amjalie bwana Ruge apone haraka..lkn kitendo cha kuja kutuomba michango bila kutueleza mgonjwa anaumwa nn,hiki hakikubaliki kabisaa!
Halafu gharama zinazotajwa mbona gharama kubwa sana..!?? Kwa nn anatibiwa kwa gharama kubwa kiasi hicho. Maana tunaambiwa anatumiwa milioni 5 mpaka 6 kwa siku. Clouds waache utapeli,yaani hata kuumwa tu Ruge nayo wanaifanya fursa!??
Sent using Jamii Forums mobile app
Ana tatizo la Figo.
Get well soon Ruge.
Hivi kama tatizo ni kufail kwa figo ufumbuzi wake ilikuwa siyo kutumia sehemu ya hizo fedha zilizokwisha tumika na kununua figo zingine used? Nauliza kama layman kwenye mambo hayo ya kitabibu.
Hivi kama tatizo ni kufail kwa figo ufumbuzi wake ilikuwa siyo kutumia sehemu ya hizo fedha zilizokwisha tumika na kununua figo zingine used? Nauliza kama layman kwenye mambo hayo ya kitabibu.