Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,614
- 15,942
Aisee watanzania mna matatizo gani? Sasa kikwete ulitaka atajwe pale ashukuriwe kuwa alimuuguza lowassa au?
Haswa .mi sipendi unafikiRafiki kipenzi? Tutake radhi tafadhali.
Familia ya Lowassa wamenifurahisha mno, ni nani asiyejua usaliti aliofanyiwa baba yao na huyo unayesema ni rafiki kipenzi?
Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa, ile tabia ya unafiki misibani ikome.
Mzaramo akaniambia kaa ...mi nasimamaKwahiyo kikwete kuongea hivyo ndo Ina maana alikuwa akishirikiana na na ndugu na kuwa karibu na marehem?
Hawaongelei kukataliwa mkuuJK inaonekana ni icon inayopenda kutupiwa lawama kila wakati.
Lowasa alikataliwa na Nyerere kwanza kabla ya Kikwete. Hata jaji Warioba alithibitisha juzi hilo
Au mi sijasoma mada vzr?Watu wanajitoa ufahamu kwa kujifanya hawajui jinsi CCM inavyooperate.
Huyo JK mnayemlaumu kumkata Lowasa mwaka 2015, mbona yeye JK mwenyewe alichezewa Faulo ndani ya CCM mwaka 2015 na akatulia.
Huwi rais kama hujaandikiwa kuwa Rais
Kwenye hela hapo mkuu,EL sio masikini bwana😅Hivi hata kikwete hakutoa mchango wa matibabu hata milioni 50 kweli au hata kwenda kumwona tu. Kama ni hivyo makonda yuko sahihi kabisa
Wamasai wamenyookaa, hawapindishi maneno!!! Hakwenda Arusha?Nafki
Yaani jk kapewa makavu live, huyu kasababisha laigwanani afe kabla ya wakati.Rafiki kipenzi? Tutake radhi tafadhali.
Familia ya Lowassa wamenifurahisha mno, ni nani asiyejua usaliti aliofanyiwa baba yao na huyo unayesema ni rafiki kipenzi?
Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa, ile tabia ya unafiki misibani ikome.
Maamuzi ya kumkata mgombea siyo ya mtu mmoja (Rais), labda awe dictator), ambapo JK hakuwa.Watu wanajitoa ufahamu kwa kujifanya hawajui jinsi CCM inavyooperate.
Huyo JK mnayemlaumu kumkata Lowasa mwaka 2015, mbona yeye JK mwenyewe alichezewa Faulo ndani ya CCM mwaka 2015 na akatulia.
Huwi rais kama hujaandikiwa kuwa Rais
Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.
Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.
Haahahaha makavu live hakuna kusifia wasaliti na wanafikiRafiki kipenzi? Tutake radhi tafadhali.
Familia ya Lowassa wamenifurahisha mno, ni nani asiyejua usaliti aliofanyiwa baba yao na huyo unayesema ni rafiki kipenzi?
Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa, ile tabia ya unafiki misibani ikome.
Alikataliwa hakusalitiwa na Nyerere ila jk alimsalitiJK inaonekana ni icon inayopenda kutupiwa lawama kila wakati.
Lowasa alikataliwa na Nyerere kwanza kabla ya Kikwete. Hata jaji Warioba alithibitisha juzi hilo
Alimlinda kwa lipi labda.??Kikwete alikuwa MTU fair sana - kwa mhemuko wa spika na bunge wakati huo kama si busara za JK angejiuzulu na kuswekwa ndani.
Lkn hata iweje JK alimulinda sana EL