Familia isiyokuwa na mwanaume (baba) huwa inapwaya.

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,488
40,504
Mwanaume ni kiongozi wa familia, hii ni kutokana na asili ya uumbaji. Kuna kipindi, mwanamke lazima amtegemee mwanaume, iwe ni kwenye kufikiria au kutoa maamuzi.

Kwa wale ambao hawaishi na wanaume, wanalijua vizuri gepu lililopo hasa pale mwanaume asipokuwa katika maisha yao.

Ndio maana wengine, wanajikuta wakilazimisha kuendelea kuwa michepuko ili kuwa karibu na mwanaume, na kufanikisha 'nature' iliyopo.

Mwanamke bila mwanaume, huishi maisha ya mateso sana hasa kinafsi, hata kama atakuwa na kila kitu; lazima apate tulizo la moyo wake, awe wa kuiba (kuchepuka), au wa kujimilikisha.​
 
Sijaolewa ila naomba sana Mungu anijalie mume Mana najua kuwa na watoto bila mume ni changamoto pia napenda nizae watoto ambao watalelewa na wazazi wote wawili hasa tukiwa hai.

Binafsi nafasi ya mwanaume ni muhimu sana katika malezi na makuzi ya wanangu na mustakabali mzima wa familia yangu.
Ukweli mchungu ila mwanaume ana nafasi yake katika familia tena muhimu.
Nikiangalia wanawake wanaolea watoto peke yao kuna vitu wanavikosa katika malezi na hata hao watoto wao ila hawataki kuonyesha kwamba kuna gap wao watakomaa ulimwengu ujue wapo sawa na familia zenye baba.
 
Sijaolewa ila naomba sana Mungu anijalie mume Mana najua kuwa na watoto bila mume ni changamoto pia napenda nizae watoto ambao watalelewa na wazazi wote wawili hasa tukiwa hai.

Binafsi nafasi ya mwanaume ni muhimu sana katika malezi na makuzi ya wanangu na mustakabali mzima wa familia yangu.
Ukweli mchungu ila mwanaume ana nafasi yake katika familia tena muhimu.
Nikiangalia wanawake wanaolea watoto peke yao kuna vitu wanavikosa katika malezi na hata hao watoto wao ila hawataki kuonyesha kwamba kuna gap wao watakomaa ulimwengu ujue wapo sawa na familia zenye baba.
Kama utajiwekea mikakati thabiti, utafanikisha hitaji lako; ingawa wanaume wamekuwa wachache sana, baadhi yao wanatamani kuwa wanawake
 
Sijaolewa ila naomba sana Mungu anijalie mume Mana najua kuwa na watoto bila mume ni changamoto pia napenda nizae watoto ambao watalelewa na wazazi wote wawili hasa tukiwa hai.

Binafsi nafasi ya mwanaume ni muhimu sana katika malezi na makuzi ya wanangu na mustakabali mzima wa familia yangu.
Ukweli mchungu ila mwanaume ana nafasi yake katika familia tena muhimu.
Nikiangalia wanawake wanaolea watoto peke yao kuna vitu wanavikosa katika malezi na hata hao watoto wao ila hawataki kuonyesha kwamba kuna gap wao watakomaa ulimwengu ujue wapo sawa na familia zenye baba.
Lile ulipangalo wewe sio alipangalo Mungu nilitamani sana watoto wangu walelewe na baba na mama lakini mapenzi yangu hayakutimia Mungu akamchukua mume wangu watoto wakiwa wangali wadogo,nilisimama kama mama hadi sasa mtoto wa mwisho aliachwa akiwa darasa la kwanza sasa yupo kidato cha pili na mkubwa aliacha std 6 sasa yupo chuo. Japo nilijitahidi sana lakini pengo la baba yao halijafutika. Malezi ya watoto yanawahitaji wazazi wote wawili mengine ni kujifariji tu
 
Kipindi cha nyuma nilitengana na mke wangu nikamuachia nyumba na hela ya matumizi nilikua namtumia kila siku elf 20 had 25...akabaki na watoto

Acheni aisee acheni kabisa manyanyaso aliyopitia nilikuja kujua baadae sana kupitia watoto..

Nilirudiana nae ilinichukua wiki tatu kuweka mambo sawa pale kwangu..kuna watu walipigwa..wengine jela wengine tulitaftana na mapanga...wengine walihama kabisa maana nilitangaza vita na nikawa namaanisha

Confidence ya watoto ilirudi like 2month walikua wametiwa uoga wa ajabu...


Baba ni Baba tu...
 
Sijaolewa ila naomba sana Mungu anijalie mume Mana najua kuwa na watoto bila mume ni changamoto pia napenda nizae watoto ambao watalelewa na wazazi wote wawili hasa tukiwa hai.

Binafsi nafasi ya mwanaume ni muhimu sana katika malezi na makuzi ya wanangu na mustakabali mzima wa familia yangu.
Ukweli mchungu ila mwanaume ana nafasi yake katika familia tena muhimu.
Nikiangalia wanawake wanaolea watoto peke yao kuna vitu wanavikosa katika malezi na hata hao watoto wao ila hawataki kuonyesha kwamba kuna gap wao watakomaa ulimwengu ujue wapo sawa na familia zenye baba.
Mume niko hapa
 
Kipindi cha nyuma nilitengana na mke wangu nikamuachia nyumba na hela ya matumizi nilikua namtumia kila siku elf 20 had 25...akabaki na watoto

Acheni aisee acheni kabisa manyanyaso aliyopitia nilikuja kujua baadae sana kupitia watoto..

Nilirudiana nae ilinichukua wiki tatu kuweka mambo sawa pale kwangu..kuna watu walipigwa..wengine jela wengine tulitaftana na mapanga...wengine walihama kabisa maana nilitangaza vita na nikawa namaanisha

Confidence ya watoto ilirudi like 2month walikua wametiwa uoga wa ajabu...


Baba ni Baba tu...
Ilikuwaje mkuu, vibaka waliongezeka?
 
Mwanaume ni kiongozi wa familia, hii ni kutokana na asili ya uumbaji. Kuna kipindi, mwanamke lazima amtegemee mwanaume, iwe ni kwenye kufikiria au kutoa maamuzi.

Kwa wale ambao hawaishi na wanaume, wanalijua vizuri gepu lililopo hasa pale mwanaume asipokuwa katika maisha yao.

Ndio maana wengine, wanajikuta wakilazimisha kuendelea kuwa michepuko ili kuwa karibu na mwanaume, na kufanikisha 'nature' iliyopo.

Mwanamke bila mwanaume, huishi maisha ya mateso sana hasa kinafsi, hata kama atakuwa na kila kitu; lazima apate tulizo la moyo wake, awe wa kuiba (kuchepuka), au wa kujimilikisha.​
Without order, chaos prevail
 
Lile ulipangalo wewe sio alipangalo Mungu nilitamani sana watoto wangu walelewe na baba na mama lakini mapenzi yangu hayakutimia Mungu akamchukua mume wangu watoto wakiwa wangali wadogo,nilisimama kama mama hadi sasa mtoto wa mwisho aliachwa akiwa darasa la kwanza sasa yupo kidato cha pili na mkubwa aliacha std 6 sasa yupo chuo. Japo nilijitahidi sana lakini pengo la baba yao halijafutika. Malezi ya watoto yanawahitaji wazazi wote wawili mengine ni kujifariji tu
Pole sana Mkuu.
Ni kweli Mungu ndio mpangaji wa kila kitu.
Mimi sina hata mtoto ila huwa naona kulea watoto peke yako ni kazi sema ndio hivo Kuna mambo yanatupelekea kujikuta tunalea wenyewe.
Tukiwa hai ni vyema tukalea wanetu kwa pamoja ikitokea tofauti sababu kubwa iwe kifo au ndoa kuvunjika.
Ile style ya sasa hivi ya kusema nalea mwenyewe mi ndio naiona mbaya.
 
Watoto wakiwa mbali na mzazi wa kiume wanakosa hata kujiamini.
Wanaume wachache tunaojitambua hatuna budi kumshukuru mwenyezi Mungu na azidi kutuongoza katika kutekeleza majukumu yetu.
 
Wanawake wa sasa hivi ni wanaume wanateseka Sana.

Wanazaa na kulea wenyewe.Misoto Yao inawajulisha umuhimu wa wanaume.

Wanawake walistahili kupewa na sio kuhustle ila sasa life is unpredictable.
 
Uko sahihi mkuu,binafsi mwanangu hua inafikia muda analia na kuona kama familia haijakamilika bila uwepo wa baba ake, hamjui kwa sababu alifarik mtoto akiwa mdogo Sana.Japo anapata mahitaji yote muhimu lakin gap la kulelewa na mzaz mmoja linaonekana.
 
Sijaolewa ila naomba sana Mungu anijalie mume Mana najua kuwa na watoto bila mume ni changamoto pia napenda nizae watoto ambao watalelewa na wazazi wote wawili hasa tukiwa hai.

Binafsi nafasi ya mwanaume ni muhimu sana katika malezi na makuzi ya wanangu na mustakabali mzima wa familia yangu.
Ukweli mchungu ila mwanaume ana nafasi yake katika familia tena muhimu.
Nikiangalia wanawake wanaolea watoto peke yao kuna vitu wanavikosa katika malezi na hata hao watoto wao ila hawataki kuonyesha kwamba kuna gap wao watakomaa ulimwengu ujue wapo sawa na familia zenye baba.
Allah akujaalie InshaAllah.
 
Back
Top Bottom