labda heinken itasaidia aisee
vinginevyo, bora nitangulie segerea
siriaz, mtu kantoroka miaka 12
leo anarudi mikono mitupu???
Pesa zote katumbua na vimwana??
Afu niwe na moyo wa subira kweli?
mgawane majengo ya serikali we ukienda segerea hakikisha na yeye anaenda tumbi hospital..
Miaka 12?dah kweli smol hausi ilimkamata zaidi ya ulimbo wa BOT(noti mpya)..
Samehe 7*70 kwani usipochafuka utajifunzaje..
simsamehi
hata akienda kupima simtaki
na naanzisha tabia ya kuleta mabwana nyumbani
hadi aondoke kwa hiari
nikienda segerea, jua yeye mtakuwa mnachangisha michango ya mambo mengine kabisa
Aisee fainali ujanani, uzeeni msoto...utasugua benchi sana mwaka huu, hata hivyo fainali uzeeni
Akuuu......malapulapu tu hayo shosti, yanajaza nuksi ka nini!!
labda heinken itasaidia aisee
vinginevyo, bora nitangulie segerea
siriaz, mtu kantoroka miaka 12
leo anarudi mikono mitupu???
Pesa zote katumbua na vimwana??
Afu niwe na moyo wa subira kweli?
dah, ujana ule na wengine uzee upeleke kwa mwingine.
Mihela utumbue na wengine, umaskini uniletee mie.
Inahusu? Nikome babu wee
utasugua benchi sana mwaka huu, hata hela ya dala dala huna.
Hivi baadhi ya wanamme akili walibinafsisha?
Kazi kuleta tu magonjwa
Ila fainali uzeeni
dah, ujana ule na wengine uzee upeleke kwa mwingine.
Mihela utumbue na wengine, umaskini uniletee mie.
Inahusu? Nikome babu wee
utasugua benchi sana mwaka huu, hata hela ya dala dala huna.
Hivi baadhi ya wanamme akili walibinafsisha?
Kazi kuleta tu magonjwa
Ila fainali uzeeni
tena nasema mkomae mabinti zangu
siyo mnapelekeshwa tu,
nimewasomesha ili mjitambue, mnasikia eeh.
Khaaaa skujua JF kuna wataalam wa tarabu pia. Hii sredi hata isha mashauz haoni ndani. Kudadadadeki