Kongosho
JF-Expert Member
- Mar 21, 2011
- 35,999
- 24,163
dah, ujana ule na wengine uzee upeleke kwa mwingine.
Mihela utumbue na wengine, umaskini uniletee mie.
Inahusu? Nikome babu wee
utasugua benchi sana mwaka huu, hata hela ya dala dala huna.
Hivi baadhi ya wanamme akili walibinafsisha?
Kazi kuleta tu magonjwa
Ila fainali uzeeni
Mihela utumbue na wengine, umaskini uniletee mie.
Inahusu? Nikome babu wee
utasugua benchi sana mwaka huu, hata hela ya dala dala huna.
Hivi baadhi ya wanamme akili walibinafsisha?
Kazi kuleta tu magonjwa
Ila fainali uzeeni