FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
- Thread starter
- #41
Taaluma yako ni ipi?
Kasome post namba 43.
Licha ya hiyo, kuna kozi nyingi sana na seminars nyingi sana za taaluma mbali mbali nimepitia sehemu nyingi duniani. Lakini katika yote hayo hakuna taaluma niliyoipata zaidi na iliyonifunguwa ubongo na macho kama Qur'an, kusafiri na kujisomea mwenyewe kila nnapopata nafasi.