Twalyaninkomi
JF-Expert Member
- Oct 31, 2016
- 265
- 259
Unanafasi gani ndani ya Ccm
Hizo ni tofaut tu za kiistalahi.. Zinazotokana na kieneo.. Wote mpo sawa.Murwa=Murua, kajifunze kwanza kuandika
Hahaha huyu bibi ni nooma hata JF mkiungana wote na yeye asimame mwenyewe hamchomoki mkuuMie sina swali, bali nakukubali kwa uwezo wako wa kukusanya kijiji na ukasimama peke yako.
Hoja kwa hoja, utumbo kwa utumbo.
Kwa nn una chuki na watu wenye majina yanayofungamanishwa na dini ya kikristo?
Hata wafanye jema vipi,huwatambui
Usingeweka hii kitu basi ingekua murua sana, nikushauri tu uiondoe na uwe flexible kujibu swali lolote ndio maana iko huku chit-chat. ni mtazamo wangu tu.Tanabahi: Ukiuliza utumbo ntakujibu utumbo.
We si mtu wa mchezo mchezoNna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
Una maana humpendi bila sababu?Sina sababu ya kumchukia Nyerere kama Nyerere wala sina sababu ya kumpenda.
Heshima kwako.Nna shahada ya kwanza ya Electronics Engineering, Major in Telecommunications (Canada, 1982).
haaa haa,kumbe sio kiongozi mzuri kwasababu 'waislam hawafaulu!!???!!!Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
Unafikili kwa kutumia ubongo kweli,the logic there ni equality..soma ata hayo mabango ujielimishehaaa haa,kumbe sio kiongozi mzuri kwasababu 'waislam hawafaulu!!???!!!
Je,waislam wakifaulu atakuwa kiongozi mzuri?
[HASHTAG]#aisee[/HASHTAG]