FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,883
- 109,212
- Thread starter
- #3,441
Maana ya Uislam ni kujisalimisha kwa Muumba wako.Sifaham maana yake,unamaanisha Adam alikuwa muislam? Na kwanini uislam unahusishwa na mtume Muhammad ambae yeye hakuwepo tangu mwanzo? Muhammad ni nan katika uislam?
Kama Adam ndiye mtu wa kwanza duniani basi jiulize alijisalimisha kwa nani?
Mtume Muhammad kaja miaka 600 baada ya ukristo, kapewa Qur'an ili kuweka sawa yaliyopotoshwa, kikuu bink6amini Mwenyezi Mungu ni mmoja na kujisalimisha ni kwake tu.
Huo pia ndiyo ujumbe waliokuja nao mitume wote wa kabla yake, kwa majina wametajwa 25 ndani ya Qur'an.