Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Sifaham maana yake,unamaanisha Adam alikuwa muislam? Na kwanini uislam unahusishwa na mtume Muhammad ambae yeye hakuwepo tangu mwanzo? Muhammad ni nan katika uislam?
Maana ya Uislam ni kujisalimisha kwa Muumba wako.

Kama Adam ndiye mtu wa kwanza duniani basi jiulize alijisalimisha kwa nani?

Mtume Muhammad kaja miaka 600 baada ya ukristo, kapewa Qur'an ili kuweka sawa yaliyopotoshwa, kikuu bink6amini Mwenyezi Mungu ni mmoja na kujisalimisha ni kwake tu.

Huo pia ndiyo ujumbe waliokuja nao mitume wote wa kabla yake, kwa majina wametajwa 25 ndani ya Qur'an.
 
Maana ya Uislam ni kujisalimisha kwa Muumba wako.

Kama Adam ndiye mtu wa kwanza duniani basi jiulize alijisalimisha kwa nani?

Mtume Muhammad kaja miaka 600 baada ya ukristo, kapewa Qur'an ili kuweka sawa yaliyopotoshwa, kikuu bink6amini Mwenyezi Mungu ni mmoja na kujisalimisha ni kwake tu.

Huo pia ndiyo ujumbe waliokuja nao mitume wote wa kabla yake, kwa majina wametajwa 25 ndani ya Qur'an.
Anhaa ahsante kwa maelezo, lakini mbona Adam alikuwa he muislam wakati alikataa kujisalimisha kwa Mungu? Na hiyo Quran alipewa na nani? Mtunzi pia alikuwa ni nani?
 
Si kweli.

Uislam haufundishi ugaidi wala haufungamani na kundi lolote la kigaidi.

Uislam unafundisha:


Qur'an 5:
32. Kwa sababu ya hayo tuliwaandikia Wana wa Israili ya kwamba aliye muuwa mtu bila ya yeye kuuwa, au kufanya uchafuzi katika nchi, basi ni kama amewauwa watu wote. Na mwenye kumuokoa mtu na mauti ni kama amewaokoa watu wote. Na hakika waliwajia Mitume wetu na hoja zilizo wazi. Kisha wengi katika wao baada ya haya wakawa waharibifu katika nchi.

33.Basi malipo ya wale wanao mpiga vita Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakawania kufanya uchafuzi katika nchi, ni kuuwawa, au kusalibiwa, au kukatwa mikono yao na miguu yao kwa mabadilisho, au kutolewa nchi. Hii ndiyo hizaya yao katika dunia; na katika Akhera watapata adhabu kubwa.

Hiyo hiyo kurani, wakateni vichwa wanaotumia vitabu vingine isipokua kurani

“Slay the unbelievers wherever you find them – 2.191”
“Terrorise and behead those who believe in scriptures other than the Koran – 8.12”
“Make war on the infidels living in your neighbourhood – 9.123”
“Do not hanker for peace with the infidels; nehead them when you catch them – 47.4”
 
Sawa sipingi unachoamini,ila kulingana na Biblia Yakobo ambae ni mtoto wa Isaka ni muebrania,jina lingine anaitwa Israeli (alipewa na malaika hili jina,linamaanisha mtu anaepigana kwa kumtegemea Mungu),alikuwa na watoto12 wa kiume ambao ndio makabila 12 ya Israeli,kwaiyo hao watoto wake ndio taifa la Israeli ya kale,kabila la Yuda ndio kabila ambalo Yesu Kristo alizaliwa ndiosababu anaitwa myahudi. Sorry uislam ulianza mwaka gani?
Uislam upo daima. Hauna ulianza mwaka gani.
 
Sifaham maana yake,unamaanisha Adam alikuwa muislam? Na kwanini uislam unahusishwa na mtume Muhammad ambae yeye hakuwepo tangu mwanzo? Muhammad ni nan katika uislam?
Simaanishi Adam au yeyote.

Mtume Muhammad kapewa Qur'an na ni Mtume wa Mwisho.

Hata wewe jina lako linahusishwa na wa mwisho kabla yako.
 
Back
Top Bottom