Faidika na darasa la FaizaFoxy; Uliza chochote utajibiwa

Ni mentality tu zao tu... walikuwa wamelala usingizi miaka ya nyuma na kuona elimu akhera ndio kila kitu... wamekuja kushtuka wanaanza kulalamika.... nadhani walikuwa wanataka somo la islamic knowledge litambulile na lipewe uwino sawa na masomo mengine... yaani wakipata A lihesabike kwenye points na liwavushe kwenda ngazi nyingine....
Kwanza napenda ufahamu kuwa Waislam walianzisha chuo kikuu cha kwanza Mzizima ambayo sasa ni Dar Es Salaam, kilianza kujengwa mwaka 1856.

Nakujulisha hilo uelewe tu mchango na hamasa kubwa ya elimu waliyonayo Waislam toka enzi na enzi.

Pia napemda ufahamu elimu imesisitizwa sana katika Uislam na Waislam wana mchango mkubwa wa elimu duniani. Si sayansi si jiografia, hutokuta amma Waislam ni waanzilishi wa tuyajuwayo sasa au walibobea katika elimu tajwa.

Historia haijifichi, hata uifiche vipi kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Sitaki kuendeleza malumbano ya Ndalichako kwani tumeshayajadili sana humu JF na zipo nyuzi zake.

Hapa tuelimishane yasiojulikana na wengi.

Jionee...

 
Kwanza napenda ufahamu kuwa Waislam walianzisha chuo kikuu cha kwanza Mzizima ambayo sasa ni Dar Es Salaam, kilianza kujengwa mwaka 1856.

Nakujulisha hilo uelewe tu mchango na hamasa kubwa ya elimu waliyonayo Waislam toka enzi na enzi.

Pia napemda ufahamu elimu imesisitizwa sana katika Uislam na Waislam wana mchango mkubwa wa elimu duniani. Si sayansi si jiogtafia hutokuta amma Waislam ni waanzilishi wa tuyajuwayo sasa au walibobea katika elimu tajwa.

Historia haijifichi, hata uifiche vipi kqani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.

Sitaki kuendeleza malumbano ya Ndalichako kwani tumeshayajadili sana humu JF na zipo nyuzi zake.

Hapa tuelimishane yasiojulikana na wengi.

Jionee...

Tafuta data za nchi za kiislamu ujue zinachangia asilimia ngapi kwenye "ku-publish scientific papers"... anyway naheshimu hapo ulipoandika hautaki kuendelea na malumbano...
 
Tafuta data za nchi za kiislamu ujue zinachangia asilimia ngapi kwenye "ku-publish scientific papers"... anyway naheshimu hapo ulipoandika hautaki kuendelea na malumbano...

Kwanza nafurahi kuwa umeelewa kuhusu chuo kikuu cha kwanza Afrika Mashariki na ya kati kilianzisha na Waislam tena Dar Es Salaam kama ulivyojionea kwenye post uliyo inukuu.

Halafu kabla hatujaenda huko kwenye "papers" naomba uelewe kuwa athari ya elimu haipo tu kwenye "paper" bali ni uhalisia wa athari za hiyo elimu au uvumbuzi ambao umeacha athari njema duniani zenye manufaa.

Athari njema ya awali duniani iliyoachwa na Waislam ni kwenye elimu yenyewe!

Unafahamu kuwa chuo kikuu cha kwanza duniani kilibuniwa na kuanzishwa na Muislam, tena mwanzilishi ni mwanamke wa Kiislam, tena hapa hapa ambapo sasa tunapaita Afrika, miaka zaidi ya 200 kupita ndiyo wengine wakafata?

Ushahidi...
Image result for first university in the world

www.quora.com

University of Karueein

The oldest existing, and continually operating educational institution in the world is the University of Karueein, founded in 859 AD in Fez, Morocco. The University of Bologna, Italy, was founded in 1088 and is the oldest one in Europe.
1567823935456.png
1567823935223.jpeg
1567823935456.png

https://www.guinnessworldrecords.com › ...
Oldest higher-learning institution, oldest university | Guinness World ...

Naona hapo tu ni zaidi ya "papers" ulizouliza. Bila utata.
 
Wakati mwingine nafikiriaaaaa, halafu nakosa majibu sahihi kwa wasomi wenzangu. Siwaelewi mnapobishana na Dada yangu huyu FaizaFoxy, yeye anachojua ni dini yake kuonewa katika kila kila kitu katika uso wa nchi. Hata watu wote wakikosa maji, yeye atasema muslims wamekosa maji, analiacha kundi lingine pembeni. Hata katika elimu ni hivyo hivyo.

Hebu tujiulize kama wasomi, where are Greeks now? Hawa walikuwa wanamiliki empire za elimu, kiasi ambacho mtu aalikuwa anabadili jina lake kuwa la kigiriki, kuonesha kiashirio kuwa kasoma? Mbona wao hawalalamiki kuonewa, Where is English empire? where is Roman Empire? Where is Ottoman empire? Tusilalamike wala mtu asilalamike, kuwa kwanini Chuo Kikuu cha kwanza duniani kulikuwa Africa and yet today, Africans are the most despised race of planet earth. Tujisahihishe tulipokosea, tuangalie tumejikwaa wapi kama Waafrika na sio vikundi vikundi vya kijinga vilivyorithishwa na wafanyabiashara na wengine ni wakoloni in the name of religion. Let us move forward as Africans. Tukosoane kwa hoja sio kwa ushabiki wa kijinga tunaouendekeza hapa Tanzania. MUNGU ATUSAIDIE
 
Wakati mwingine nafikiriaaaaa, halafu nakosa majibu sahihi kwa wasomi wenzangu. Siwaelewi mnapobishana na Dada yangu huyu FaizaFoxy, yeye anachojua ni dini yake kuonewa katika kila kila kitu katika uso wa nchi. Hata watu wote wakikosa maji, yeye atasema muslims wamekosa maji, analiacha kundi lingine pembeni. Hata katika elimu ni hivyo hivyo.

Hebu tujiulize kama wasomi, where are Greeks now? Hawa walikuwa wanamiliki empire za elimu, kiasi ambacho mtu aalikuwa anabadili jina lake kuwa la kigiriki, kuonesha kiashirio kuwa kasoma? Mbona wao hawalalamiki kuonewa, Where is English empire? where is Roman Empire? Where is Ottoman empire? Tusilalamike wala mtu asilalamike, kuwa kwanini Chuo Kikuu cha kwanza duniani kulikuwa Africa and yet today, Africans are the most despised race of planet earth. Tujisahihishe tulipokosea, tuangalie tumejikwaa wapi kama Waafrika na sio vikundi vikundi vya kijinga vilivyorithishwa na wafanyabiashara na wengine ni wakoloni in the name of religion. Let us move forward as Africans. Tukosoane kwa hoja sio kwa ushabiki wa kijinga tunaouendekeza hapa Tanzania. MUNGU ATUSAIDIE
Weka ushahidi kwa uyasemayo.

Naona huna hoja isipokuwa umekuja kujaribu kufanya "character assassination".

Huwezi.

Poor minds discuss people. Average minds discuss events.Great minds discuss ideas.

Katika makundi hayo matatu kwa post yako hiyo upo kundi lipi?
 
Weka ushahidi kwa uyasemayo.

Naona huna hoja isipokuwa umekuja kujaribu kufanya "character assassination".

Huwezi.

Poor minds discuss people. Average minds discuss ideas.Great minds discuss ideas.

Katika makundi hayo matatu kwa post yako hiyo upo kundi lipi?
Mimi na wewe hutujaanza kutofautiana kimtazamo leo. Miaka yote, tukijadiliana humu, you always sideline with your religion. This is has nothing to do with character assassination. It is your life view, I have always requested you switch off somethings in your mindset, change your mindset in viewing issues. I am asking you to digest issues as an elite and not a religious fanatic
 
Mimi na wewe hutujaanza kutofautiana kimtazamo leo. Miaka yote, tukijadiliana humu, you always sideline with your religion. This is has nothing to do with character assassination. It is your life view, I have always requested you switch off somethings in your mindset, change your mindset in viewing issues. I am asking you to digest issues as an elite and not a religious fanatic
Na wewe hau "sideline" na "religion" yako?

Au ndiyo wale ambao hamfurahi mpaka wote tuwe kama nyinyi?

Sasa wewe hapa umeona kuna ubishi upi ukaleta povu lako?

Wewe tatuzo lako haswa lipo kwenye kipi nilichokiandika ambacho kimekufanya utokwe povu. Kinukuu hapa. Ukishindwa basi elewa unafanya ujuba tu.
 
Na wewe hau "sideline" na "religion" yako?

Au ndiyo wale ambao hamfurahi mpaka wote tuwe kama nyinyi?

Sasa wewe hapa umeona kuna ubishi upi ukaleta povu lako?

Wewe tatuzo lako haswa lipo kwenye kipi nilichokiandikaambacho kimekufanya utokwe povu. Kinukuu hapa. Ukishindwa basi elewa unafanya ujuba tu.
aaaaaaaaaaaaaaaaahhhhhhhhhh
 
Na wewe hau "sideline" na "religion" yako?

Au ndiyo wale ambao hamfurahi mpaka wote tuwe kama nyinyi?

Sasa wewe hapa umeona kuna ubishi upi ukaleta povu lako?

Wewe tatuzo lako haswa lipo kwenye kipi nilichokiandika ambacho kimekufanya utokwe povu. Kinukuu hapa. Ukishindwa basi elewa unafanya ujuba tu.
Asante sana kwako ambaye ni maji yanayotumika kutolea povu
 
Sasa na wanao vutia bangi kibera unasemaje maana kibera ni zaidi ya chooni ,ukiingia chooni uwezi kutoka umemwagiwa kinyesi Ila tembea kibera chini una kanyaga kinyesi juu unakutana na fly toilet ,na wakenya wanavita bangi hapo tutegemee kupata vichaa ++

Kwanza kabisa umetumia lugha isiyofaa kabisa kuelezea sehemu wanayoishi binaadam wenzio. Sidhani kama wanapenda kuishi hivyo bali ni mazingira na kutengwa tu kuliwafanya wawe hivyo.

Afrika leo hii hatuna cha kujivunia isipokuwa Uafrika wetu na umoja wetu. Kitachotuokoa kutoka namna tulivyowekwa na ukoloni ni kufuta matabaka na mtenganisho aliotuwachia mkoloni.

Kibera ni neno la Kinubi linalomaanisha pori. Kibera ni moja ya vielelezo vya mtenganisho wa mkoloni. Ukiisoma Historia ya Jiji la Nairobi utagundua kuwa Kibera ilikuwa ni pori ambalo Wakoloni walilitoa sehemu na kuwaweka askari wa Kinubi waliorudi vitani. Kwanini wapewe pori? Ni kuwatenganisha tu na wengine (divide and rule).

Lakini kitu chema walichofanya hao Wanubi waliopewa eneo hilo ni kuuvunja mwiko wa wakoloni na kumkaribisha yeyote ajae hapo Kibera. Ndiyo maana leo hii utakuta Kibera wanaishi makabila yote na wote wanaotengwa na jamii.

Wanubi walioanza kuishi Kibera ni mfano mzuri wa kuigwa si Kenya tu, bali na Afrika nzima. Ni Kibera ambapo makabila yote na dini zote za Kenya yanaishi bila kubaguana. Kama unajuwa uhasama wa kikabila uliopo Kenya kutokana na fitna za kutenganishwa na mkoloni basi kwanza ungepasifu Kibera.

Na pia kama ungefahamu kuwa Kenya ardhi inamilikwa na watu lakini Wanubi waliomilikishwa Kibera walilifumbia macho hilo na kumkaribisha kila ajae, kumbuka kuwa wengi wa wanaoishi Kibera walikimbilia hapo kwa matatizo ya kukosa pa kuishi na kushindwa kumiliki ardhi karibu ya jiji.

Nani asiependa kukimbilia sehemu ambayo haina ubaguzi? Hilo ndilo lililopelekea Kibera kuwa na watu wengi na miundo mbinu duni.

Tuwasifu Wanubi waliokaribisha wakuja hapi kwao. Na kwa sasa tuipongeze serikali ya Kenya kwa kuanza kuchukua hatua za kupaweka sawa Kibera.

By the way, Wanubi hao walipelekwa kupewa ardhi porini (siku hizo ni nje ya mji na siyo kama sasa pamekuwa katikati ya jiji) kwa kuwa walikuwa 100% Waislam, walitengwa. Lakini Alhamdulillah hilo ni fundisho tosha kutoka kwa Waislam kwa kutowatenga na kupokea makabila na dini zote bila kuwabagua.

Uchafu hata Dar upo. Pamekuwa pachafu sana baada ya wimbi la wakuja kuhamia bila mpango. Kama ilivyokuwa Kibera, wenyeji wa Dar, hakuna ataepinga kuwa ni Waislam, hawakubagua.

Ma shaa Allah.
 
Kwanza kabisa umetumia lugha isiyofaa kabisa kuelezea sehemu wanayoishi binaadam wenzio. Sidhani kama wanapenda kuishi hivyo bali ni mazingira na kutengwa tu kuliwafanya wawe hivyo.

Afrika leo hii hatuna cha kujivunia isipokuwa Uafrika wetu na umoja wetu. Kitachotuokoa kutoka namna tulivyowekwa na ukoloni ni kufuta matabaka na mtenganisho aliotuwachia mkoloni.

Kibera ni neno la Kinubi linalomaanisha pori. Kibera ni moja ya vielelezo vya mtenganisho wa mkoloni. Ukiisoma Historia ya Jiji la Nairobi utagundua kuwa Kibera ilikuwa ni pori ambalo Wakoloni walilitoa sehemu na kuwaweka askari wa Kinubi waliorudi vitani. Kwanini wapewe pori? Ni kuwatenganisha tu na wengine (divide and rule).

Lakini kitu chema walichofanya hao Wanubi waliopewa eneo hilo ni kuuvunja mwiko wa wakoloni na kumkaribisha yeyote ajae hapo Kibera. Ndiyo maana leo hii utakuta Kibera wanaishi makabila yote na wote wanaotengwa na jamii.

Wanubi walioanza kuishi Kibera ni mfano mzuri wa kuigwa si Kenya tu, bali na Afrika nzima. Ni Kibera ambapo makabila yote na dini zote za Kenya yanaishi bila kubaguana. Kama unajuwa uhasama wa kikabila uliopo Kenya kutokana na fitna za kutenganishwa na mkoloni basi kwanza ungepasifu Kibera.

Na pia kama ungefahamu kuwa Kenya ardhi inamilikwa na watu lakini Wanubi waliomilikishwa Kibera walilifumbia macho hilo na kumkaribisha kila ajae, kumbuka kuwa wengi wa wanaoishi Kibera walikimbilia hapo kwa matatizo ya kukosa pa kuishi na kushindwa kumiliki ardhi karibu ya jiji.

Nani asiependa kukimbilia sehemu ambayo haina ubaguzi? Hilo ndilo lililopelekea Kibera kuwa na watu wengi na miundo mbinu duni.

Tuwasifu Wanubi waliokaribisha wakuja hapi kwao. Na kwa sasa tuipongeze serikali ya Kenya kwa kuanza kuchukua hatua za kupaweka sawa Kibera.

By the way, Wanubi hao walipelekwa kupewa ardhi porini (siku hizo ni nje ya mji na siyo kama sasa pamekuwa katikati ya jiji) kwa kuwa walikuwa 100% Waislam, walitengwa. Lakini Alhamdulillah hilo ni fundisho tosha kutoka kwa Waislam kwa kutowatenga na kupokea makabila na dini zote bila kuwabagua.

Uchafu hata Dar upo. Pamekuwa pachafu sana baada ya wimbi la wakuja kuhamia bila mpango. Kama ilivyokuwa Kibera, wenyeji wa Dar, hakuna ataepinga kuwa ni Waislam, hawakubagua.

Ma shaa Allah.
wow!!!!!!!!!!!!! nimependa jinsi ulivyoandika hapa
 
Napata wakati mgumu kuona watumiaji wa lugha ya Kiswahili wakitumia maneno yafuatayo:
-Kusajiri badala ya kusajili
-Sheli badala ya kituo cha mafuta
-Hasiruhusu badala ya asiruhusu
-Tukitu tudogo tudogo
-Usijari badala ya usijali

Yawezekana lugha imebadilika na nimepitwa na maendeleo ya lugha.
Maoni yako please kama mtaalam wa Kiswahili
 
Napata wakati mgumu kuona watumiaji wa lugha ya Kiswahili wakitumia maneno yafuatayo:
-Kusajiri badala ya kusajili
-Sheli badala ya kituo cha mafuta
-Hasiruhusu badala ya asiruhusu
-Tukitu tudogo tudogo
-Usijari badala ya usijali

Yawezekana lugha imebadilika na nimepitwa na maendeleo ya lugha.
Maoni yako please kama mtaalam wa Kiswahili
Kwanza napenda ifahamike, mimi siyo mtaalaam wa Kiswahili. Mimi sana sana hurekebisha makosa ya R na L. Kwa kuamini kuwa hilo ndilo kosa la kwanza. Pia mara moja moja hujaribu kurekebisha zile "ga" zilizozuka siku hizi za karibuni.

Binafsi nahisi kama kuna "agenda" ya makusudi kabisa ya kukihamisha Kiswahili kutoka pwani kwenda bara.

Ni mtazamo tu.
 
Naomba jibu ilikuwaje mpaka Ijumaa ikawa ni siku takatifu kwa Waislamu na ilhali Quran imeitaja siku ya Jumamosi kama siku takatifu kwenu?

Soma hapo chini maelekezo ya huyu mdau kutoka fb kisha na mimi unipe jibu maana kule fb hakuna aliye mpa jibu mdau huyu.
Screenshot_2019-09-23-11-43-41-1.jpeg
Screenshot_2019-09-23-11-44-02-1.jpeg
 
Naomba jibu ilikuwaje mpaka Ijumaa ikawa ni siku takatifu kwa Waislamu na ilhali Quran imeitaja siku ya Jumamosi kama siku takatifu kwenu?

Soma hapo chini maelekezo ya huyu mdau kutoka fb kisha na mimi unipe jibu maana kule fb hakuna aliye mpa jibu mdau huyu. View attachment 1214422View attachment 1214423
Nadhani hujasoma vizuri hapo. Hizo ni zama za nabii Musa.

Pia Uislam kuswali ni siku zote, kutwa mara tano (kwa uchache).

Siku ya Ijumaa ni jamaa au kujumuika pamoja.

Naona hayo umesoma wewe ukasingizia Muislam kashangaa. Labda huyo aliyeshangaa ni Muislam jina.
 
Nadhani hujasoma vizuri hapo. Hizo ni zama za nabii Musa.

Pia Uislam kuswali ni siku zote, kutwa mara tano (kwa uchache).

Siku ya Ijumaa ni jamaa au kujumuika pamoja.

Naona hayo umesoma wewe ukasingizia Muislam kashangaa. Labda huyo aliyeshangaa ni Muislam jina.
Kwa hiyo na wewe umeamua kuwa miongoni mwa "Manyani wadhalilifu" kama Quran ilivyo tamka? Maana sio maneno yangu hayo ni Quran ndio imetamka!!!
 
Kwa hiyo na wewe umeamua kuwa miongoni mwa "Manyani wadhalilifu" kama Quran ilivyo tamka? Maana sio maneno yangu hayo ni Quran ndio imetamka!!!

Soma vizuri ulichonukuu usiwe poyoyo. Wewe upo wakati wa Musa? Wewe Yahudi?

Kumbe hata unachosoma hukielewi.

Soma hii...

Qur'an 62:
62_9.gif

9. Enyi mlio amini! Ikiadhiniwa Sala siku ya Ijumaa, nendeni upesi kwenye dhikri ya Mwenyezi Mungu, na wacheni biashara. Hayo ni bora kwenu, lau kama mnajua. 9

62_10.gif

10. Na itakapo kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi mtafute fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni Mwenyezi Mungu kwa wingi ili mpate kufanikiwa. 10
 
Back
Top Bottom