na vitabu vyetu sisi tusio na wa imani hizo vinasemaje juu ya nguruwe?
Ungeweka mifano ya swali / maswali niliyoulizwa na majibu niliyotoa ningeona kama yapo hivyo usemavyo, ingesaidia sana kukupa jibu. Sina ushahidi wa tuhuma zako.Unakuaga mkali mkali sana kwenye mambo mengi halafu kwa kushushua wenzako hujambo.
SWALI:
Unahisi vijana wa sasa hivi wana matatizo gani kiasi kwamba unapishana nao mtazamo kwa kila kitu chao wanachojadili na kuanzisha?
Huna sababu ya kumpenda fulani wala kumchukia fulani..hilo ni moja ya jibu lako ila kwanini Hupendi kuwa straight kwenye jibu badala ya kuweka jibu lako katika hali isiyoeleweka.
Unapoulizwa kitu jibu ni YES or NO mambo ya nampenda simpendi sidhani kama ni jibu.
Kusingekua na JAMII FORUM haya mambo yanayoibuliwa,semewa,ongelewa kwa uhuru wa Bila uwoga unahisi Nchi ingekuaje?
FaizaFoxy
FaizaFoxy ni kweli waislamu hawali kitimoto kwa sababu alifukua kaburi la mtume? na kuula mkono wake? na je ni kweli Mtume alioa binti wa miaka tisa? kama ni kweli hii imekaaje kwa ndugu zetu waislamu?
Sijaolewa. Nimeoana na mume wangu.UMEOLEWA? JE BABA JESKA ALIKUKUMBUKA KWENYE TEUZI ZAKE?
KAMA UMEOLEWA HUYO MUMEO NI MTU WA AINA GANI ANAYEKURUHUSU MKE WAKE KUSHINDA JF KUBISHANA NA WANAUME?
Nimependa ulivyojibuSijaolewa. Nimeoana na mume wangu.
Swali lako la pili lingekuwa "valid" ingekuwa nimeolewa.
Ni mentality tu zao tu... walikuwa wamelala usingizi miaka ya nyuma na kuona elimu akhera ndio kila kitu... wamekuja kushtuka wanaanza kulalamika.... nadhani walikuwa wanataka somo la islamic knowledge litambulile na lipewe uwino sawa na masomo mengine... yaani wakipata A lihesabike kwenye points na liwavushe kwenda ngazi nyingine....Hivi kweli kwa fikra zako, waziri wa elimu kazi yake ni ku-mark mitihani? Mpaka mseme waislamu mnafelishwa?! Na je, ktk wizara ya Elimu hamna waislam? Hivi kwanini waislamu huisi kuonewa katika kila jambo?!
1. "Quality ya service" inayotolewa ipo kwa viwango vya chini ukilinganisha na nchi zingine zilizoendelea kwa uwiano wa "aspects" zote za "service". Kuna "room" kubwa ya ku "improve". Ingawa tunajitahidi sana.Kwa kuwa wewe ni mbobezi katika sector ya Telecommunication/Telco, una maoni gani kuhusu yafuatayo:
1. Quality ya service inayotolewa na mobile operators Tanzania
2. Suala zima la Eavesdropping linalofanywa kwa usiri na serikali mbalimbali duniani
Sikushangai kwani nafahamu ni kiwango tu cha shule uliyosoma.Naija ni kifupisho cha Nigeria sasa hiyo Niger imetoka wapi?
Neno kufariki linatokana na neno "faraka".Hiki kiswahili kinanipa tabu mtu kafariki magomeni badala ya Kusema kafariki magomeni mtu unasema kafariki dunia kwani magomeni ndio dunia?