Faida za Mtama

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Mtama ni nafaka iliyo na kiwango kingi cha protini, vitamini B6 na B1 pamoja na madini chuma, copper, magnesium, selenium na zinc.

E62EB880-9B02-45C0-8BD5-C65EBF5FB38F.jpeg

Pia, huwa na kiasi cha kutosha cha kampaundi za Flavonoids, phenolic acids na tannins ambazo hutumiwa na mwili kama viondoa sumu.

Husaidia kupambana na aina mbalimbali za uvimbe mwilini, huboresha mfumo wa chakula pamoja na kupunguza hatari ya kuugua magonjwa ya moyo, kisukari na sararani.

Sifa nyingine kubwa ya mtama ni kutokuwa na Gluten, aina ya protini inayofanana na gundi ambayo huleta mzio (allergy) kwa baadhi ya watu hasa wale wenye ugonjwa wa Celiac (Celiac disease).

Chanzo: American Sorghum
 
KiUkweli huwa ninaupenda ugali wa mtama. Hata uji wake ni mzuri sana kwa maziwa, . Vijana wa Kiebrania kina Danieli na wenzake kule Babeli walikataa kula chakula cha mfalme wakaomba kula mtama wakanawiri hata kuliko waliokula chakula cha mfalme.

JESUS IS LORD
 
KiUkweli huwa ninaupenda ugali wa mtama. Hata uji wake ni mzuri sana kwa maziwa, . Vijana wa Kiebrania kina Danieli na wenzake kule Babeli walikataa kula chakula cha mfalme wakaomba kula mtama wakanawiri hata kuliko waliokula chakula cha mfalme.

JESUS IS LORD
Hawakunawiri sababu ya mtama,walinawiri kwa sababu Mungu alikuwa nao.

Sent from my SM-A507FN using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom