Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 29,020
- 40,791
...kitanda kama icho cha 5kwa6 napata kwa shingap?
...kitanda kama icho cha 5kwa6 napata kwa shingap?
...Wadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Njoo huku, kimanzichana, mkuranga mkoa wa pwani,laki tatu tu,Tena mbao haswa.ukinunuaaa DSM watakuchanganyia na mtu wa mwembe,wenyewe wanaita mdadarika,
Mimi nina average ya kg 80 na mke wangu nae anarange hapo hapo
Faida nyingine ya kitanda cha chuma, ni kwamba kinaepusha matumizi ya mbao ambayo kimsingi ni miti ambapo hupelekea utunzaji wa mazingira na kuepukana na janga la jangwa. Ni muda mrefu sasa vitanda vyangu mimi ni vya chuma na ninavifurahia kwa kweli.Faida
*Havishambuliwi na wadudu waaribifu mf: mchwa
*kinapangika vizuri ktk gari wakati wa kuhama
*kinakupa chaguzi ya rangi upendayo
*hii ni moja ya sex tool makini kikifungwa kiumakini
*KUNGUNI hatagi ktk chuma. kunguni hawapendelei vitanda hivi na kama watakuwepo ni simple kuwateketeza kwani watakaa ktk godoro tu.
*hudumu kwa muda mrefu ukilinganisha na mbao kwa gharama ya kitanda husika
HASARA
*Ku conduct umeme kama kitakuwa na waya ziko uchi na kugusa sehemu ya kitanda
* kushika kutu. Hii ni kwa wale wanaokaa nyumba zinazovuja. Au waliotegesha vitanda dirishani hasa msimu wa mvua,
*kinadumu sana , hakiharibiki.
Wadau ongezeeni.
duuh hii mashine inaenda kwa miangap boss
HahahahahahCha chuma faida hakiliwi na mchwa,kwichi kwichi haipo, kina space nzuri kudeki unadeki hadi mvunguni,hakuna sehemu ya kijificha kunguni kiviilee. Na ikatokea nyumba umewaka moto wewe unapaka rangi tuu na chaga nyingine kitand kipo.
Hasara;
Cha chuma ni kizito wakati wa kudeki ukisogeza vibaya kinakwangua tylies yako kiko juu juu mtoto akiteleza anavunjika shingo.hasara nyingine wakati wa kugegeda hakina sehemu ya kupachika vidole ili uweke lock ya miguu ili uipige vizuri.
Ni hayo tuu kwa leo.
Kuhusu kunguni nakuunga mkono ule ubaridi wa chuma kunguni hawapendiKitanda cha chuma ni babu kubwa sana, faida za ziada hakifugi kunguni, check Cha kwangu hichoView attachment 1551508
Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
Kitanda Cha chuma kizuri sio hayo ma square pipe ya madirisha wanayotumia.Sijuu hasara wala faida, ila sijawahi kuipenda chuma na hasa hayo ma square pipe furnitures. Mbao ni nambari uno.
Huyu atakuwa anatumia zile godoro feki ambazo baada ya mwezi zinabonyea kati na kutengeneza shapa ya mtumbwi. Sasa akilala yeye na wife, wote wanakutana kati, hivyo uzito unaelemea sehem moja.Weka ubao ila nao uwekwe miguu.
Una kilo ngapi? Mkeo jee?
Godoro lako nchi ngapi?
Kubonyea katikati nafikiri inasababishwa na magodoro fekiWadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Tafuta Sana pesa vpo vtanda mpango mzima vyenyeweChuma ndo mpango mzmView attachment 1832322
Hajui bei, picha amei-google.kama hichi bei gani mkuu
😷 😷 😷 😷 😷 🤣 🤣 🤣 🤣 weka square pipe nene kidogo, Achana na hizo za inchi mojaVitanda vya chuma ukiwa shabiki wa rough kama mimi lazima uvichukie. Vinataka uende missionary tu. Sivitaki kabisa
Kama nini mkuu kitu mbao tupuChaga unazochukua ni nyepesi mzee, na pengine unatumia 6*6 ft.
Chuma sijawahi kukielewa, hata hivi vya Ma sofa sivielewi, basi angalau Sehemu kubwa iwe mbao ila full sofa hapana.
Nahitaji mbao, tena cha boks
View attachment 1551496View attachment 1551500