Wapendwa Niko nje ya mada , naomba kujua walimu wa serikali wameshalipwa mshahara wa mwezi huu wa 6?weka square pipe nene kidogo, Achana na hizo za inchi moja
Wapendwa Niko nje ya mada , naomba kujua walimu wa serikali wameshalipwa mshahara wa mwezi huu wa 6?
Chaga inabonyeaje, nunua godoro mkuu, tafuta kam 400ks upate godoro mujaranuWadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
jambo la maziko katika uislamu ni ibada na ina utaratibu wake, sio jambo la kiakili wala shortage ya kitu fulani huko uarabuni n.k..Miti yote hii kwanini uhangaike na Furniture za Chuma hata hao wanaotumia furniture za vyuma ni kwa vile tu ya shortage ya mbao maeneo waliopo sasa na sisi tuna iga eti, Ni kama leo Waislamu wanavyozika wapendwa wao bila majeneza wanasahau huo utamuduni ulikuwa kwa waarabu kwa vile kule miti ya mbao ni shida sasa Bongo hapa Mbao kibao utashindwa vipi kumstiri mpendwa wako katika jeneza
Hajui bei, picha amei-google.
But kwa makadirio ni 920,000 hivi
Iwapo hujapata suluhisho, badili godoro!! u-mbao na u-chuma si hojaWadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Juu ya chaga weka marine boardWadau naandika hapa kutaka kujua changamoto ya vitanda vya chuma (faida au hasara zake) maana hiki kitanda changu cha mbao kina changamoto sana kila mara kinabonyea katikati.
Nabadili chaga baada ya muda kinarudi hivyo hivyo kiasi kwamba imekua kero kubwa na imenisababishia maumivu ya mgongo sasa nataka nibadili style ya kitanda je kuna mwenye uzoefu navyo anijuze tafadhari?
Kuna mtu unamdai anakuzingua nn bosiWapendwa Niko nje ya mada , naomba kujua walimu wa serikali wameshalipwa mshahara wa mwezi huu wa 6?
Hilo neno Kulimbwanda nimeliskia kitambo sana leo ndo nakutana nalo tenaKipande changu cha mkeka is the best..
1. Kwanza nalala chali, nanyoosha uti wa mgongo,
2. ikitokea nimelibwanda(nimejikojolea usingizini) asubuhi naweza kuufua kabisa na omo ukanukia vizuri
3. Sipati ajali za kuanguka toka kitandani
😂😂😂😂😂😂😂Mada za JF bhana
Hukuona ujumbe wangu sioJuu ya chaga weka marine board
Ova