Baba Kapompo
JF-Expert Member
- Sep 11, 2013
- 1,344
- 468
aisee,kweli we ni mwekundu
WHAAAT !!! Ebu rudia tena ila kuwa makini usije ukasahau zile herufi mbili baada ya "M"
aisee,kweli we ni mwekundu
jinsi ya kutengeneza limbwata---chukua nyoka aliyeachika mkaushe,kata kiuno chake kisagesage,chukua k.ende za mnyama ngedere jike changanya na unga wa kiuno cha nyoka!changanya na mizizi ya uyoga kisha tafuta mkojo wa tembo aliyekoswakoswa na majangili mara tatu,changanya!mchanganyo umekamilika!
ku-test kama mchanganyo wako unafanya kazi paka kidogo ktk dole gumba nenda porini mpake mnyama simba puani akipiga chafya basi ujue dawa ipo kamili gado
uweke ndani mchanganyo wako mpaka feb 29 uunywe!kamwe hutaachwa na mpenzi!
jinsi ya kutengeneza limbwata---chukua nyoka aliyeachika mkaushe,kata kiuno chake kisagesage,chukua k.ende za mnyama ngedere jike changanya na unga wa kiuno cha nyoka!changanya na mizizi ya uyoga kisha tafuta mkojo wa tembo aliyekoswakoswa na majangili mara tatu,changanya!mchanganyo umekamilika!
ku-test kama mchanganyo wako unafanya kazi paka kidogo ktk dole gumba nenda porini mpake mnyama simba puani akipiga chafya basi ujue dawa ipo kamili gado
uweke ndani mchanganyo wako mpaka feb 29 uunywe!kamwe hutaachwa na mpenzi!
uweke ndani mchanganyo wako mpaka feb 29 uunywe!kamwe hutaachwa na mpenzi!
WHAAAT !!! Ebu rudia tena ila kuwa makini usije ukasahau zile herufi mbili baada ya "M"
WHAAAT !!! Ebu rudia tena ila kuwa makini usije ukasahau zile herufi mbili baada ya "M"
Umeuliza mwenyewe na unataka kujijibu...!!!utakuwa umesahau ku sign out mkuu ili uingie na ID nyingine..
Kunywa maji ya chupi aliyovaa mkeo week mzima hutasalitiwa Lol
Did you mean gods?Limbwata haina tofauti na mungu, shetani, Bigfoot, Loch Ness Monster, leprechauns, na viumbe wengine kama hao!
maji ya chupi!!!!!!!??????...........lol
WHAAAT !!! Ebu rudia tena ila kuwa makini usije ukasahau zile herufi mbili baada ya "M"
VD Umenikumbusha Bro wangu,mkewe tulienda nae Tanga kumuona Bibi sasa kila akimpigia cm mara kaenda mikanjuni,mara kaenda magomeni,mara akiulizwa uko wapi anasema niko majengo,tulipo rudi kaja na mafurushi tena sasa siunajua tkitoka nyumbani kwa wazee unavyo fungashiwa,Mihogo mchunga na mazaga zaga kibao bro akaanza enhe nilishe tuu wala usifanye kwa siri mke wangu nilete ninywe waziwazi huu utumbo wangu ushabadilika rangi kwa madawaSie wanaume tunalishwa vitu vya ajabu sana.....si ajabu matumbo yanajaa utadhani kitambi cha menu kumbe matakataka tu...
Mkuu Amavubi huyu Dr. Kalongoti amekuficha Maana ya neno Libwata yeye amekwambia
kuwa libwata ni chakula lakini hakuku fafanulia hiyo Libwata ni chakula cha aina gani? Na akina nani wafanyaji au wanaofanyiwa na hilo limbwata?
Mimi yote ninajuwa kuhusu hiyo Dawa ya Limbwata lakini siwezi kusema hapa wala sehemu nyingine ni siri yangu. Ninaweza
kukufafanulia ni nini maana ya neno hilo Limbwata? Nijuavyo mimi Maana ya neno Limbwata ni Mwanamke kumfanyia mume
wake au Bwana wake mjinga wa kimapenzi ndio maana ya neno hilo Limbwata ni dawa fulani inayofanywa na Mwanamke kwa ajili ya
mume wake amtii na atulie kimapenzi awe huyo aliyefanyiwa hiyo Dawa ya Limbwata ampende mke wake na awe anamsikiliza mke wake katika ndoa yao hao
wote wawili. Na mfanyaji mkuu anakuwa ni mke juu ya mume wake ndio maana halisi ya neno Limbwata Nina Log Off.