Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

Fahamu kuhusu Uchawi wa Mapenzi (Limbwata)

VD Umenikumbusha Bro wangu,mkewe tulienda nae Tanga kumuona Bibi sasa kila akimpigia cm mara kaenda mikanjuni,mara kaenda magomeni,mara akiulizwa uko wapi anasema niko majengo,tulipo rudi kaja na mafurushi tena sasa siunajua tkitoka nyumbani kwa wazee unavyo fungashiwa,Mihogo mchunga na mazaga zaga kibao bro akaanza enhe nilishe tuu wala usifanye kwa siri mke wangu nilete ninywe waziwazi huu utumbo wangu ushabadilika rangi kwa madawa
nilichekaaaaa nikasema maskini weeee....nikiona hivyo nasema mtume wanagu mungu awanusuru na wanawake kama hao..

Hao ndo wake wa kweli.
 
Hao ndo wake wa kweli.
Ah wapi,mke wa kweli azidishe mapenzi kwa mumewe awe mtiifu nyenyekevu kwa mumewe aone mumewe atakwenda kote
anakokujua lakini ataona hawafanani na mkewe kwa tabia malezi na matunzo,ukimpa hivyo nikuliko Limbwata na watabakia kusema karogwa kumbe mapenzi tuuuu....
 
Basi Imani ni kuwa na hakika ya mambo yatarajiwayo
 
simple.
kama we ni Me ukitaka kumteka ke hakikisha kwenye pochi hupungukiwi 2m hiyo ni limbwata tosha kwa ke. na kama ni ke hakikisha.............
 
VD Umenikumbusha Bro wangu,mkewe tulienda nae Tanga kumuona Bibi sasa kila akimpigia cm mara kaenda mikanjuni,mara kaenda magomeni,mara akiulizwa uko wapi anasema niko majengo,tulipo rudi kaja na mafurushi tena sasa siunajua tkitoka nyumbani kwa wazee unavyo fungashiwa,Mihogo mchunga na mazaga zaga kibao bro akaanza enhe nilishe tuu wala usifanye kwa siri mke wangu nilete ninywe waziwazi huu utumbo wangu ushabadilika rangi kwa madawa
nilichekaaaaa nikasema maskini weeee....nikiona hivyo nasema mtume wanagu mungu awanusuru na wanawake kama hao..
Huyo bro Wako kiboko na hata kama mkewe alikuwa na Hiyo dhamira lazima arudi nyuma akajipange upya.
 
Wakuu mi nimelishwa hili limbwata hii ni kutokana na ndugu zangu wote kuniambia hii kitu, kali kuliko yote mama mwenye nyumba ambaye hata sikai naye hapo nyumbani kaniambia wazi wazi hilo limbwata alilokupa huyo mwanamke wako ni kiboko nikabaki nashangaa tu. wanasema mke wangu kanikalia juu ya kichwa. je ni kweli kuna hii makitu duniani. unafanyeje kuyaondoa.
 
Kutokujiamini katika mapenzi best!

Oooh!! yeah...

Najaribu kufikiria eti mtu unampenda halafu unahangaika kumtengenezea dawa ya limbwata...

Don't think kama kuna mapenzi sawa sawia kutoka pande zote mbili hapo...
 
Kwa wale wanaotokea/waliopo mji mkuu wa limbwata (TANGA), na miji mingine midogo (upare, unyirambani,uzaramoni) naombeni majibu ya chapchapa sehemu ya kupata limbwata la kumlisha mwanamke (jimama) kama ipo...kama haipo niambie ''HAIPO'' ili nisihangaike
 
Na mimi nataka faidika nimloge jimama fulani, wenye data msaada
 
Kuwa Na muda Wa dk 15 hv zakumuandaa kwa mahaba mazto uskmbilie kuingza ndondoli yako kwake.wakat wAkusex ile nje ndan nje ndan Na iwe taratibu Kama unamchua hv.usiwah kufka ww kwakupotezea hisia zako ndan ya 6/6....kuwa Na muda Wa wik hv au zaid Mara baada ya Tendo la kwanza kamwe usiwaze ushirkina utatesa familia yako in the long run maana manz akfunguka hapatakalika tena hom Na kumbuka wanaowapa limbwata Hilo Ni wanamume wenzetu mawitch...
 
Kuwa Na muda Wa dk 15 hv zakumuandaa kwa mahaba mazto uskmbilie kuingza ndondoli yako kwake.wakat wAkusex ile nje ndan nje ndan Na iwe taratibu Kama unamchua hv.usiwah kufka ww kwakupotezea hisia zako ndan ya 6/6....kuwa Na muda Wa wik hv au zaid Mara baada ya Tendo la kwanza kamwe usiwaze ushirkina utatesa familia yako in the long run maana manz akfunguka hapatakalika tena hom Na kumbuka wanaowapa limbwata Hilo Ni wanamume wenzetu mawitch...Shoga mahanis
 
Back
Top Bottom