Baada ya mwaka naomba uje utuletee mrejesho hapa. Tunaosema hivi tumefanya hizi biashara na watu ambao tulijua ni waaminifu na mwisho wa siku tukaangukia pua. Kama mwaminifu sana atakula faida na mtaji utaukuta ila biashara haitakua. Hiv unafikiri huyo binti yeye hana ndoto ya kuwa na biashara yake kama wewe? Unafikiri yeye hataki kuwa bosi kama wewe?Sawa ila utafanyaje peke yako? Lazima usaidiwe, pia usipotoke waaminifu bado wapo
Sema sijajua mazingira ya huko kwenu na ukubwa wa chumba ila kodi pia naona kama ipo juu ukiangalia na mtaji mzima ulivyo. Kama angekuwa na vitu vingne kama majiko, masufuri, friji nk na hiyo hela aliyosema iwe kwa kununua vitu vya kupika tu ingekuwa sawa.Kasema huyo dada anajua yeye atamsimamia swali atamsimamiaje na yeye yuko kazini? mama ntilie tena mpya raha uwepo mwenyewe au da rebecca unaonaje?mimi naona kodi ya miezi 3 ikiisha wanafunga biashara hawa.
Ntamwachia ntapitia hesabu coz mda mwingi ntakua kibaruani
Hahahahaha hili ndio tatizo la waajiriwa. Kibarua ni muhimu kuliko biashara yako ningekuwa mm nisinge andika kitu kama hiki. Labda tu nisema hiki ndio kinachofanya watumishi wengi washindwe kuwa na biashara zilizofanikiwa kwani hata usipouza unajua hautalala njaa si mshahara upo sasa ya nn uhangaike kubembeleza wateja. Hivi unafikiri Mengi angeajiriwa na wakat huo huo ameanzisha IPP media yake had leo ingekuwepo?Amina ushauri was busara sana dadaangu huna longolongo wala roho ya kwanini cha msingi nipate faida, hela ya kodi, mishahara nikishatoa maninuzi nipate
kibarua ndo kimenipa mtaji so kibarua ni muhim kuliko biashara, watafanya nawaamini
Hapa ndo kosa lilipo, wewe ndo mwenye Idea na Idea yako inakuhitaji sana wewe.Ntamwachia ntapitia hesabu coz mda mwingi ntakua kibaruani
Ndo Ttaizo kubwa sana. Yaani hatuamini mawazo yetu ila ya watu wengineHahahahaha hili ndio tatizo la waajiriwa. Kibarua ni muhimu kuliko biashara yako ningekuwa mm nisinge andika kitu kama hiki. Labda tu nisema hiki ndio kinachofanya watumishi wengi washindwe kuwa na biashara zilizofanikiwa kwani hata usipouza unajua hautalala njaa si mshahara upo sasa ya nn uhangaike kubembeleza wateja. Hivi unafikiri Mengi angeajiriwa na wakat huo huo ameanzisha IPP media yake hadi leo ingekuwepo?
Pia umesema wewe umeanzisha hiyo biashara kutokana na ushawishi wa huyo msichana wako that means ni wazo lake ila mtaji wako sasa tarajia akipata mtaji wake kupitia mtaji wako atakuacha na mtaji wako ukiwa ule ule au umepungua. Pia nikisoma comments zako between lines sioni kama upo serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
Amna pesa rahisi ya kiboss boss namna hiyo, pambana tuHaimaanishi sitapatembelea kabisa ntakua naenda weekend tena jumamosi tu inatosha kbs comments nyingine atapokea yeye
Umesema vyema sanaMi nafikiri ingekuwa vyema ukaweka hapa haps kwenye huu uzi haya maoni yako ili nasi pia tujifunze hata kama tunataka kufanya basi hiyo biashara tuweze kupata kujua nini cha kufanya mkuu.
Natanguliza shukran kwa niaba ya wote.
Ahsante sana.
Well informedKama ni hivi, inakupasa uwe makini sana. Tena ingekuwa ni vema kama ukaanza kwa kukaa mwenyewe, ili ufahamu biashara yako ina mzungo wa kiasi gani minimum and maximum. Then ndio umuachie mtu...ila pia kwa kuanza kukaa mwenyewe kungekusaidia kufahamu madhaifu ya biashara yako, kutokana na complements za wateja wako....kwanzia hapo ungekuwa na room kubwa ya develop mfumo mzuri wa uendeshaji wa biashara yako.
Note:
Biashara ni mwanzo. Ukianza vibaya, ni ngumu sana huko mbele kukaa vizuri....maana utakuwa ushakimbiza wateja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukisikia Uchawi -uchawi --- ndio huu sasadada yangu hali numu san kw mtaji hyuo bora uuze pipi
Hakika nasadikihuu ni ukweli mchungu ambao wengi hatuupendi kuambiwa..
dunia nzima hakuna mtu anaependa kumfanyia mwenzake kazi ya kumtafutia hela..
huyo dada atakuibia tu. hata awe muaminifu vip...
biashara inayoweza kukulipa vizuri ni ile unayoifanya wewe mwenyewe..
Safi sanakaribu ktk field , kikubwa nawe uwe moiga kazi ukifanya Kama boss itakula kwakoView attachment 1025589View attachment 1025591
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo dada hataki kuukumbatia huu ukweliHii biz ipo hivi inataka commitment! uwepo mwenyewe ila ukiajili watu and ur not around my dear bora ukabet tu!
Chakula kina hesabu kila kilo moja inatoa sahan kadhaa Sasa Kama unapika kilo zako u hv to make sure Imepatikana sahani zenye ratio na maandalizi yako! Kama unaajiri mtu Bora usifunge tuuu!
Catukuvunji moyo me am in that biznes ktk cafe pia nasuply yaan no easy way u hv to be there!
Sent using Jamii Forums mobile app
Dada yangu mimi nilikuwa nakuomba uyapokee maoni ya wadau wanaochangia, hata kama yatakuwa yanapingana na maoni yako " kwa sababu humu kuna watu mbali mbali ambao wanauzoefu mkubwa kwenye biashara mbali mbali na wengine pia ni wateja wa biashara hizoHapo ndo umeongea khs graph bt swala la wizi kama wanavyosema wengine weka kando, nashukuru ntamuelimisha khs hilo la graph
Hahaa dadeki ... watu kweli mnajua kutumia fursa " Mimi nilidhani gazeti lote hilo linahusiana na ushauri wa mama ntilie !!!Mpendwa,
Mengi yamenenwa na wadau, nawapa big up wadau.
Jambo muhimu ni kwamba hilo wazo ni nzuri tena sana, kwasababu kubwa 2
Moja - biashara ha chakula haina hasara kwasababu watu lazima wale. Lkn pia hali ya maisha asilimia kubwa ya watu wamepunguza bajeti zao sasa hivyo badala ya kula mahoteli makubwa ama manyama choma, mamantilke wamepata wateja sana.
Mbili, kudhubutu. Hakuna atakae fanikiwa bila kudhubutu na kuanguka ndio mwanzo wa kufanikiwa. Wanasema hjashindwa hujafanikiwa.
Kwa msaada zaidi, sio kwako tu bali wadau wengine patahuduma zetu ambazo ziifanikisha zaidi ndoto zako
HUENDA WAHITAJI...
* Kusajili kampuni
* Annual Retur - Brela
* Hesabu za Kodi, Hesabu za Kampuni,
*Kuandaa Memorandum....
* Kuandika Business Plan, Business Profile,
* Kuandaa Tender documents, CRB
*Kutengeneza LOGO, Business Cards, Brochures, Banners
* Printing - All types of Books
*Digital Printing: T-SHIRTS, CAPS, BAGS, PLATES, CUPS, etc.
TUPIGIE/ MESEJI - 0684 205039: WATSUP TU 0652 411402
BEI ZETU HAZINA USHINDANI, MIKOANI PIA TUNAHUDUMIA
Ushauri ni Bure...
Sent using Jamii Forums mobile app
Kazi kweli kweli "--- dada ameomba ushauri huku Akiwa na majibu yake tayari mfukoni ... hahaa Jf bwanaHahahahaha hili ndio tatizo la waajiriwa. Kibarua ni muhimu kuliko biashara yako ningekuwa mm nisinge andika kitu kama hiki. Labda tu nisema hiki ndio kinachofanya watumishi wengi washindwe kuwa na biashara zilizofanikiwa kwani hata usipouza unajua hautalala njaa si mshahara upo sasa ya nn uhangaike kubembeleza wateja. Hivi unafikiri Mengi angeajiriwa na wakat huo huo ameanzisha IPP media yake had leo ingekuwepo?
Pia umesema wewe umeanzisha hiyo biashara kutokana na ushawishi wa huyo msichana wako that means ni wazo lake ila mtaji wako sasa tarajia akipata mtaji wake kupitia mtaji wako atakuacha na mtaji wako ukiwa ule ule au umepungua. Pia nikisoma comments zako between lines sioni kama upo serious.
Sent using Jamii Forums mobile app
So ww huwez kushika usukani kbs umeamua kumuamini zaidi huyo.Kufeli kupo iwapo ataondoka