ommy15
JF-Expert Member
- Jan 23, 2011
- 670
- 1,012
Baada ya mwaka naomba uje utuletee mrejesho hapa. Tunaosema hivi tumefanya hizi biashara na watu ambao tulijua ni waaminifu na mwisho wa siku tukaangukia pua. Kama mwaminifu sana atakula faida na mtaji utaukuta ila biashara haitakua. Hiv unafikiri huyo binti yeye hana ndoto ya kuwa na biashara yake kama wewe? Unafikiri yeye hataki kuwa bosi kama wewe?Sawa ila utafanyaje peke yako? Lazima usaidiwe, pia usipotoke waaminifu bado wapo
Sent using Jamii Forums mobile app