Fahamu kuhusu biashara ya kuuza chakula (Mgahawa)

Kuwa makini sana utawajua binadamu vizuri,ungeweza kusimamia ata mwezi mmoja afu ungejua mapato ya siku basi ungekubaliana nae awe ana kupa kiasi fulani kwa siku nae anachukua chake kabisa

Sawa ntapiga hesabu la sahani kwa kilo nifanye projection, nkipata mda ntakua nakaa physically ili nisikie na maoni ya wateja pia.
 
Aiseee niliwahi print t-shirt kwako.

Mkuu hiyo mashine ya kuprint inauzwaje?

I'm the girl from nowhere, the one no one will miss. That's why they choose me.

Sawa unachoongea hata mimi nimekulia kwny biashara nna idea kidogo, CCTV au technologia kwa frem moja its not worth it, ntakaa hapo kwa kadiri ntakapopata nafasi. Kikubwa namuamini sema labda kusikiliza maboresho ya wateja
 
Yeye ndo sababu ya Mimi kutafuta fremu coz namuamini na ni reliable nlikaa nae sana namfaham A to Z esp uchapakazi na uaminifu ni ngumu sana kumuamini mtu nsiemfaham pia reliability ina matter sio Leo umefungua kesho haji umefunga mimi masuala ya kupika sijui mzee au inakuaje hapo nishauri vinginevyo naweza sema ndio kama sio yeye nsingepanga kufungua fremu,Ila nna imani ntakavyokua nafanya nae biashara ntawagundua wengine wachapakazi na waaminifu. So kwa sasa yes yeye ndio chanzo mpaka nimetafuta fremu ni bora nianze naye, ndio nimepewa ushauri humu bt siwezi sema niache kazi nimsimamie mtu nsiemfaham ntakua naruka mkojo nakanyaga mavi
 
Kasema huyo dada anajua yeye atamsimamia swali atamsimamiaje na yeye yuko kazini? mama ntilie tena mpya raha uwepo mwenyewe au da rebecca unaonaje?mimi naona kodi ya miezi 3 ikiisha wanafunga biashara hawa.
Ni kweli yule msimamzi sidhani kama ataumia na pesa ya msingi wala pango!
Dada angepata likizo akae kwenye biashara aangalie upepo unapoelekea ndipo amkabidhi mtu
Unless otherwise ampe hesabu atakayofuata jioni kama kwenye chips.
 
Yeye ndo sababu ya Mimi kutafuta fremu coz namuamini na ni reliable nlikaa nae sana namfaham A to Z esp uchapakazi na uaminifu ni ngumu sana kumuamini mtu nsiemfaham pia reliability ina matter sio Leo umefungua kesho haji umefunga mimi masuala ya kupika sijui mzee au inakuaje hapo nishauri vinginevyo naweza sema ndio kama sio yeye nsingepanga kufungua fremu,Ila nna imani ntakavyokua nafanya nae biashara ntawagundua wengine wachapakazi na waaminifu. So kwa sasa yes yeye ndio chanzo mpaka nimetafuta fremu ni bora nianze naye, ndio nimepewa ushauri humu bt siwezi sema niache kazi nimsimamie mtu nsiemfaham ntakua naruka mkojo nakanyaga mavi
Dada samahani,
Ulishawahi kufanya biashara huko nyuma?
Waliokuelekeza hapo wapo sahihi!
You are the owner of your ideas.
 
Sawa ila utafanyaje peke yako? Lazima usaidiwe, pia usipotoke waaminifu bado wapo

Pamoja na yote uliyoshauriwa, mimi sikukatishi tamaa lakini nakupa hongera kwa kumpa mtaji huyo unayedhani unamwamini.

Hasa kwa sababu umeamua kila kitu umwachie toka mwanzo.
 
Nashauri itakuwa vzur uptie faida ya sku yaani baada ya yeye kuuza na kununua tena bidhaa ulizoaanza nazo kipi kinasalia? yaan mkabidhi / wakabithi wakulipe kias kadhaa kwa sku, ambacho kitalipa tena kodi na gharama nyingne na faida ya uwekezaji wako kila la kheri

Amina ushauri was busara sana dadaangu huna longolongo wala roho ya kwanini cha msingi nipate faida, hela ya kodi, mishahara nikishatoa maninuzi nipate
Wabongo tuna upuuzi wa kujifanya mabosi kipindi tunafungua biashara.....kama wafungua biashara...kaa mwenyew maana jua kuwa hapo umewekeza hela na co mawe....!!kama una kibarua kwakweli tulia kwanza....ila kama waipenda hyo biashara...anza kwa kukaa wew mwenyew

Sent using Jamii Forums mobile app

Kibarua ndo kimenipa mtaji so kibarua ni muhim kuliko biashara, watafanya nawaamini.
 
Hongera kwa kufikiria kuanzidha biashara ya chakula ambayo ndio biashara inayolipa kwa wakatu huu kwani lazima ule kwa njia yoyote. ili uipatie hii biashara ziangatia ushauri ufuatao.

1. Mpishi. Lazima uwe na mpishi ambaye atapika vyakula vikuu kutoka na na sehemu husika na vyenye ladha ambayo hata mtu akiwa tegeta asijisikie vibaya kuja bunju kula plate ya ubwabwa kwa dada naniliu.

2.Viungo. Matumizi sahihi ya viungo na kwa mapishi gani? nilishaona sehemu wametia binzari ya mchuzi kwenye chai wakidhani tea masala. usipike chai ya rangi ukatia maji na majani hamna hata karafuu, maganda ya iliki, mdalasini wala mchaichai.

3.Usafi. Usafi wa mpishi, sehemu unayofanyia biashara, vyombo vya kupikia na vyombo vya kulia vyakula chakula. sio vyombo vichafu vinasuuzwa baada ya kuoshwa na kufanya rangi ya sahani imebadilika na unaweza ukajiongeza kwa kuvizuuza na maji ya uvuguvugu kuuwa bakteria.

4. Bei. kwa kuwa unaanza hakikisha bei zako ni rafiki pamoja na kuwa ladha ya chakula chako ni tofauti na banda la mama lishe.

5.Vitendea kazi. Lazima uwe na vitende akazi tofauti kama blenda, microwave, jiko la gesi dogo na mtungi wake, sio mteja anataka chakula anapata chakula cha baridi japo kuwa amekujamida ambayo sio ya kibiashara kivile.

6. Mahitaji. Hakikisha unakwenda kwenye masoko makuu kwa mahitaji na epukakununua mahitaji mengi sana kwa wakati mmoja kama samaki na kuku unawaweka kwnye friza mwezi mzima kwani huwa wana tabia ya kuwa na kaharufu ambacho hakikati hata umuunge vp. usinunue mchicha jumapili uje kupika ijumaa hapana, Jitahidi japo mara mbili kwa week sio mbaya uwe unakwenda mwenyewe marikiti.

6. Jiongeze. Usiuze chakula kikuu tu kama wali pilau, la ongeza najuice za viwandani na za kutengeneza mwenyewe matunda mengi ni kupata ujuzi tu, tengeneza salad baada ya kachumbari kwa kulia chakula, tengeneza pilipili za kupikana sio mteja atake pilipili umpe nzima akate mwenyewe, kwani kuna vitu vidogo vinavutia wateja sana na kama sio mjuzo sana ingia hata you tube utaona mapishi ya tofauti.

Kama kuna la ziada njoo PM nitakupa maujuzi zaidi.
 
Kwa iyo unaamini bila yeye hauwezi fika popote?

Watu wengi humu wamekupa ushauri mzuri sana na wengi wanaonekana wanaongea kupitia experience.

Wengi hatujui MTU unaeenda kumuachia biashara yako anauzoefu gani wa kuendesha hiyo biashara.

Kujua kupika au kuwa mpishi mzuri na kuendesha biashara ya mgahawa ni vitu viwili tofauti.

Kwa biashara ya chakula hiyo formula unayotaka kutumia inafanya kazi ukiwa mzoefu wa iyo biashara lakini kama ni mgeni kuna mianya mingi sana ya pesa kupotea.

Trust but verify.

Yeye ndiyo sababu ya Mimi kutafuta fremu coz namuamini na ni reliable nlikaa nae sana namfaham A to Z esp uchapakazi na uaminifu ni ngumu sana kumuamini mtu nsiemfaham pia reliability ina matter sio leo umefungua kesho haji umefunga mimi masuala ya kupika sijui mzee au inakuaje hapo nishauri vinginevyo naweza sema ndio kama sio yeye nsingepanga kufungua fremu, ila nina imani ntakavyokua nafanya nae biashara ntawagundua wengine wachapakazi na waaminifu. So kwa sasa yes yeye ndio chanzo mpaka nimetafuta fremu ni bora nianze naye, ndio nimepewa ushauri humu bt siwezi sema niache kazi nimsimamie mtu nsiemfaham ntakua naruka mkojo nakanyaga mavi.
 
siwezi sema niache kazi nimsimamie mtu nsiemfaham ntakua naruka mkojo nakanyaga mavi

Sijaona kama kuna yeyote aliyeshauri uache kazi.

Kuna kitu wanasema learning on the fly, fungua hiyo biashara, mwache huyo unayemwamini asimamie, utajifunzia hapo.

Mimi naungana na wewe, kama una mtu una mwamini mpe asimamie, biashara itaenda vizuri sana na baada ya muda atakuachia biashara yako ataanzisha yake pale pembeni achukue na wateja wake. Muhimu ni yeye kupata mtaji tu.
 
Ni kweli itazame biashara mwanzoni(mwanzo mgumu) mzunguko halisi, pia baada ya muda flani kuona unachopata ni stahiki? pia inatakiwa uridhie tu kiwe wastani sio kila sku faida itakuwa hyo hyo

Sawa mkuu faida lazima izingatiwe, sawa faida haitakua kila siku hyo hyo
 
Hukupata watu sahihi na hukuwasoma kwanza utendaji wao wa kazi ulikurupuka ilibidi uwasome kwanza, yeye kua shangazi yako haimaanishi sio mwizi ilibidi umsome kwanza
Hongera kama inaendelea vizuri

Nakushangaa unavyosema nilikurupuka, let's see, tatizo unapanic na kuona mtu anapokupa ushauri kama anakuonea wivu au anataka ushindwe relax pokea maoni yafanyie kazi ushauri umeomba mwenyewe acha ku panic.

Inaendelea vizuri SANA nilihamisha pale baada ya chuo kuacha kuchukua wanafunzi karibu sinza mori uje ule chakula kitamu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hukupata watu sahihi na hukuwasoma kwanza utendaji wao wa kazi ulikurupuka ilibidi uwasome kwanza, yeye kua shangazi yako haimaanishi sio mwizi ilibidi umsome kwanza
Hongera kama inaendelea vizuri
Nilipata watu sahihi kabisa, wapishi wazuri na sikukurupuka, hata huyo shangazi yangu ndie mpishi mkuu, na alikuwa na mghahawa wake mdogo akapata matatizo na kufilisika hivyo hii biashara anaijua vizuri sana, nilitengeneza mfumo mzuri sana wa kuiendesha biashara yangu, na bado ninaifanya huku ninaendelea na shughuli zangu japo eneo nimehama baada ya chuo kuacha kupokea wanafunzi

Nakukumbusha tuu, binadamu kiasili ni wabinafsi - unalowaza wewe na yeye yanaweza kuwa sawa au tofauti who knows.

Weka mkakati makini wa kuisimamia biashara yako, na kufanya baadhi ya shughuli mwenyewe, mimi nikiwa hapa mjini jumamosi asubuhi ninaingia mwenyewe sokoni na supplier wangu ni wale wale.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashauri itakuwa vzur uptie faida ya sku yaani baada ya yeye kuuza na kununua tena bidhaa ulizoaanza nazo kipi kinasalia? yaan mkabidhi / wakabithi wakulipe kias kadhaa kwa sku, ambacho kitalipa tena kodi na gharama nyingne na faida ya uwekezaji wako kila la kheri

Biashara ntaifanya mwenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom