Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,225
- 12,948
1962 uliibuka mgogoro ambao ulitaka kupelekea vita kati ya nchi ya Cuba na Marekani mara baada nchi ya Marekani kugundua kuwa USSR inaweka makombora ya Nuklia nchini Cuba, Nchi ya Cuba chini Fidel castro ilikuwa ni mshirika wa karibu sana wa Umoja wa Kisovieti (USSR).
Chanzo hasa kilichopelekea USSR kuweka makombora hayo nchini Cuba kilikuwa USSR kugundua kuwa Marekani alikuwa ameweka makombora ya Nyuklia kwa siri nchini Uturuki kitu ambacho alikiona kitisho kwake naye akaamua kufanya hivohivo nchini Cuba.
Mgogoro huu uliisha baada ya Marekani na USSR kukubaliana kwa pamoja kila mmoja kuondoa siraha za Nyuklia katika nchi zilikowekwa, yaani Urusi aondoe Cuba na Marekani aziondoe pale Uturuki, jambo hili lilimghabisha Rais wa Cuba wa wakai uo Rais Fidel Castrol ambaye yeye alikuwa anataka Marekani apigwe tu!
Kwasasa tunaona Marekani akishinikiza NATO kujitanua kuelekea Russia, Nato inatumika kama mwamvuli kwa marekani kusambaza silaha zake karibu na Urusi. Mbali zaidi Finland ambae mara baada ya vita ya pili ya Dunia aliamua kutofungamana kwenye upande wowote kitu ambacho kilipelekea mpaka wake na Urusi kuwa moja ya mipaka salama zaidi Duniani! Finland kwasasa imegeuka imeenda kujiunga NATO, Kwa maana kwasasa Marekani anaweza kuitumia Finland kuifanyia ujasusi Russia kitu ambacho kinakuja kuzalisha mgogoro mkubwa kati yake na Urusi. Finland inashare mpaka na Urusi wenye urefu wa KM 1,340.
Tutarajie Urusi kuunda muungano wa kijeshi utakaoenda sambamba na BRICS huku akifikisha makombora yake karibu na Marekani kupitia nchi kama Mexico na Cuba?
Unauona usalama wa dunia kwa % ikitokea hivi kwa pande zote mbili?
Chanzo hasa kilichopelekea USSR kuweka makombora hayo nchini Cuba kilikuwa USSR kugundua kuwa Marekani alikuwa ameweka makombora ya Nyuklia kwa siri nchini Uturuki kitu ambacho alikiona kitisho kwake naye akaamua kufanya hivohivo nchini Cuba.
Mgogoro huu uliisha baada ya Marekani na USSR kukubaliana kwa pamoja kila mmoja kuondoa siraha za Nyuklia katika nchi zilikowekwa, yaani Urusi aondoe Cuba na Marekani aziondoe pale Uturuki, jambo hili lilimghabisha Rais wa Cuba wa wakai uo Rais Fidel Castrol ambaye yeye alikuwa anataka Marekani apigwe tu!
Kwasasa tunaona Marekani akishinikiza NATO kujitanua kuelekea Russia, Nato inatumika kama mwamvuli kwa marekani kusambaza silaha zake karibu na Urusi. Mbali zaidi Finland ambae mara baada ya vita ya pili ya Dunia aliamua kutofungamana kwenye upande wowote kitu ambacho kilipelekea mpaka wake na Urusi kuwa moja ya mipaka salama zaidi Duniani! Finland kwasasa imegeuka imeenda kujiunga NATO, Kwa maana kwasasa Marekani anaweza kuitumia Finland kuifanyia ujasusi Russia kitu ambacho kinakuja kuzalisha mgogoro mkubwa kati yake na Urusi. Finland inashare mpaka na Urusi wenye urefu wa KM 1,340.
Tutarajie Urusi kuunda muungano wa kijeshi utakaoenda sambamba na BRICS huku akifikisha makombora yake karibu na Marekani kupitia nchi kama Mexico na Cuba?
Unauona usalama wa dunia kwa % ikitokea hivi kwa pande zote mbili?
Cuban Missile Crisis
In October 1962, an American U2 spy plane secretly photographed nuclear missile sites being built by the Soviet Union on the island of Cuba. Because he did not want Cuba and the Soviet Union to know that he had discovered the missiles, Kennedy met in secret with his advisors for several days to...
www.jfklibrary.org