Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Kama Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu, Idara ya Habari Maelezo, Wizara ya Hasbro, hawana uwezo wa kukanusha tuhuma kama zile, hao CCM, wakanushe kwa uwezo gani?!.

CCM wangekuwa na uwezo wa kukanusha hata nusu tuu, wangeishaitisha press conference!.

Unaweza kukuta Ikulu yetu ime subscribe Daily News, Uhuru na Habari Leo pekee, hilo The Economics kwa lugha ile, alisome nani?.

P
Ccm takanushaje kitu chenye maslahi kwao?
 
Hivi ndo vitu ambavyo akina Msigwa na wenzake wa Lumumba inabidi wafanye. Facts zipingwe kwa facts. Siyo hawa vijana wa Lumumba wanashinda JF wakiachia povu na kutukana. Povu na ulalamishi kamwe haviwezi ku-challenge andiko kama la Economist.

Mfano sijaona magazeti ya nje yanapo-acknowledge uthubutu wa JPM kujenga reli, na miradi mingine mikubwa! Hata re-negotiations za mikataba ya madini...I mean siyo kwamba JPM hana mabaya..Lakini na mazuri yake yasemwe! Tumkome nyani giladi!

Next time mkiona gazeti la kimataifa liwe the economist, Bloomberg nk wameandika habari negative kuhusu nchi/serikali yetu..inabidi wahusika waingie front kujibu kwa kuweka records straight. siyo kukimbilia JF na kuanza kulialia kwamba JPM anachukiwa na haya magazeti/jarida. Dunia haina huruma na yeyote.
Ofcaurse japo kwa asilimia kubwa vyombo vya kimagharibi haviitendei haki Africa lakini kwa asilimia nyingi vinakata kote maana hata magharibi huwa vinakandamiza hasa hii The economist hasa kwa Trump. Kama Taifa tusipojifunza kuchallenge kwa points na facts ni dalili mbaya sana Kama jamii hasa utamaduni wa kuporomosha mitusi Isiyo out weigh facts. Kuhusu Kutambua kazi nzuri za viongozi wa Africa baadhi Kama haujagusa maslahi yao huwa huwa bina jaribu mfano miaka kadhaa iliyopita mh Kagame alikuwa kwenye CNN Kama hakatizi. Mainly Hawa watu wasiona uchumi wako hauwabebi sana utegemee tuliyoyaona maana wao interests za kwao ni muhimu sana ndo maana inasikitisha kuona baadhi yetu tunashitakiana kwao maana Magu ni deal ambalo kwa unafiki wetu tutalifagilia akiwa hayapo tena kwenye action. Huyu mtu kaletwa kwa watu siyo.
 
Uchambuzi wa Economics leo umetarget TZ mnalia,wakichambua chumi zingine hamuongei chochote?Nyie ni special kiasi gani?Kafieni huko

Msikatae,mna tatizo very fundamental ,halafu mna deny..mpo kwenye denial kubwa sana....

Bloomberg na BBC waikandie TZ kuna faida gani wanapata?Taja A mpaka Z kama hutaandika upupuu hapa....

Nondo amegeuka ndio agenda yenu ya kitaifa,mnaacha viwonder,Nondo kawa agenda yenu,mtakaa mlete maendeleo kweli?
Una article yoyote The economist ikimuita Rais wa nchi yoyote ya Magharibi "Rogue President"???
 
Katoa FACTS zipi wakati ni propaganda za uongo wameandika UVCCM wakamsainisha mzungu!

Hakuna FACTS,kuna uongo mwingi sana mle....Nikuamini wewe muongo au walao hata niamini Economics?

Mwenyeji muongo anaongopa zaidi..hamfai regardless!
Wewe nafikiri haupo Tanzania kama yaliyosemwa na huyo Mzungu unasema ya uongo!! Au wewe ni wale wanaopinga kila kizuri kinachofanywa na Serikali..!!
 
Wapumbavu hawa Mkuu watawadanganya wenye akili finyu kuhusu huyu dhalimu aliyejaa dhuluma za kutisha na muuaji ambaye ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Huyu dhalimu ni lazima tumpige vita kwa nguvu zote. Pressure inakuwa kubwa hadi wanaanza kuwanunua wazungu waandike upuuzi na uongo kuhusu huyu dhalimu DU.
Wewe ni mpuuzi kabisa na msaliti mkubwa kwa nchi yako!! Baki huko huko USA na wasaliti wenzio wakina Mange, na Marandu mkirudi huku mtakiona cha mtemakuni kilichomtoa kanga manyoya!!
 
Katoa FACTS zipi wakati ni propaganda za uongo wameandika UVCCM wakamsainisha mzungu!

Hakuna FACTS,kuna uongo mwingi sana mle....Nikuamini wewe muongo au walao hata niamini Economics?

Mwenyeji muongo anaongopa zaidi..hamfai regardless!
Kwa hiyo zile za The economist ziliandikwa na bawacha nini?
 
Wapumbavu hawa Mkuu watawadanganya wenye akili finyu kuhusu huyu dhalimu aliyejaa dhuluma za kutisha na muuaji ambaye ni mtu hatari sana kwa mustakabali wa nchi yetu.

Huyu dhalimu ni lazima tumpige vita kwa nguvu zote. Pressure inakuwa kubwa hadi wanaanza kuwanunua wazungu waandike upuuzi na uongo kuhusu huyu dhalimu DU.
Sijaona preassure yoyote zaidi ya mihemuko ya watu watatu au wanne wenye kuandikaandika twitter ili wapate kiki za kuuzia vitabu
 
Kama mimi ni nyumbu then what makes u?Einstein?

Zitto anawaambia kila siku..maarifa,maarifa...!

Kijani kizima leo eti kimegukia BBC,Bloomberg na The Economics...Motherufkcer Turnover ya Bloomberg tu per year inazunguka GDP ya TZ uchwara included..Halafu wapuuzi mnakaa mnadhani mna high ground ya kuharisha against them,niggaz sharra'p!
Turnover ya bloomberg ni Sh ngapi?
 
Uonage aibu wewe badala ya kujidhalilisha kiasi hiki ili kujikomba upate teuzi. Huyo mzungu kaandika upuuzi na pumba tupu nawe unajua hivyo lakini umeamua kujitoa ufahamu kabisa. Maaskofu wa Kikatoliki wanajua vizuri sana kinachoendelea nchini kuliko huyo mamluki aliyenunuliwa na genge la wahuni na wauaji wa MACCM ili ampambe dhalimu DU na muuaji. ACHA UNAFIKI!!

WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini


Mkuu dont pay him no mind!

Huyu jamaa ni certified clown!

Hanaga msimamo kabisa!

Bipolar mzoefu huyo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wewe ni mpuuzi kabisa na msaliti mkubwa kwa nchi yako!! Baki huko huko USA na wasaliti wenzio wakina Mange, na Marandu mkirudi huku mtakiona cha mtemakuni kilichomtoa kanga manyoya!!



Kwanini ccm ni vilaza hivi?

Kuipinga ccm na serikali yake ndio usaliti?

Wasirudi TZ nchi hii ya mama zenu?
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Hivi kuna rais yeyote wa nchi ya Western world ni rouge?

Hebu taja!

Hivi unajua vijani mna utindio wa ubongo kabisa!
Trump anakosolewa sana na vyombo vya huko but The economist hawajawahi muita Rogue.....
 
Kwanini ccm ni vilaza hivi?

Kuipinga ccm na serikali yake ndio usaliti?

Wasirudi TZ nchi hii ya mama zenu?
Kupinga maendeleo ni usaliti ..kumpinga anayepinga ufisadi kwa kuwa mmemchukua fisadi ni usaliti kwa wananchi...
 
Wewe nafikiri haupo Tanzania kama yaliyosemwa na huyo Mzungu unasema ya uongo!! Au wewe ni wale wanaopinga kila kizuri kinachofanywa na Serikali..!!


Nikiwa abroad ndio sio MTZ?

Hivi kuna mtu TZ alipewa madaraka na mungu kuchagua huyu ni mtz na huyu sio mtz?

Wazaliwa wa TZ wote ni haki yao ya asili kua watz,hawezi ibuka mtz mmoja akaamua ku-nulify utz wa wengine waliozaliwa kama yeye!hata mahakama haiwezi,sembuse wewe?

Hivyo utoto wako uache kabisa!

Sio wajibu wangu kuisifia serikali...kuipinga au kuikubali ni uamuzi wangu,usinipangie!

Nani kakwambia ukiwa nje ya nchi hujui yanayoendelea tz?mbona vijani mna uelewa mdogo sana?
 
Nikiwa abroad ndio sio MTZ?

Hivi kuna mtu TZ alipewa madaraka na mungu kuchagua huyu ni mtz na huyu sio mtz?

Wazaliwa wa TZ wote ni haki yao ya asili kua watz,hawezi ibuka mtz mmoja akaamua ku-nulify utz wa wengine waliozaliwa kama yeye!hata mahakama haiwezi,sembuse wewe?

Hivyo utoto wako uache kabisa!

Sio wajibu wangu kuisifia serikali...kuipinga au kuikubali ni uamuzi wangu,usinipangie!

Nani kakwambia ukiwa nje ya nchi hujui yanayoendelea tz?mbona vijani mna uelewa mdogo sana?
Wewe kula bata na viporo vya baga huko ughaibuni ....shida za watanzania utazisomea JF na Facebook....acha wanaozijua shida za watanzania kwa uhalisia wake wazishughulikie
 
Wewe kula bata na viporo vya baga huko ughaibuni ....shida za watanzania utazisomea JF na Facebook....acha wanaozijua shida za watanzania kwa uhalisia wake wazishughulikie



Kwa maana wewe unakula vinono?

Shida nazijua,nina ukoo wangu na familia tz!sasa sijui mimi kusafiri kunanifanya kua less of a tanzanian labda?

Sijaelewa!

Yaani mtu akipakia ndege akaenda mahala tayari anakua mtz nusu?

Sina haki ya kushughulikia shida za tz sababu nilipakia ndege nikaenda mahala?

Aisee mtaenda mirembe kabisa!

Ndio akili za tuliowapa madaraka akina jingalao!

Sawa,Jinga Lao!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom