Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Uzi usifutwe... Ipo siku wenye comment zao zakusifia humu watakuja kujutia...Kunawatu wamefumbwa macho hawaoni sababu ya rehema kidogo wanazopata kwa Jiwe.. Lakini siku Jiwe hili likimaliza kazi nao litaanza kuwaponda nawao, tutakuwa ktk mateso sawa tu...


Nao waungaji mkono wa udhalimu wa jiwe ndio watakuwa mstari wa mbele kudai haki pindi tu jiwe likiwageukia upande wao.. Kwasasa muna rehema mana jiwe bado linaponda upande wapili, itafika wakati jiwe halitataka Masada wenu ndipo litawaona kama kikwazo... Hapo ndipo mutayakumbuka makelele haya ya walio anza kupondwa na jiwe tangu sasa....
 
Thanks for the observation, rafiki! By the way, who feeds them with this queer and unrealistic information? What amuses me with this so called 'The Economist' is the negativeness in its perception towards Africa! It is their wish, to see Africa doomed so that they get a room in reaping African wealth without much sweat. And when they see people like Maghufuli doing what would be a huddle to their wish, it is definite, they will mock him!
I am sure, sooner than later, they will come with positive perception and praises!
 
Kwa maana wewe unakula vinono?

Shida nazijua,nina ukoo wangu na familia tz!sasa sijui mimi kusafiri kunanifanya kua less of a tanzanian labda?

Sijaelewa!

Yaani mtu akipakia ndege akaenda mahala tayari anakua mtz nusu?

Sina haki ya kushughulikia shida za tz sababu nilipakia ndege nikaenda mahala?

Aisee mtaenda mirembe kabisa!

Ndio akili za tuliowapa madaraka akina jingalao!

Sawa,Jinga Lao!
Kwa hiyo familia yako inakupigiaga simu na kukwambia wana shida kwa sababu ya Magufuli?
Kwa hiyo ujuvi wako wa shida za wananchi unajengwa na taarifa za familia yako huku bongo?
Umetembelea vijiji vya Tanzania na kujua shida zao halisi?
 
Hivi kuna rais yeyote wa nchi ya Western world ni rouge?

Hebu taja!

Hivi unajua vijani mna utindio wa ubongo kabisa!
Na karibu watakufukuza huko urudi kwenye shithole country yako! Tunakusubiri kwa hamu yote uje utusaidie sisi wenye mtindio wa ubongo!!
 
Uonage aibu wewe badala ya kujidhalilisha kiasi hiki ili kujikomba upate teuzi. Huyo mzungu kaandika upuuzi na pumba tupu nawe unajua hivyo lakini umeamua kujitoa ufahamu kabisa. Maaskofu wa Kikatoliki wanajua vizuri sana kinachoendelea nchini kuliko huyo mamluki aliyenunuliwa na genge la wahuni na wauaji wa MACCM ili ampambe dhalimu DU na muuaji. ACHA UNAFIKI!!
WARAKA: Maaskofu Katoliki waonya uminywaji wa demokrasia na uhuru wa vyombo vya habari nchini
Ili mtu uone aibu, kitu cha kwanza ni hiyo aibu kwanza iwepo, ndipo ionekane, au mt uweze kuona aibu, lakini kwa Bahati mbaya sana, kila mtu anazaliwa na mapungufu yake au ulemavu Fulani, mimi nimezaliwa bila kupewa mgao wa aibu!, hivyo sina aibu kabisa hata chembe!, ndio maana siku zote nasema kweli Daima bila kumuogopa mtu yoyote, na kuhusu hili la udikiteta wa rais Magufuli, sidhani kama kuna mwana jf mwingine yoyote aliyelizungumzia humu kuliko mimi, na kwa taarifa yako, sijaishia kuuzungumza tuu humu, bali nina Makala katika weekly magazine nauzungumzia udikiteta.

Ukiwa mkweli Daima, utazungumza ukweli Daima!. Sii yote yanayosemwa kumhusu Magufuli ni kweli, hivyo kwenye ukweli tuseme kweli, kwenye uongo, tuseme huu ni uongo.

Hiyo Makala mimi nimeizungumza humu na nikaeleza wapi ni kweli na wapi ni uongo!.
Rais Magufuli ametukanwa tena na Jarida la Economist. Tukiendelea kunyamaza, itafika siku Uongo huu utageuka Ukweli!
Paskali
 
Uzi usifutwe... Ipo siku wenye comment zao zakusifia humu watakuja kujutia...Kunawatu wamefumbwa macho hawaoni sababu ya rehema kidogo wanazopata kwa Jiwe.. Lakini siku Jiwe hili likimaliza kazi nao litaanza kuwaponda nawao, tutakuwa ktk mateso sawa tu...


Nao waungaji mkono wa udhalimu wa jiwe ndio watakuwa mstari wa mbele kudai haki pindi tu jiwe likiwageukia upande wao.. Kwasasa muna rehema mana jiwe bado linaponda upande wapili, itafika wakati jiwe halitataka Masada wenu ndipo litawaona kama kikwazo... Hapo ndipo mutayakumbuka makelele haya ya walio anza kupondwa na jiwe tangu sasa....
Wape watu uhuru wa kutafsiri na kutafakari juu ya neno 'jiwe' Tafsiri yako iwe yako, tafsiri yao iwe yao, kwani uelewa wetu unatofautiana!
Siku ukifahamu tafsiri yake ilikuwa ni ipi, utakuwa na amani ya moyo! Kwa sasa, endelea kuhangaika!
 
A really simple but factual article! The whole truth ;actually though a foreigner you understand the vision of president JPM, we love him! Well, we know the government works with a lot of partners! The govt could do all it can to extend your project!
 
Hakuna asiyekujua humu kwa unafiki wako wa kuuma na kupuliza. Huyu mtu hakuwa na sifa ya kuingia Ikulu na hilo Watanzania wengi tulilijua miaka mingi kutokana na utendaji wake, wizi, uongo na ufisadi.

Endelea kujidhalilisha na kuonyesha unafiki wako hadharani.

Ili mtu uone aibu, kitu cha kwanza ni hiyo aibu kwanza iwepo, ndipo ionekane, au mt uweze kuona aibu, lakini kwa Bahati mbaya sana, kila mtu anazaliwa na mapungufu yake au ulemavu Fulani, mimi nimezaliwa bila kupewa mgao wa aibu!, hivyo sina aibu kabisa hata chembe!, ndio maana siku zote nasema kweli Daima bila kumuogopa mtu yoyote, na kuhusu hili la udikiteta wa rais Magufuli, sidhani kama kuna mwana jf mwingine yoyote aliyelizungumzia humu kuliko mimi, na kwa taarifa yako, sijaishia kuuzungumza tuu humu, bali nina Makala katika weekly magazine nauzungumzia udikiteta.

Ukiwa mkweli Daima, utazungumza ukweli Daima!. Sii yote yanayosemwa kumhusu Magufuli ni kweli, hivyo kwenye ukweli tuseme kweli, kwenye uongo, tuseme huu ni uongo.

Hiyo Makala mimi nimeizungumza humu na nikaeleza wapi ni kweli na wapi ni uongo!.
Rais Magufuli ametukanwa tena na Jarida la Economist. Tukiendelea kunyamaza, itafika siku Uongo huu utageuka Ukweli!
Paskali
 
Wape watu uhuru wa kutafsiri na kutafakari juu ya neno 'jiwe' Tafsiri yako iwe yako, tafsiri yao iwe yao, kwani uelewa wetu unatofautiana!
Siku ukifahamu tafsiri yake ilikuwa ni ipi, utakuwa na amani ya moyo! Kwa sasa, endelea kuhangaika!
Upo sahihi... Mimi nimetoa kazi moja ya jiwe hili kulingana na ninavyo ona kwasasa... Lakini ni ukweli usiopingika jiwe lina kazi nyingi tu tena nzuri na Mbaya... Sasa kwa upande wangu nimeona jiwe limechukua nafasi kubwa kuangamiza instead yakufanya hizo nyingine... Kama ulivyosema kila moja anauelewa wake yawezekana uelewa wangu ni finyu ama nivile jiwe linaniponda.Haina budi kuhangaika kujinasua... Wewe zamu yako bado kidogo, kwasasa pumzika na kula kwa amani.. Ila muda waja. Ahsante
 
Hakuna asiyekujua humu kwa unafiki wako wa kuuma na kupuliza. Huyu mtu hakuwa na sifa ya kuingia Ikulu na hilo Watanzania wengi tulilijua miaka mingi kutokana na utendaji wake, wizi, uongo na ufisadi.

Endelea kujidhalilisha na kuonyesha unafiki wako hadharani.
Mlitaka yule fisadi wenu ndio aingie?
Magufuli ni "USIYEMTAKA KAJA"
 
Bandiko la uyu mzungu ni jepesi sana, mambo mengi hasa ya siasa kasema ajafatilia. Sijui huo uwezo wakujibu kautoa wapi?

Kasema hakuna mwanamziki alieshikwa, hajui kuwa Roma alitekwa siku 3?

Kasema kuna ongezeko la kodi, hajui kama mara ya mwisho TRA kutangaza mapato ni mwaka jana?
Kuwafukuza wanafunzi waliopata mimba, hivi unaweza kumfukuza mwanafunzi aliepata mimba akiwa shule. Je ukiwafukuza ndio kutatua tatizo? Au ni kuwatungia sera itayowaongoza baada ya kushindwa kuendelea na masomo? Kwanini wasitungiwe sera itayowapeleka Veta wakajifunze uko? Kwanini wasiende kwenye elimu ya watu wazima?

Kuhusu uchumi, ni kweli uchumi wetu umevurugika, sasa hivi kufanya biashara imekua ngumu sana. Mzunguko wa pesa umepungua, serikali imekosa uwezo wa kuajiri na kuongeza mishahara. Kwanini uyu mzungu anawashutumu hao Economist kuwa wanawatetea Acacia?
Roma alishikwa na polisi?
 
Hakuna asiyekujua humu kwa unafiki wako wa kuuma na kupuliza. Huyu mtu hakuwa na sifa ya kuingia Ikulu na hilo Watanzania wengi tulilijua miaka mingi kutokana na utendaji wake, wizi, uongo na ufisadi.

Endelea kujidhalilisha na kuonyesha unafiki wako hadharani.
Wewe mwenye sifa mbona hukugombea?? Wewe miaka yote kupinga tu hata wakati wa JK ulikuwa unapinga kila jambo!! Wewe ni hopeless sana!
 
Upo sahihi... Mimi nimetoa kazi moja ya jiwe hili kulingana na ninavyo ona kwasasa... Lakini ni ukweli usiopingika jiwe lina kazi nyingi tu tena nzuri na Mbaya... Sasa kwa upande wangu nimeona jiwe limechukua nafasi kubwa kuangamiza instead yakufanya hizo nyingine... Kama ulivyosema kila moja anauelewa wake yawezekana uelewa wangu ni finyu ama nivile jiwe linaniponda.Haina budi kuhangaika kujinasua... Wewe zamu yako bado kidogo, kwasasa pumzika na kula kwa amani.. Ila muda waja. Ahsante
Vipi wewe ni mmoja ya wale waliotumbuliwa kwa ufisadi au vyeti fake??
 
Na karibu watakufukuza huko urudi kwenye shithole country yako! Tunakusubiri kwa hamu yote uje utusaidie sisi wenye mtindio wa ubongo!!


Watanifukuza kwa sababu gani?

Hata nikifukuzwa popote pale duniani,nina nyumbani na nyumbani ni TZ.No one can steal that from any Tanzanian!

Sijaja kiwizi,nimekuja kihalali..unadhani nchi hizi wanafanya mambo kienyeji kama huko kwetu?Mzee,uwe unauliza kwanza kabla ya kuongea vitu usivyovijua!

Unadhani kujenga nchi yako ni lazima uwe ndani ya nchi?Wajenzi wa nchi ni waliopo nchini na waliopo nje ya nchi,mbona ni basic Civics class hii?Au unadhani wewe ulieopo nchini ndio mjenzi sana zaidi ya wengine?Mbona mna viburi sana nyie?

Vijani na manjano mna shida sana....
 
Wewe mwenye sifa mbona hukugombea?? Wewe miaka yote kupinga tu hata wakati wa JK ulikuwa unapinga kila jambo!! Wewe ni hopeless sana!


Ni uamuzi wake..Kama wewe unavyobakia yote..na yeye anapinga yote...sasa sijui kwanini nyani haoni kundule!?

UCD,u are better than this, man!
 
Alitekwa, je mpaka sasa ripoti yake imetoka? Waliomteka wametiwa nguvuni mpaka sasa?
Nenda karekebishe hiyo post yako kwanza ndio uulizie mengine.
Swali:Je ni watu wangapi waliofanya uhalifu na mpaka leo hawajakamatwa??
 
Mlitaka yule fisadi wenu ndio aingie?
Magufuli ni "USIYEMTAKA KAJA"

Nani kamtaja?Nani kasema ndie walikua wanamtaka?Sijaona mahali kapost hicho kitu...Nadhani umeamua kua mganga mpiga ramli....

Just relax...Jibu vitu tangible hapa,acha kujibu vipi abstract ambavyo havipo!

Halafu,kwanini The Economics imewauma sana?Yaani imewauma sana,ni mwezi sasa mnalia....

Poleni bwana "Itakua wanawaonea gere na Maliasili zenu na Uchumi unaopaaa sana".."Ni wivu wazungu kwa Magufuli"..Hahahaaa,my ribs!
 
Nani kamtaja?Nani kasema ndie walikua wanamtaka?Sijaona mahali kapost hicho kitu...Nadhani umeamua kua mganga mpiga ramli....

Just relax...Jibu vitu tangible hapa,acha kujibu vipi abstract ambavyo havipo!

Halafu,kwanini The Economics imewauma sana?Yaani imewauma sana,ni mwezi sasa mnalia....

Poleni bwana "Itakua wanawaonea gere na Maliasili zenu na Uchumi unaopaaa sana".."Ni wivu wazungu kwa Magufuli"..Hahahaaa,my ribs!
Swali ni kwamba kwa nini The economist iwaume?
Badala ya kuchambua uchumi wa Tanzania wamebakia na utunzi wa majina mapya kwa Rais wetu.

Inaelekea hata hilo The economist huwa hulisomi in details kwa sababu isingekuwa ngumu kunielewa.
 
Nani kamtaja?Nani kasema ndie walikua wanamtaka?Sijaona mahali kapost hicho kitu...Nadhani umeamua kua mganga mpiga ramli....

Just relax...Jibu vitu tangible hapa,acha kujibu vipi abstract ambavyo havipo!

Halafu,kwanini The Economics imewauma sana?Yaani imewauma sana,ni mwezi sasa mnalia....

Poleni bwana "Itakua wanawaonea gere na Maliasili zenu na Uchumi unaopaaa sana".."Ni wivu wazungu kwa Magufuli"..Hahahaaa,my ribs!
Swali ni kwamba kwa nini The economist iwaume?
Badala ya kuchambua uchumi wa Tanzania wamebakia na utunzi wa majina mapya kwa Rais wetu.

Inaelekea hata hilo The economist huwa hulisomi in details kwa sababu isingekuwa ngumu kunielewa.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom