Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Facts The Economist Got Them Wrong on Magufuli

Status
Not open for further replies.
Itakuwa ni busara kama ungeandika kama mimi nilivyoandika yale unayodhani nikweli na yale unayodhani ni propaganda kwa mtazamo wako!! Usilazimishe niandike unavyotaka wewe.
Sikulazimishi ni jinsi gani ya kuandika bali nakuasa yale uliyoandika ya-base kwenye facts na sio marejeo ya vijarida kama The economist na Tanzania daima
 
Uchambuzi huu bora sana. Hapa suala sio akina Msigwa wala vijana wa Lumumba, hapa tatizo ni sisi wote Watanzania. Economist wanaishambulia nchi yetu, wanamshambulia Rais halafu tunakaa kimya wote waandishi wa habari, wasomi, wachambuzi wa siasa na kila mtu eti tunamsubiri Msigwa na Lumumba. Tena mimi kwa mawazo yangu kwenye mapambano kama haya akina Msigwa na Lumumba hawapaswi kufunua mdogo maana wataonekana wanajitetea. Hapa palitakiwa tuuone ubingwa, umahiri na uzalendo wa akina Pascal Mayalla. Kilichofanywa na Economist ni attack against our country not against somebody. Tatizo letu we are not putting Tanzania first. Lakini nadhani hili limetufunza.
Ndugu zangu with the presence of Social media platforms tunaweza kuwanyoosha hao Economist wasirudia kuandika upuuzi wao. Mimi nimejifunza sana na huyu Mzungu wa Arusha kuna mengi hajaandika wacha nijipinde nitarudi sio muda mrefu
Lakini the Economist wanapewa jeuri na wasaliti wachache wa ndani. We angalia michango ya social media, na kwa kiasi mainstream media. Yanayoripotiwa kwa kiasi kikubwa ni upotoshaji na yanakosa misingi ya manufaa ya umma. Wenzetu wazungu hata waarabu (Aljazeera) wametanguliza maslahi ya nchi mbele.

Sisi huku wanasiasa uchwara wanaendeleza propaganda za kuchafua hata misingi na mambo mazuri ili mradi kuchafua walio madarakani kwa kura ili wakichafuka wao wawe na chances za kuchukua madaraka bila kueleza sera mbadala.
 
What about the most Corrupt, Drunkard president of yours[emoji23][emoji23] The whole universe knows..

Kama hujui Raila anakula nusu mkate pole[emoji23][emoji23] Na Tz ndio tume force mpaka Raila amepewa madaraka makubwa hivyo, We Rule the E.AFRICA
What nonsense is this now?
introspection.jpg
Look at your empty head!
 
Tatizo ni Mkulu kushindwa kuwa na msemaji wa Rais mwenye uwezo wa kujenga hoja aina hii dhidi ya magazeti ya nje
 
Sikulazimishi ni jinsi gani ya kuandika bali nakuasa yale uliyoandika ya-base kwenye facts na sio marejeo ya vijarida kama The economist na Tanzania daima

Sasa kama wewe unaona kuwa The Economist na Tanzania Daima ni vijarida; hayo ni maamuzi yako na pengine kwako wewe Uhuru na Mzalendo ndio magazeti ya maana!!!! Upofu wako kaa nao mwenyewe.
 
Mtalia sana.

Wanamshambulia uchwara kwa lipi labda?

Makinikia?Puliiiiizz

Acacia walishinda kitamboo sana.Hawana haja ya kuomba msaada Economics eti kupambana.

Acacia walishamshinda vibaya sana mahakamani,vibaya mno...

Semeni kuna fundamental problem na serikali ndio maana wanaongea,kungekua na mazuri wangesema...

Sababu ya makinikia sio yenyewe tu,kuna shida na hii serikali..Hilo mpo na denial nalo....

Sasa serikali nzima inapambana na mtu mdogo kama sisimizi anaitwa Nondo,mtoto mdogo,resources za nchi nzima zimewekwa kwake,ukiulizia why all these?Unashangaa majibu hakuna...Kuna tatizo kubwa very fundamental mnalo..Haya ya The Economics ni symptoms tu.

Hakuna anaelia ,tunashangaa upeo mdogo wa wachambuzi wa economistic,bloomberg & BBC towards Tanzania, na jinsi wanavyotumika, acacia wameshinda vita gani?, wanaumia sana kuona pesa walizokuwa wamezoea kuchota zimebuma, kilichobaki ni kuandika habari za kimagumashi waungwe mkono, lakini at the end wajue hili goma litabaki hivi hivi hadi 2020.
Nondo ajitetee mwenyewe mahakamani, haki yake atapata,kama alitekwa au alijiteka kwa kutaka kuwa mwanasiasa hodari au awe kama mandela bado mahakama itaamua.
 
Tatizo ni Mkulu kushindwa kuwa na msemaji wa Rais mwenye uwezo wa kujenga hoja aina hii dhidi ya magazeti ya nje

Hii sio kazi ya msemaji wa Ikulu, ni jukumu la msemaji wa serikali!!! Unampiga vita Msigwa unafikiri utarithi kazi yake!!
 
Hii sio kazi ya msemaji wa Ikulu, ni jukumu la msemaji wa serikali!!! Unampiga vita Msigwa unafikiri utarithi kazi yake!!
Mkuu mambo ya kumpiga vita Msigwa imetoka wapi. Sisi watanzania tunataka awe Msigwa ama Abas wawe wasaidizi wazuri wa Mheshimiwa Rais Magufuli katika kupambana na hivi vyombo vya habari vya nje.
 
Hii makala imeandikwa na mzee Mwanakijiji. Nina uhakika asilimia 99.

Mpaka mtu unajiuliza huu uongo wote faida yake nini?
 
Mtalia sana.

Wanamshambulia uchwara kwa lipi labda?

Makinikia?Puliiiiizz

Acacia walishinda kitamboo sana.Hawana haja ya kuomba msaada Economics eti kupambana.

Acacia walishamshinda vibaya sana mahakamani,vibaya mno...

Semeni kuna fundamental problem na serikali ndio maana wanaongea,kungekua na mazuri wangesema...

Sababu ya makinikia sio yenyewe tu,kuna shida na hii serikali..Hilo mpo na denial nalo....

Sasa serikali nzima inapambana na mtu mdogo kama sisimizi anaitwa Nondo,mtoto mdogo,resources za nchi nzima zimewekwa kwake,ukiulizia why all these?Unashangaa majibu hakuna...Kuna tatizo kubwa very fundamental mnalo..Haya ya The Economics ni symptoms tu.
Ulitzka Nondo afanywaje kamanda maana Acacia wameshinda nini ? Wapi? Hivi what is your problem
 
Siyo matsjiri halsli ni wezi mjue mnakazana kumkashifu rais ambaye anapigania haki ya mali zetu
Hebu taja hao wezi.
Si ndio "wapiga dili"?

Sasa "wapiga dili" wengi wamesha funga biashara, wananchi wamekosa kazi, kodi zimepungua sana!

Chuki zako zimekusaidia?
Sahani ya mlo wako imeongezeka?
Nyie wenye roho mbaya si tu mnakufa masikini, lakini shida na umasikini unawakandamiza kiakili.
 
Sasa kama wewe unaona kuwa The Economist na Tanzania Daima ni vijarida; hayo ni maamuzi yako na pengine kwako wewe Uhuru na Mzalendo ndio magazeti ya maana!!!! Upofu wako kaa nao mwenyewe.
Uandishi ni ukweli Tanzania Daima ukiliita gazeti hata Mange kimambi ni kamanda hiyo ni akili yenu
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom