Mabaya anayofanya yana negate hayo unayoyaita mazuri. Pia suala la usiri kwenye tendering process na miktaba ya ujenzi wa reli, ununuzi wa ndege, ujenzi wa Chato Airport, linafanya public accountability kuwa impossible. Tutajuaje kama Magufuli apigi dili, kama alivyokuwa akifanya Wizara ya Ujenzi?
Besides, nini ni vinapaswa viwe vipaumbele kwenye kuondoa umaskini wa Tanzanian peasants? Kukopa trillion of money kujenga reli na kununua ndege, ama kuwekeza kwenye sekta kilimo na huduma za elimu, maji na afya? CCM wanapenda ku-cherrypick busara za Mwalimu. Wanasahau Mwalimu alisema maendeleo ni watu na siyo vitu. Wekeza kwenye kilimo (irrigation infrastructure, extension services, subsidies za mbegu, madawa, utunzaji wa mazingira n.k.) na elimu (awali, upili na elimu ya juu; na R&D kwenye vyuo na taasisi za sayansi, utafiti na teknolojia). Hivi ndivyo nchi zilizoendelea after vita ya pili ya dunia zilivyofanya.
Kuhusu hiyo commentary iliyojibu makala ya The Economist, jambo moja mwandishi (na pro-Magufuli) amesahau ni kwamba Magufuli amekuwa sehemu ya corrupt goverments kwa zaidi ya miaka 20. Magufuli mwenyewe ni corrupt kama walivyo watangulizi wake Mkapa na Kikwete. Yaani huyo jamaa na pro-Magufuli wengi wanajifanya kama Magufuli katokea chama cha upinzani. This charlie has been part of the crooked CCM gang and system for 20+ years.