Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,144
- 4,493
Miaka ya hivi karibuni kumekuwa na kasumba ya watanzania wengi kuukataa na kuudharau mtandao huu wangine wamefikia hata kutaka kufuta account zao huko facebook
Hali ambayo nimeona ni tofauti sana huko duniani kwa mabara ya ulaya na Asia wengi wameendelea kuutumia kwa manufaa makubwa
Kuna kitu wenzetu wametuzidi ukiingia wapo siriazi sana hasa kwenye group zao za Facebook kama group linahusu matangazo ya kazi ukipost kitu ambacho hakihusiani admin ataondoa tangazo lako ikiwezekana ata wewe utaondolewa haraka sana
Kilichofanya niandike thread baada ya kujiunga group za wabongo na kili kuna ujinga mwingi sana
Leo hii nimeona jina la group nikavutiwa nalo linaitwa
Computer science and IT
Cha kustaajabu kuingi nakutana na matangazo ya simu na electronics
Hali ambayo nimeona ni tofauti sana huko duniani kwa mabara ya ulaya na Asia wengi wameendelea kuutumia kwa manufaa makubwa
Kuna kitu wenzetu wametuzidi ukiingia wapo siriazi sana hasa kwenye group zao za Facebook kama group linahusu matangazo ya kazi ukipost kitu ambacho hakihusiani admin ataondoa tangazo lako ikiwezekana ata wewe utaondolewa haraka sana
Kilichofanya niandike thread baada ya kujiunga group za wabongo na kili kuna ujinga mwingi sana
Leo hii nimeona jina la group nikavutiwa nalo linaitwa
Computer science and IT
Cha kustaajabu kuingi nakutana na matangazo ya simu na electronics