Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"

Face To Face With Mhe. Benard Camilius Membe!. "Sipati Usingizi!"

"...utamaduni wa CCM siku hizi ni kuwa dump competent candidates na kuwakumbatia "the incopentent ones!".

Pasco

Hili nalo ni neno

Pengine wakasoaji wa CCM wanaona tofauti na CCM inavyoona.

Pengine ipo haja ya kuomba miongozo wanayotumia kuteua/kupendekeza incompetent huku ikiwa-dump competent candidate.
 
Pasco kwa kutunza heshima yako unayoishusha kila siku omba mods wafute hii mada haina mbele wala nyuma.
_waswahili wanakuambia ukitaka kujua ujinga wa mtu mwache aongee!
 
Last edited by a moderator:
Mbona karibu wooote wanaoutaka Urais ni wale waliomtafutia urais Jakaya wetu? Lowasa, Membe, Wasira, Sitta,..., bado Rostam tu!
 
Ankali JOKA aangalie asije akapitiliza usingizi akashindwa hata kuota kuhusu Mtama.
 
Wewe timu yako ni kwa Mzee Wa unga kichwani. kwa joka la mdimu unatafuta nini? Badala ya kupanga mikakati yenu ya ushindi unabaki unapepesa macho kama ka.ha.ba la kinondoni? Bure kabisa!!
 
Hili nalo ni neno

Pengine wakasoaji wa CCM wanaona tofauti na CCM inavyoona.

Pengine ipo haja ya kuomba miongozo wanayotumia kuteua/kupendekeza incompetent huku ikiwa-dump competent candidate.
Mkuu 50thebe, kwanza asante!, tangu uzi huu umeanza, wewe ndie pekee, umejua nazungumzia nini hapa!, kiukweli wengi wa members humu wamezoea kupikiwa, wapakuliwe, wawekewe kwenye sahani, walishwe, wao ibaki kutafuna tuu na kumeza, lakini sasa hata kutafuna hawawezi, hadi watafuniwe!, wao kazi yao ubaki kumeza!.

Back to the topic, kati ya finalists wa 2005, unaweza kukumbuka who were the most competent?!, unavikumbuka vigezo vya kumpitisha the most incompetent?!, "ni mwenzetu!", "anakubalika!", "anachagulika!", "ana cheko na bashasha!", "ana sura nzuri!" etc, etc, ukimpima na kumlinganisha kichwani ana nini, unakuta nothing!, aliwahi kufanya nini?, nothing!, ana track record gani ya utendaji uliotukuka?!, nothing!.

Kuna possibility ya 2005 scenario ikajirudia 2015!, ila to play safe, hakuna ubishi, the the one and only best CCM, has ni yule "jamaa yangu", "the competent one!", tatizo Ile kashfa ya kuwabebea watu mizigo yao na hali ya afya yake. Ili kumkata 'jamaa yangu', wamemshauri Pinda ajitose, ili kumtumia kama kichinjio cha "jamaa yangu" na ni kweli CCM wata mchinjia baharini asubuhi subuhi kwa kisingizio cha hatuwezi kuwapitisha ma PM wawili at the same time!, huwezi kumuacha the sitting PM ukamchukua former PM!. Hapo kuna boya la Mzanzibari pia atachagizwa kuchukua fomu, ili na yeye afanywe pace maker kumpitisha "the chosen one!", ambaye might be "incompetent", huyu Mzanzibar anayefit sana ni Dr. Gharib Bilal, ili kuonyesha CCM ni chama cha haki, kama the sitting VP amechinjwa, who the hell is ex PM?.

Yule Master Minder wa JK anaitwa Jack Gotham, ndio yuko behind " hili Joka la mdimu", hivyo as of now, uchaguzi wa 2015, the scenario ya 2005 inaweza jirudia!, au the chosen one anaweza kuwa ni huyu
Mgombea wa Urais Kwa tiketi ya CCM, 2015 "Could Be" John Pombe Magufuli - JamiiForums

Pasco.
 
Mkuu 50thebe, kwanza asante!, tangu uzi huu umeanza, wewe ndie pekee, umejua nazungumzia nini hapa!, kiukweli wengi wa members humu wamezoea kupikiwa, wapakuliwe, wawekewe kwenye sahani, walishwe, wao ibaki kutafuna tuu na kumeza, lakini sasa hata kutafuna hawawezi, hadi watafuniwe!, wao kazi yao ubaki kumeza!.

Back to the topic, kati ya finalists wa 2005, unaweza kukumbuka who were the most competent?!, unavikumbuka vigezo vya kumpitisha the most incompetent?!, "ni mwenzetu!", "anakubalika!", "anachagulika!", "ana chemo na bashasha!", "ana sura nzuri!" etc, etc, ukimpima na kumlinganisha kichwani ana nini, unakuta nothing!, aliwahi kufanya nini?, nothing!, ana track gani ya utendaji?!, nothing!.

Kuna possibility ya 2005 scenario ikajirudia 2015!, ila to play safe, hakuna ubishi, the the one and only best CCM, has ni yule "jamaa yangu", "the competent one!", wamemshauri Pinda ajitose, ili kumzuia yule "jamaa yangu" na atachinjiwa baharini asubuhi subuhi kwa kisingizio cha hatuwezi kuwapitisha ma PM wawili at the same time!, huwezi kumuacha the sitting PM ukamchukua former PM!. Hapo kuna boya la Mzanzibari pia atachagizwa kuchukua fomu, ili na yeye afanywe pace maker kumpitisha "the chosen one!", ambaye might be "incompetent", huyu Mzanzibar anayefit sana ni Dr. Gharib Bilal!.

Yule Master Minder wa JK anaitwa Jack Gotham, ndio yuko behind "la mdimu", hivyo as of now, 2005 inajirudia!.

Pasco.

Hali inavyozidi kuwa tete hao wagombea wote kutoka Bara wanaoutaka Urais watakutana na Tragic reality "Hii ni zamu ya Mzanzibari"

2008 alifanya hivyo kwa UVCCM kwa kutumia silent and ugly policy!

Oh mkuu Pasco umenikumbusha thread ya Dua ya mwaka 2008 huku enzi hizo ikiwa JF kwelikweli

Hivi unamaanisha Jack Gotham huyu hapa chini?

www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/13777-gotham-international-nani-wamiliki.html
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi,
Habari za Jioni!.
Niko kwenye social function fulani, MC wa Sherehe hii ni mmoja wa MC wakongwe nchini na mahiri, ila aliniboa alipotangaza rasmi kuwa miongoni mwa wageni waheshimiwa sana ni viongozi wa Chama na Serikali!.

Niliboreka kwa sababu msamiati huu wa viongozi wa Chama na serikali ulifutwa rasmi baada ya Tanzania kuingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi. Msamiati rasmi wa sasa ni "viongozi wa vyama na serikali" hata kama wote watakaokuwepo ni viongozi wa chama kimoja!.

MC anaendelea kuwataja, tunaye Mhe. Waziri, Benard Membe na kiongozi wa Chama ni Nape Mnauye!.

Ulipofika wakati wa chakula, Mhe. Membe akielekea kwenye bufee, nikamsalimia na kumwambia "tunakuombea Uoteshwe!"

Kwa wanaokumbuka kile kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Mhe. Membe alitoa Ole kuwa tuombee asioteshwe, kugombea urais 2015!, maana akoteshwa kuna watu watahama nchi!.

Baada ya kumtania "tunakuombea Uoteshwe!", akacheka tuu, nikamuuliza inakuwaje mpaka leo hajaoteshwa?!, akajibu kilichomcheweshwa kuoteshwa ni kwa sababu "silali usingizi!". Nafanya kazi usiku na mchana hivyo sipati kabisa muda wa kulala usingizi, ila siku nikipata muda wa kulala, labda nitaota!.

Mazungumzo yetu yakaishia hapo!.
My Take.
Kwenye politics hakuna permanent friends or permanent enemies but only a common interests. Kama target ni Ikulu 2015, huyu jamaa akioteshwa msije kuwashagaa watu humu wakizihama Kambi walizo toka nazo mbali na kujiunga na timu za ushindi tarajiwa, haswa kwa kuzingatia utamaduni wa CCM siku hizi ni kuwa dump competent candidates na kuwakumbatia "the incopentent ones!.

Pasco
Pasco huaminiki unajipendekeza kwa yeyete hufai.katika siasa
 
Wanabodi,
Habari za Jioni!.
Niko kwenye social function fulani, MC wa Sherehe hii ni mmoja wa MC wakongwe nchini na mahiri, ila aliniboa alipotangaza rasmi kuwa miongoni mwa wageni waheshimiwa sana ni viongozi wa Chama na Serikali!.

Niliboreka kwa sababu msamiati huu wa viongozi wa Chama na serikali ulifutwa rasmi baada ya Tanzania kuingia rasmi katika mfumo wa vyama vingi. Msamiati rasmi wa sasa ni "viongozi wa vyama na serikali" hata kama wote watakaokuwepo ni viongozi wa chama kimoja!.

MC anaendelea kuwataja, tunaye Mhe. Waziri, Benard Membe na kiongozi wa Chama ni Nape Mnauye!.

Ulipofika wakati wa chakula, Mhe. Membe akielekea kwenye bufee, nikamsalimia na kumwambia "tunakuombea Uoteshwe!"

Kwa wanaokumbuka kile kipindi cha Dakika 45 cha ITV, Mhe. Membe alitoa Ole kuwa tuombee asioteshwe, kugombea urais 2015!, maana akoteshwa kuna watu watahama nchi!.

Baada ya kumtania "tunakuombea Uoteshwe!", akacheka tuu, nikamuuliza inakuwaje mpaka leo hajaoteshwa?!, akajibu kilichomcheweshwa kuoteshwa ni kwa sababu "silali usingizi!". Nafanya kazi usiku na mchana hivyo sipati kabisa muda wa kulala usingizi, ila siku nikipata muda wa kulala, labda nitaota!.

Mazungumzo yetu yakaishia hapo!.
My Take.
Kwenye politics hakuna permanent friends or permanent enemies but only a common interests. Kama target ni Ikulu 2015, huyu jamaa akioteshwa msije kuwashagaa watu humu wakizihama Kambi walizo toka nazo mbali na kujiunga na timu za ushindi tarajiwa, haswa kwa kuzingatia utamaduni wa CCM siku hizi ni kuwa dump competent candidates na kuwakumbatia "the incopentent ones!.

Pasco
Lowasaa analala saana anaota kila siku uraisi
 
Back
Top Bottom