Explosion In New York, 29 Injured In Manhattan Explosion

Explosion In New York, 29 Injured In Manhattan Explosion

Yes, ana passport mbili ya Afghan na US.

Kuna wasiwasi kwamba ipo cell mahali ndiyo ilipanga hii carnage na ni foreign cell.

Huyo jamaa ndo alitumwa na Trump kutega hayo mabomu ili yeye [Trump] achaguliwe?

😀😀😀
 
Huyo jamaa ndo alitumwa na Trump kutega hayo mabomu ili yeye [Trump] achaguliwe?

😀😀😀

Trump akiwa raisi wa Marekani nadhani atafanya usafi ambao haujawahi kutokea USA.

Ni watu kama wewe NN ambao wala hana time nanyi, ila hawa watu ndio kawakamia kwelikweli.

lol
 
Trump akiwa raisi wa Marekani nadhani atafanya usafi ambao haujawahi kutokea USA.

Ni watu kama wewe NN ambao wala hana time nanyi, ila hawa watu ndio kawakamia kwelikweli.

lol

Kwa hiyo Trump ndo alimtuma huyo Rahami akalipue hayo mabomu?

Sijui alimpa dola ngapi tu😀.
 
Kwa hiyo Trump ndo alimtuma huyo Rahami akalipue hayo mabomu?

Sijui alimpa dola ngapi tu😀.

Wewe wasema hayo si mimi.

lol

Ila seriously hii issue inampa zaidi umaarufu bwana Trump.
 
Shughuli ngumu sana lakini atakamatwa tu au kuuawa hatochukua muda.

Tatizo ni jinsi ya kukabiliana na ushawishi wa ISIS mitandaoni hili ndili linaleta matatizo sana.

Yeah, kwa speed hii watamkamata soon.

Ushawishi wa mitandao ni mtihani kwa kweli, halafu naona cells wanazo suspect ziko pia NY na NJ, alikotokea huyu A. Rahami.
 
Wewe wasema hayo si mimi.

lol

Ila seriously hii issue inampa zaidi umaarufu bwana Trump.

Mimi sidhani kama inampa umaarufu Trump.

I mean, impe umaarufu gani sasa?

Binafsi sidhani kama inamuongezea nguvu mgombea yeyote yule.

Ni paranoia tu kudhani eti inamsaidia Trump.
 
Mimi sidhani kama inampa umaarufu Trump.

I mean, impe umaarufu gani sasa?

Binafsi sidhani kama inamuongezea nguvu mgombea yeyote yule.

Ni paranoia tu kudhani eti inamsaidia Trump.

Inaipa nguvu hoja yake kwamba nchi kama Afghanstan zinakuwa restricted Zaidi kwenye kutoa viza au hata kuruhusiwa kutia pua na kufaidi USA Baby!.
 
Inaipa nguvu hoja yake kwamba nchi kama Afghanstan zinakuwa restricted Zaidi kwenye kutoa viza au hata kuruhusiwa kutia pua na kufaidi USA Baby!.

Anhaa...kwa hiyo kwenye hilo suala basi ana hoja ya msingi, siyo?
 
Kajitahidi wee mwishowe amesalimu amri maana hawakutaka kumuua ili wapate info za maana.

Copy kui
 
  • Thanks
Reactions: kui
Jamaa akamatwa baada ya kutupiana risasi na special units.
suspect-large_trans++D19gJsrS5dVDZFTjDrjdaAL2vsvFAC0cjj_Ba7hslbI.png


Ahmed Khan Rahim akibebwa kwenda kwenye gari ya wagonjwa.

Ahmad_Rahami_2-large_trans++eo_i_u9APj8RuoebjoAHt0k9u7HhRJvuo-ZLenGRumA.jpg


Akiwa chini ya ulinzi.

Polisi mmoja amejeruhiwa kwenye shughuli hiyo.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Jamaa akamatwa baada ya kutupiana risasi na special units.
suspect-large_trans++D19gJsrS5dVDZFTjDrjdaAL2vsvFAC0cjj_Ba7hslbI.png


Akibebwa kwenda kwenye gari ya wagonjwa.

Ahmad_Rahami_2-large_trans++eo_i_u9APj8RuoebjoAHt0k9u7HhRJvuo-ZLenGRumA.jpg


Akiwa chini ya ulinzi.


Damn y'all!!!

They're fast!
 
Kajitahidi wee mwishowe amesalimu amri maana hawakutaka kumuua ili wapate info za maana.

Copy kui


Aisee, they don't play, hajafika hata mbali, pole zake cos atalipa madhambi ya wenzake sasa. Yeah, they definitely wanted him alive.
 
Aisee, they don't play, hajafika hata mbali, pole zake cos atalipa madhambi ya wenzake sasa. Yeah, they definitely wanted him alive.

Fingerprints

Wenzetu wako mbali sana na hii makitu.

Aliacha fingerprints kwenye begi na simu ya mkononi.

Kwa vile vipo kwenye database inakuwa ice on cake.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Jamaa akamatwa baada ya kutupiana risasi na special units.
suspect-large_trans++D19gJsrS5dVDZFTjDrjdaAL2vsvFAC0cjj_Ba7hslbI.png


Ahmed Khan Rahim akibebwa kwenda kwenye gari ya wagonjwa.

Ahmad_Rahami_2-large_trans++eo_i_u9APj8RuoebjoAHt0k9u7HhRJvuo-ZLenGRumA.jpg


Akiwa chini ya ulinzi.

Polisi mmoja amejeruhiwa kwenye shughuli hiyo.


Huyo wa juu hilo jicho analompa, anaonekana kuboreka haswa..lol

Jamani tuseme ukweli FBI wamekuwa fast, how long did it take Belgiuns kukamata wale terrorists?
 
Very fast........scary ......
usikute alikuwa kwenye 'watch list' siku nyiingi


Yeah!, halafu kwao New Jersey familia yake ilisha korofishana na police, so usikute waliwekwa radar
 
Back
Top Bottom