kui
JF-Expert Member
- Mar 2, 2009
- 6,467
- 6,500
- Thread starter
- #61
Jamaa hajaridhika na matokeo ya milipuko aliyokwishaifanya, labda mpaka watu wapoteze maisha ndiyo atajiona naye ni shujaa. Vichaa kama huyu ni matatizo makubwa duniani.
‘There will be more’: Chilling 911 call after the Chelsea explosion
Asee!, hivi wanao muunga mkono wanafikiria nini?