Explosion In New York, 29 Injured In Manhattan Explosion

Explosion In New York, 29 Injured In Manhattan Explosion

Yes Kui, another one.


Inatisha, Ukizingatia huyo mgombea mwingine na makauli yake ya kiugomvi ugonvi, wanaompenda usikute wanafanana nae na hawashindwi kufanya upuuzi kama huu.

Halafu the UN General Assembly I think start this week in NY, so you can Imagine the chaos with all this happening this weekend.
 
Wanalogana pia?,...lol!
Sasa huyu mama kisha kaa ikulu miaka chungu nzima akiwa na ushawishi wa kutosha. Yaliyofanyika yanaonekana, ni kipi hakufanya mpaka iwe kwa udi na uvumba lazima aingie ikulu???

AFYA YAKE INATIA SHAKA.
 
Sasa huyu mama kisha kaa ikulu miaka chungu nzima akiwa na ushawishi wa kutosha. Yaliyofanyika yanaonekana, ni kipi hakufanya mpaka iwe kwa udi na uvumba lazima aingie ikulu???
AFYA YAKE INATIA SHAKA.


Ikulu alikaa ndio lakini ilikuwa chini ya mumewe, sasa hivi akienda itakuwa chini yake, na maamuzi yake.
Ni malengo tu ktk maisha ambayo kila mtu anayo, pengine yeye kuwa Rais wa Marekani ni lengo lake na anataka kulitimiza.
 
Kuishi WH na kugombea Urais wa US ni vitu viwili tofauti havina uhusiano wowote ule. Huwezi kusema huyu ameshawahi kuishi WH hivyo hastahili kugombea nafasi ya kuwa Rais wa USA.

Sasa huyu mama kisha kaa ikulu miaka chungu nzima akiwa na ushawishi wa kutosha. Yaliyofanyika yanaonekana, ni kipi hakufanya mpaka iwe kwa udi na uvumba lazima aingie ikulu???

AFYA YAKE INATIA SHAKA.
 
I was planning to visit again my favourite city NY, wait!!!!!! Until nextyeat
 
Kuishi WH na kugombea Urais wa US ni vitu viwili tofauti havina uhusiano wowote ule. Huwezi kusema huyu ameshawahi kuishi WH hivyo hastahili kugombea nafasi ya kuwa Rais wa USA.
Sijaondoa stahili zake!
Nimedodosa kwa namna ya mshangao na upambanuzi kama siyo mlinganyo.
Haki yake ya kugombea ipo pale pale.
Afya yake sii madhubuti.
Ameonyesha kuwa sii msikivu anaposhauriwa
Namuongelea Hillary,

Alishauriwa na Daktari wake apumzike siku kadhaa kabla ya kuendelea na kampeni zake.

Akapuuza ushauri wa kitaalam ambao faida zake ni zake binafsi, matokeo yake wote tunayajua pale ground zero kilichompata.

Hii maana yake akiwa amiri jeshi mkuu anaweza kupuuza ushauri wa wachumi na nchi ikajikuta inatikiswa na uchumi.
 
Jiulize ni kwanini racist Trump amekuwa mgombea wa kwanza katika historia ya GOP kutoungwa mkono na wengi waliowahi kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya GOP/Goverment/Senate na Congress wakiwemo Bush 41 & 43!?

Sijaondoa stahili zake!
Nimedodosa kwa namna ya mshangao na upambanuzi kama siyo mlinganyo.
Haki yake ya kugombea ipo pale pale.
Afya yake sii madhubuti.
Ameonyesha kuwa sii msikivu anaposhauriwa
Namuongelea Hillary,

Alishauriwa na Daktari wake apumzike siku kadhaa kabla ya kuendelea na kampeni zake.

Akapuuza ushauri wa kitaalam ambao faida zake ni zake binafsi, matokeo yake wote tunayajua pale ground zero kilichompata.

Hii maana yake akiwa amiri jeshi mkuu anaweza kupuuza ushauri wa wachumi na nchi ikajikuta inatikiswa na uchumi.
 
Swali lako linatia shaka kama unalijua neno HISTORY lina maana gani.
Kwa maana ili iwe history lazima itukie ndipo inakiliwe kuwa kumbukumbu rejea.
Jambo unalotaka nijiulize ndio linaanzia kwa Trump kwa maana hiyo hakuna ajuaye matokeo ya kutokuungwa mkono na GOP.
Wapiga kura wataamua.
Jiulize ni kwanini racist Trump amekuwa mgombea wa kwanza katika historia ya GOP kutoungwa mkono na wengi waliowahi kushika nyadhifa mbali mbali ndani ya GOP/Goverment/Senate na Congress ikiwemo bush 41 & 43!?
 
Angalieni msije mkasema Trump ndiye alimloga bibi Hillary mpaka akazimia siku ya septemba ileveni.

Daktari bingwa wa masuala ya forensic amemgeuzia kibao Putin, anasema amemlisha/kumpulizia sumu Clinton inayo msababishia matatizo ya kiafya - hawataki kusema mama huyu matatizo ya kupata fits yalianza zaidi ya miaka sita iliyopita anatumia madawa on regular basis ya kuzuia convulsions, si hilo tu ana pia ugonjwa wa Parkinsons amekuwa nao zaidi ya miaka kumi na tano, anatumia Depomine kwa muda mrefu ndiyo inamfanya aonekane ana eye bags na kuonekana mzee zaidi licha ya kufanyiwa face lift ili aonekane kijana, sasa effect za kutumia DEPOMINE kwa muda mrefu ufanya watumiaji nyuso yao zionekane zimechoka, linaganisha sura ya Trump ambaye kamzidi Clinton miaka sita nani anaonekana kachoka.
 
Daktari bingwa wa masuala ya forensic amemgeuzia kibao Putin, anasema amemlisha/kumpulizia sumu Clinton inayo msababishia matatizo ya kiafya - hawataki kusema mama huyu matatizo ya kupata fits yalianza zaidi ya miaka sita iliyopita anatumia madawa on regular bases ya kuzuia convulsions, si hilo tu ana pia ugonjwa wa Parkinsons amekuwa nao zaidi ya miaka kumi na tano, anatumia Depomine kwa muda mrefu ndiyo inamfanya aonekane ana eye bags na kuonekana mzee zaidi licha ya kufanyiwa face lift ili aonekane kijana, sasa effect za kutumia DEPOMINE kwa muda mrefu ufanya watumiaji nyuso yao zionekane zimechoka, linaganisha sura ya Trump ambaye kamzidi Clinton miaka sita nani anaonekana kachoka.
I hope watu wengi watasoma na kuelewa ulichoandika.
 
Duh pole zao, Wamarekani wanalo, watampigia kura huyo wazimu hata kama kwa kuburuzwa, halafu mama haeleweki tena baada ya kulemewa na nguvu za mwili. Pameibuka mijadala ya kila aina, ukifuata kule Quora ndio noma.
 
Duh pole zao, Wamarekani wanalo, watampigia kura huyo wazimu hata kama kwa kuburuzwa, halafu mama haeleweki tena baada ya kulemewa na nguvu za mwili. Pameibuka mijadala ya kila aina, ukifuata kule Quora ndio noma.
Link tafadhali
 
  • Thanks
Reactions: kui
Back
Top Bottom