Mbona unaandika utopolo tenakwahiyo sasahivi kamteua msiyemtaka sasa mnataka atenguliwe, imekwisha hiyo. jadilini mengine.
CEO TANROADS ni jungu kubwa sana!Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads..!
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079View attachment 1874080
Pumbavu, Even excutive itself has separation of power to which it belongs. Ndiyo kama hii ya kumteua mtu ambaye hakustahili kuteuliwa.wewe mbumbumbu, separation of powers ina maanisha "executive, legislature, judiciary" kwa kiswahili kama huelewi ni, Serikali, Bunge na Mahakama. Waziri yupo legislature au judiciary au yupo executive? utasemaje Mkuu wa executive anapotenda jambo ndani ya mhimili wake na wewe unaleta hoja ya separation of powers? do you even know its meaning?
Ni two way trafick waziri anaweza kuteuwa na raisi anaweza kuteuwa......Nani anakumbuka kile kifungu cha
Rais atamteua yeyote kushika nafasi yoyote na hatohojiwa na yeyote.
Tena bila hata kutoa maelezo kokote.
ndani ya executive hakuan separation of powers, rudi shule au nyamaza tujadili mengine. unajiaibisha. utakapogusia kitu kinaitwa separation of powers kwenye executive lazima ugusie administrative powers za kudiscipline au kupromote. who has that overall power to discipline or promote somebody in this country in that perspective?Pumbavu, Even excutive itself has separation of power to which it belongs. Ndiyo kama hii ya kumteua mtu ambaye hakustahili kuteuliwa.
Kwa hiyo mama anamuiga Magufuli?Magufuli aliteua wangapi ambao hakutakiwa kuteua??
SureTunavyosema Katiba ni mbovu huwa tunamaanisha wala usio utani
Hata udikteta ameiga piaKwa hiyo mama anamuiga Magufuli?
Yule alikuwa anajua kufuza na kuteuaAlimsimamisha mchaga mmoja kisha ofisi akampa Mfugale way back 2011 baada ya hapo wote tunajua kuwa ilibidi Mfugale afie madarakani maana umri wa kustaafu ulishafika ila akaendelea kuchapa kazi kweri kweri
Rais ni mkubwa.ndani ya executive hakuan separation of powers, rudi shule au nyamaza tujadili mengine. unajiaibisha. utakapogusia kitu kinaitwa separation of powers kwenye executive lazima ugusie administrative powers za kudiscipline au kupromote. who has that overall power to discipline or promote somebody in this country in that perspective?
sasa hao bavicha hapo juu I hope wataelewa, au watafute kitabu ccha "administrative law" cha chipeta, kitawasaidia kama laymen.Rais ni mkubwa.
Amedelegate power za kuteua na kufukuza kwa mawaziri.
Delegated power can not be delegated.
Ingekua kinyume na sheria kama Waziri angeacha katibu afanye hiyo kazi huku yeye yupo. Hapa ingekua mtihani.
So Rais kwakua amedelegate power kwa mawaziri logically bado anaweza exercise hiyo power ikatokea kuna ulazima huo.
Na kwa vile hata katiba imempa nguvu ya kuteua safe to say bado anacheza ndani ya sheria.
kwa akili za hawa vijana wanaamini kila kinachotakiwa kufanywa na waziri aliyeteuliwa na Rais, Rais wa nchi hawezi kukifanya kabisa amefungwa mikono.Rais ni mkubwa.
Amedelegate power za kuteua na kufukuza kwa mawaziri.
Delegated power can not be delegated.
Ingekua kinyume na sheria kama Waziri angeacha katibu afanye hiyo kazi huku yeye yupo. Hapa ingekua mtihani.
So Rais kwakua amedelegate power kwa mawaziri logically bado anaweza exercise hiyo power ikatokea kuna ulazima huo.
Na kwa vile hata katiba imempa nguvu ya kuteua safe to say bado anacheza ndani ya sheria.
Umeamua kumvua nguo SSH. Wacha we, ndio afahamu madaraka bila kuwa nazo za kutosha kichwani ni shida.Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads..!
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079View attachment 1874080