Rais kachomekewa mtu walie kuwa wanamhitaji. Nae hana muda wa kuuliza kwa wasaidizi.We huna Akili, umepewa kichwa kama pambo. Unajua maana ya separation of powers na mamlaka za uteuzi? excutive ina mamlaka na departiment ambazo rais haruhusiwi kuteua watendaji wake.
Rais anamteua IGP na Baada ya kumteua rais anamwachia IGP mamlaka ya kuteua RPC na maOCD na uwezo wa kuwafukuza kazi ama kuwahamisha unabaki wa IGP.
Sasa wewe hapa unatetea nini? Mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa wakala wa barabara kisheria yapo kwa Waziri sasa huona rais amekiuka sheria?