Executive Agencies Act No 30 inaelekeza Mtendaji Mkuu wa Tanroads kuteuliwa na Waziri wa Ujenzi na sio Rais

We huna Akili, umepewa kichwa kama pambo. Unajua maana ya separation of powers na mamlaka za uteuzi? excutive ina mamlaka na departiment ambazo rais haruhusiwi kuteua watendaji wake.

Rais anamteua IGP na Baada ya kumteua rais anamwachia IGP mamlaka ya kuteua RPC na maOCD na uwezo wa kuwafukuza kazi ama kuwahamisha unabaki wa IGP.

Sasa wewe hapa unatetea nini? Mamlaka ya kumteua mtendaji mkuu wa wakala wa barabara kisheria yapo kwa Waziri sasa huona rais amekiuka sheria?
Rais kachomekewa mtu walie kuwa wanamhitaji. Nae hana muda wa kuuliza kwa wasaidizi.
 
Rais ana power ya kuteua na kutengue yeyote na muda wowote!

Bavicha huwa hamsomi?
Na ikifikia ya alie juu kufanya kazi ambayo awali alimkasimisha wa chini, wa chini kadharaulika, akiwa na ujasiri anajiuzuru, la aendelee kuchutama.
 
Mtoa mada sio Bavicha na hakukuwa na ulazima wowote wa Rais kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Na wachangiaji wanao unga mkono uteuzi wa rais hawajui hadhi ya mteule wa rais na mteule wa mamlaka zilizo chini yake.
 
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .

Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.

Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Raia wanapigania katiba mpya itakayompunguzia mamlaka rais huku yeye akijiongezea mamlaka ambayo hana kwa hii hii ya katiba ya kifalme
 
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .

Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.

Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
"mimi na magufuli ni kitu kimoja"

Hapo unategemea aanze kufuata sheria? wakati alikuwa makamo wa mtu anayevunja sheria?
 
Muqe mna muhurumia huyu bibi.. hayo mambo ya sheria atayajulia wapi.. kila akiamka hajui anaanzia wapi ana malizia wapi.. Nchi hii itaishiwa mafuta muda wowote
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .

Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.

Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
 
Kauli ya Rais ni sawa na sheria

Rais akizungumza anazungumza kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Akimteua Mkurugenzi au kumtumbua basi amefanya kwa niaba yetu na tunamuamini.

Kwa msingi huo basi; Rais ni mamlaka ya juu ya teuzi na tenguzi.

Rais yuko sahihi ktk uteuzi wa Mkurugenzi wa TANROADS Kwa sababu haiwezekani wa chini awe na power halafu wa juu asiwe na power
Kauli ya rais ni kama sheria, lakini: 1) linadumu ndani ya siku 90 na muswada upelekwe bungeni kuitungia sheria. 2)itamkwe kwa jambo ambalo halina sheria inayolisimamia. Nje ya hapo ni kuvunja katiba.
 
Kauli ya Rais ni sawa na sheria

Rais akizungumza anazungumza kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Akimteua Mkurugenzi au kumtumbua basi amefanya kwa niaba yetu na tunamuamini.

Kwa msingi huo basi; Rais ni mamlaka ya juu ya teuzi na tenguzi.

Rais yuko sahihi ktk uteuzi wa Mkurugenzi wa TANROADS Kwa sababu haiwezekani wa chini awe na power halafu wa juu asiwe na power
Chain of command. Wa juu akishuka chini kuanza kutoa maagizo na uteuzi walioteuliwa hawatawaheshimu wakubwa wao wa karibu na matatizo ya utendaji huweza kutokea.
 
Samia urais hauwezi.
Urais ni kazi rahisi, ukifuata sheria. Ana wasaidizi kila idara, hata wa kujua leo avae barakoa rangi gani. Kifupi anatafuniwa kila kitu, inabaki kumeza. Shida ipo kama atashindwa kuhisi hata ongezeko la chumvi ili abadirishe mwonja chakula.
 
Hakuna kitu taratibu zimekiukwa.
Rais ana mamlaka ya kumteua hata mtanzania yeyote bila kujali kiwango chake cha elimu au taaluma yake kuwa mkuu wa Shule ya Msingi Sandali iliyoko Temeke.
Je, kuna ajabu Rais kumteua Chief Executive wa TANROAD TANZANIA?.
Huyo Waziri wa Ujenzi amekasimishwa madaraka ya kumteua Mtendaji mkuu wa TANROAD, Temesa, tba and so ili amwakilishe Rais. Rais akijisikia anaweza kufanya yeye mwenyewe.
Endapo sheria ndogo na katiba vikikinzana katiba ndio hugeuka kuwa sheria. Na katiba ndio iliyompa hiyo power.
Imagine afisa usalama wa wilaya anateuliwa na Rais huku RPC ambaye ni mkubwa zaidi anateuliwa na IGP.
Tukielewa maana ya neno KASIMISHA hatutahoji kuwa kwanini Rais anaingilia utendaji wa viongozi aliowateua.
 
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .

Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.

Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Mkuu unazungumzia power to establish executive agencies? Au mamlaka ya uteuzi na kuunda ofisi kama ibara 36(1) ya katiba ya JMT.
 
Back
Top Bottom