Katiba yenyewe ilitungwa na warioba alikuwa keshapata kinywaji pendwaTunavyosema Katiba ni mbovu huwa tunamaanisha wala sio utani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Katiba yenyewe ilitungwa na warioba alikuwa keshapata kinywaji pendwaTunavyosema Katiba ni mbovu huwa tunamaanisha wala sio utani
Aisee, pamoja na uzee wake kapendekeza iliyo bora.Katiba yenyewe ilitungwa na warioba alikuwa keshapata kinywaji pendwa
Kuna jambo nataka kujua...ndio maana nimeiweka kama swali
Sababu nimekuwa nikiona teuzi nyingine za wakuu wa taasisi kubwa zinafanywa na Rais...
Hivyo najaribu kutafuta kuelewa iweje namna ya uteuzi wa mtendaji mkuu wa Tanroad iwe tofauti na mathalani uteuzi wa mkuu wa Tanesco, TPDC n.k
Kuna jambo nataka kujua...ndio maana nimeiweka kama swali
Sababu nimekuwa nikiona teuzi nyingine za wakuu wa taasisi kubwa zinafanywa na Rais...
Hivyo najaribu kutafuta kuelewa iweje namna ya uteuzi wa mtendaji mkuu wa Tanroad iwe tofauti na mathalani uteuzi wa mkuu wa Tanesco, TPDC n.k
Halafu kuna wapuuzi eti wanataka kariba ya warioba, alishindwa kutengeneza nzuri akiwa kijana leo kachoka itakuwaje nzuriAisee, pamoja na uzee wake kapendekeza iliyo bora.
Kweli hapa sasa amejifunza makosa aliyoyafanya
Mbona NAO ipo ndani ya Executive lakini bajeti yake inapita kwa kamati ya bunge na sio kupangiwa kutoka serikali kuu direct??? Na hata Rais anakua hana namna ya kumtumbua mpaka muda wake wa miaka 5 upite??ndani ya executive hakuan separation of powers, rudi shule au nyamaza tujadili mengine. unajiaibisha. utakapogusia kitu kinaitwa separation of powers kwenye executive lazima ugusie administrative powers za kudiscipline au kupromote. who has that overall power to discipline or promote somebody in this country in that perspective?
Mwanasheria mkuu na Waziri wa katiba huwa siwaelewi hata wakiwa bungeni sheria zinapokanyagwa wao wapo tu.Hii ni hatari kubwa na inaonyesha jinsi nchi inayoendeshwa kienyeji. Sijui ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali inafanya kazi gani hasa!!!
Acha majunguHalafu mdini naona ni zamu ya waislamu kuula awamu ya mama
Tukiwaambia tunahitaji katiba mpya huwa tunamaanisha siyo utani utani.Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Issue hapa ni kwa nini Sheria hazifuatwiakiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
Unatia huruma na hasira ,mwenyewe unaona umejibu hoja hapoakiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
Kwa hiyo hata akimteua gwajiboy awe mume wako ni sawaRais ana power ya kuteua na kutengue yeyote na muda wowote!
Bavicha huwa hamsomi?
Huyo aliyekuwepo yupi tena? Kuna Boss wa Tanroads ametumbuliwa na Mheshimiwa Rais?Sikilizeni!! Mama ndo kila kitu! Kwani waziri wa ujenzi amelalamika? Akilalamika anatenguliwa fasta!! Mama anataka mtu atakayeendana naye!! Ameona huyu aliyekuwepo mambo hayaendi!! Barabara ya mbezi kibaha (njia sita) imesimama wakati kabla ya machi ujenzi ulikuwa unafanyika usiku na mchana! Kambi kubwa ya ujenzi huo hapo gogoni imefungwa!! Mitambo yote kimyaaaa!!! Halafu watu wanamlaumu mama eti kasimamisha ujenzi huo wakati siyo! Baada ya mabadiliko haya tegemeeni kuona miradi lukuki ya ujenzi wa barabara ikifufuka kwa kasi ya ajabu !!
Sheria imefuatwa ?Sikilizeni!! Mama ndo kila kitu! Kwani waziri wa ujenzi amelalamika? Akilalamika anatenguliwa fasta!! Mama anataka mtu atakayeendana naye!! Ameona huyu aliyekuwepo mambo hayaendi!! Barabara ya mbezi kibaha (njia sita) imesimama wakati kabla ya machi ujenzi ulikuwa unafanyika usiku na mchana! Kambi kubwa ya ujenzi huo hapo gogoni imefungwa!! Mitambo yote kimyaaaa!!! Halafu watu wanamlaumu mama eti kasimamisha ujenzi huo wakati siyo! Baada ya mabadiliko haya tegemeeni kuona miradi lukuki ya ujenzi wa barabara ikifufuka kwa kasi ya ajabu !!
Nssf waliweka uanachama wa hiari, kimfumo hautofautiani sana na wazo lako. Ilikuwa na mafao mengi kwa mwanachama. Nahisi serikali haikuliunga mkono, mafao ya afya yakaondolewa na wanachama wengi wa hiari wakasusa. Malipo kwa wazee au haya ya Tassaf wangelipiwa wanachama wa hiari kama 10% ya mchango wa mwajiri, wengi wangehamasika kujiunga. Ni bahati mbaya mambo mengi nchini yanakwenda au kufanywa bila kufuata katiba.Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Unaweza kuta huyo mwana sheria hahusushwi, nae kesha kata tamaa na kuacha bora liende. Ni aibu na fedheha kuendesha nchi bila kufuata sheria. CAG mmoja alietimuliwa aliwahi kusema 60% ya watendaji wa serikali hawana weledi, japo hakugusia idadi ya viongozi wa juu waliomo kwenye hilo kundi.Hii ni hatari kubwa na inaonyesha jinsi nchi inayoendeshwa kienyeji. Sijui ofisi ya mwanasheria mkuu wa serikali inafanya kazi gani hasa!!!
Mention them with reference of actMagufuli aliteua wangapi ambao hakutakiwa kuteua??