Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,011
- 144,371
Nchi ya kusadikika!
Kwa mujibu wa sheria ya wakala wa serikali (Excutive Agencies Act No 30) ya mwaka 1997 na marekebisho yake ya mwaka 2009 inamtaka Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads .
Nimeambatanisha hapa chini sasa sijui Mh Rais Samia Suluhu Hassan imekuwaje mpaka kumteua mtendaji mkuu wa Tanroads.
Hayati Magufuli alimteua Hayati Eng. Mfugale May 24 2011 kipindi hicho hayati Dkt. Magufuli akiwa Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi.View attachment 1874079
Kwa hapa siyo ubovu wa katiba.. HAPA, KWA MAELEZO NA VIAMBATANISHO VYA MTOA MADA, NI KWAMBA RAIS WETU KAVUNJA KATIBA..!!! Full stop..!!Tunavyosema Katiba ni mbovu huwa tunamaanisha wala sio utani
Kama alivunja katiba ni alivunja tu.. haijalishi huyu wa sasa anavunja au la..!!Magufuli aliteua wangapi ambao hakutakiwa kuteua??
Kwanini sasa uache huko kuvunja..!!?? Aiseee..!! Bro kwa hili na komenti yako, umechemkaKwani akiteuliwa na Rais ukiacha kuvunjwa kwa hiyo katiba, kuna tatizo jingine?
Duh..!!! Unajuwa mkusanyiko wa system au mambo madogo madogo ndo huunda gari zima..!!?? Kwa komenti hii hatuna sababu ya kuwa na katiba, kila mtu ajiamulie lolote tu..!!Mambo madogo hayo mkuu sio ya kuumiza kichwa.
Waziri si ataagizwa tu kuwa mteue fulani.
Kwani waziri ana uhuru wowote wa kutofautiana na Rais?
Haya akateuwe na wakuu wa shule sasa..!! Maana ya kuwa na katiba unaielewa?akiteuliwa n a Rais ni kosa kwasababu Waziri yupo juu ya Rais au vipi, mbona hamueleweki. hivi pamoja na yote, mnamjua boss wenu namba moja hapa nchini ni nani? ambaye hata ukiteuliwa na Rais akiamua kukufukuza anakufukuza dakika?
Tutaelewa tuu kuwa jipu ni katiba ya 1977
Pick your battles.Duh..!!! Unajuwa mkusanyiko wa system au mambo madogo madogo ndo huunda gari zima..!!?? Kwa komenti hii hatuna sababu ya kuwa na katiba, kila mtu ajiamulie lolote tu..!!
Busara yangu inanikataza mkukubali mtu kuvunja katiba regardless ana madaraka gani..!!Pick your battles.
Hii tumia busara sio ya kuhangaika nayo.
Kuna jambo nataka kujua...ndio maana nimeiweka kama swaliKwanini sasa uache huko kuvunja..!!?? Aiseee..!! Bro kwa hili na komenti yako, umechemka
Kwangu mimi katiba ilivyo ifuatwe... !!! Kimsingi sijui kwanini wengine wateuliwe na Rais na wengine na mawaziri..!!!Kuna jambo nataka kujua...ndio maana nimeiweka kama swali
Sababu nimekuwa nikiona teuzi nyingine za wakuu wa taasisi kubwa zinafanywa na Rais...
Hivyo najaribu kutafuta kuelewa iweje namna ya uteuzi wa mtendaji mkuu wa Tanroad iwe tofauti na mathalani uteuzi wa mkuu wa Tanesco, TPDC n.k
So does this justify the appointment by president samia suluhu?Magufuli aliteua wangapi ambao hakutakiwa kuteua??
Yes bila shakha na sheria The Roads Act 2007 inasema Rais atamteua Mwenyekiti wa Bodi tu huko Tanroards.Kwangu mimi katiba ilivyo ifuatwe... !!! Kimsingi sijui kwanini wengine wateuliwe na Rais na wengine na mawaziri..!!!
Ila nimewahi shuhudia Rais akitoa maagizo kwa waziri au mtu fulani kumfukuza kazi au kumsimamisha mwingine.. Nikajua ni kwa sababu yeye siyo mteuzi wa mtu huyo
Ameivunja kwa sababu haiwezi kumuwajibisha.Kwa hapa siyo ubovu wa katiba.. HAPA, KWA MAELEZO NA VIAMBATANISHO VYA MTOA MADA, NI KWAMBA RAIS WETU KAVUNJA KATIBA..!!! Full stop..!!
Hilo sio jambo la kikatiba. Hiyo ni sheria ya kawaida.Busara yangu inanikataza mkukubali mtu kuvunja katiba regardless ana madaraka gani..!!
Rais akisema Tanzana hakuna corona, yuko sahihi. Huyu rais akifa leo, kesho akaapishwa mwingine halafu akadema Tanzania kuna carona, yuko sahihi. Akili hizi ni kiwango cha ccm tu.Kauli ya Rais ni sawa na sheria
Rais akizungumza anazungumza kwa niaba ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Akimteua Mkurugenzi au kumtumbua basi amefanya kwa niaba yetu na tunamuamini.
Kwa msingi huo basi; Rais ni mamlaka ya juu ya teuzi na tenguzi.
Rais yuko sahihi ktk uteuzi wa Mkurugenzi wa TANROADS Kwa sababu haiwezekani wa chini awe na power halafu wa juu asiwe na power
Taasisi tofauti tofauti zimeundwa kwa sheria tofauti. Utakuta taasisi hii mtendaji mkuu wake anateuliwa na waziri, nyingine anateuliwa na rais. Ktk jamii inayoheshimu utawala wa sheria lazima utaratibu huo ufuatwe. Vinginevyo ni UDIKTETA.Kuna jambo nataka kujua...ndio maana nimeiweka kama swali
Sababu nimekuwa nikiona teuzi nyingine za wakuu wa taasisi kubwa zinafanywa na Rais...
Hivyo najaribu kutafuta kuelewa iweje namna ya uteuzi wa mtendaji mkuu wa Tanroad iwe tofauti na mathalani uteuzi wa mkuu wa Tanesco, TPDC n.k
Taasisi tofauti tofauti zimeundwa kwa sheria tofauti. Utakuta taasisi hii mtendaji mkuu wake anateuliwa na waziri, nyingine anateuliwa na rais. Ktk jamii inayoheshimu utawala wa sheria lazima utaratibu huo ufuatwe. Vinginevyo ni UDIKTETA.